Mashujaa FC vs Yanga SCBacca Ibrahim
  • Dodoma Jiji FC vs Yanga SC NBC Premier League, Mei 13, 2026 Uwanja wa Airtel
  • Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC ni matokeo ya mchezo uliopita walipokutana
  • H2H za Dodoma Jiji FC vs Yanga SC tumekuletea hapa na msimamo

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC NBC Premier League ni leo Mei 13, 2026 Uwanja wa Airtel. Wababe hawa wamekutana mara moja kwenye ligi msimu huu na matokeo yalikuwa Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC. Saa 10:15 jioni wababe hawa watakuwa kwenye mpambano mkali.

SOMA HII: Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC NBC Premier League/ Highlights, stats

Cheza na ushinde sasa na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni muda huu

Hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege.

Aviator game promotional banner featuring a red propeller plane and a jackpot of 800,000,000.

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC NBC Premier League ni leo

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC NBC Premier League
Mollin, Kocha Mkuu wa Yanga SC

Mchezo mkali Dodoma Jiji FC vs Yanga SC NBC Premier League ni leo katika ligi namba 6 kwa ubora. Wananchi ni vinara wakiwa hawajapoteza mchezo hata mmoja baada ya mechi 22. Wanakutana na walima zababu waliopoteza mechi 7 2025/26.

Zinakutana timu mbili zilizotoka kupata matokeo ya aina tofauti kwenye mechi zilizopita kwenye ligi. Wageni ilikuwa Yanga SC 3-0 Coastal Union huku wenyeji wakivuna pointi moja kwa ubao kusoma Pamba Jiji FC 0-0 Dodoma Jiji FC. Je Wananchi wataendeleza ubabe ama wenyeji watatibua rekodi hiyo?

SOMA HII: Yanga SC: Historia, Usajili wote, kikosi, Ratiba, Matokeo na Takwimu

Aviator game promotional banner featuring a red propeller plane and a jackpot of 800,000,000.

Msimamo Dodoma Jiji FC vs Yanga SC

NafasiTimuMechiMagoli KufungaMagoli KuruhusuPointi
1Yanga SC2250554
8Dodoma Jiji FC22192129

Dodoma Jiji FC ina wastani mdogo kwenye safu ya ushambuliaji katika kufunga magoli. Yanga SC ina wastani wakufunga magoli mawili kwenye kila mchezo. Upande wa safu ya ulinzi wananchi wameruhusu magoli 5 wenyeji wakiruhusu 21.

H2H Dodoma Jiji FC vs Yanga SC

TareheTimu NyumbaniMatokeoTimu Wageni
27/01/2026Yanga SC3-1Dodoma Jiji FC
22/06/2025Yanga SC5-0Dodoma Jiji FC
25/12/2024Dodoma Jiji FC0-4Yanga SC
22/05/2024Dodoma Jiji FC0-4Yanga SC
05/02/2024Yanga SC1-0Dodoma Jiji FC
13/05/2023Yanga SC4-2Dodoma Jiji FC
22/11/2022Dodoma Jiji FC0-2Yanga SC
15/05/2022Dodoma Jiji FC0-2Yanga SC
31/12/2021Yanga SC4-0Dodoma Jiji FC

Dodoma Jiji FC kwenye mechi 9 rekodi zinaonyesha kuwa safu ya ushambuliaji imefunga magoli 3 peke. Yanga SC imekuwa imara kwenye mechi zilizopita kwa kupata matokeo. Wananchi wamekuwa na nidhamu kwenye ufungaji wakipata ushindi wa magoli mengi kwenye mechi zilizopita.

SOMA HII: Yanga SC bado ipo kazini, ratiba ya NBC Premier League, msimamo wa 5 bora

Hitimisho

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC NBC Premier League ni leo burudani inatarajiwa kushuhudiwa. Bingwa mtetezi atakuwa ugenini, Singida. Je nani ataibuka na ushindi? Endelea kufuatilia SportPesa Blog.

Share this: