Mkutano mkuu Yanga SC 2026: Hersi achaguliwa tena Rais, Arafat makamu
Moja ya stori kubwa za michezo leo Agosti 2, 2026 ni kuhusu kufanyika mkutano mkuu Yanga SC 2026. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa kisasa wa The Super Dome, uliopo…
Moja ya stori kubwa za michezo leo Agosti 2, 2026 ni kuhusu kufanyika mkutano mkuu Yanga SC 2026. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa kisasa wa The Super Dome, uliopo…
Simba SC 2-1 Singida Black Stars Kagame Cup 2026 hatua ya makundi wametoana wawakilishi hawa kutoka Tanzania. Mshambuliaji wa mabao Ibrahim Doumbia alifungua akaunti kwa kufunga dakika ya 27. Hili…
Mabingwa watetezi Yanga SC wanaendelea kutangaza Nyota wao wapya ambao wamekamilisha usajili, kuelekea msimu mpya wa 2026/27. Hii inakuja zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufunguliwa kwa pazia la Ligi…
Miamba ya Dar imemuongeza kundini Ibrahim Doumbia mshambuliaji wa mabao Simba SC kuelekea 2026/27. Huyu ni raia wa Mali ambaye ana umri wa miaka 19. Anatajwa kuwa na kasi kwenye…
Pazia la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2026/27, linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 14 mwaka huu na timu mbalimbali zinaendelea kujiimarisha kwa kufanya usajili mkubwa. Mabingwa watetezi Yanga SC nao…
Huko Rwanda, Simba SC 0-0 Jamus SC ni matokeo rasmi ya mchezo wa hatua ya makundi katika kusaka hatua ya nusu fainali. Mnyama hali ni tete kutokana na matokeo tasa…
Zimebaki siku 15 tu, kuelekea kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu Bara msimu wa 2026/27, ambapo timu mbalimbali zinapambana kufanya usajili mzito. Miongoni mwa timu ambazo zimefanya usajili mkubwa ni…
Kazi inaendelea huku usajili wa Azam FC 2026/27 ukizidi kupamba moto kwa matajiri wa Dar. Haya yote ni maandalizi kuelekea msimu mpya unaotarajia kuanza Agosti 12,2026 kwa mchezo wa ufunguzi…
Zimebaki siku chache kuelekea kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2026/27, ambapo uongozi wa Yanga SC umeendelea kushusha vyuma kufanya maboresho ya kikosi chao. Miongoni mwa…