SEVILLA vs ROMA-Ni Fainali ya Europa ya kimbinu
Leo usiku kuanzia majira ya Saa 3, kwenye dimba la Puskas Arena Jijini Budapest nchini Romania, itapigwa fainali ya michuano ya Europa ikizikutanisha Sevilla ya Hispania na AS Roma ya…
Leo usiku kuanzia majira ya Saa 3, kwenye dimba la Puskas Arena Jijini Budapest nchini Romania, itapigwa fainali ya michuano ya Europa ikizikutanisha Sevilla ya Hispania na AS Roma ya…
Patashika ya kuusaka Ubingwa wa Ligi Kuu ya Uturuki itaendelea Jumanne hii ya Mei 30,2023 kwa mechi kati ya timu ya Ankaragucu watakapowakaribisha timu ya Galatasaray. Vita kubwa kwa sasa…
Patashika ya mchezo wa fainali ya Play Offs ya timu za League One, itafikia tamati usiku wa leo, ambapo timu ya Barnsley watakabiliana na Sheffield Wednesday, katika uwanja wa Wembley…
Kesho kwenye dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam, historia itaandikwa wakati Yanga ya Tanzania itakapowaalika miamba ya soka kutoka Algeria, USM Alger katika pambano la fainali mchezo wa…
Licha ya kwamba bingwa wa ligi ya Uhispania La Liga ameshapatikana, ambayo ni timu ya Barcelona, jambo moja la kusisimua lipo kwenye kinyang’anyiro cha kumalizia katika nafasi mbili zinazofuata. Utamu…
Usiku wa leo katika dimba la Old Trafford patapigwa mechi kali kati ya wenyeji Manchester United watakaowakaribisha timu ya Chelsea kutoka Magharibi mwa jiji la London. Hii ni mechi ambayo…
Unaweza ukasema bahati haina mwenyewe. Hivi ndivyo msemo wa Kiswahili ulivyotimia kwa mmoja wa washindi wetu wa Jackpot bonus ya kati kati ya wiki Maria kalosi Gwimile. Mwanamke huyu ameshinda…
Patashika ya Ligi Kuu ya England inaendelea leo hii, ikiwa inajulikana zaidi kama mechi za ligi ya EPL za lala salama, kwa mchezo mkali unaobeba maamuzi mazito ya timu mbili…
Leo ndio siku ambayo mpira wa Afrika, utashuhudia moja kati ya mechi bora kabisa za mpira wa miguu katika ngazi ya vilabu Afrika ikipigwa kule Africa Kusini kati ya Mamelodi…