Yanga SC (2) vs Azam FC (1) Muungano Cup | Highlights, goal score | Kariakoo Dabi kupigwa fainali?
Yanga SC (2) vs Azam FC (1) Muungano Cup nusu fainali 2026. Mabingwa watetezi wanatinga hatua ya fainali mbele ya matajiri wa Dar. Magoli ya Prince Dube dakika ya 9…
Simba SC vs Yanga SC |Ratiba, matokeo, Takwimu, Hawa hapa wachezaji 10 hatari wakuchungwa Kariakoo Dabi
Joto linazidi kupanda kuelekea mchezo mkali wa Kariakoo Dabi a Ligi Kuu Bara (NBC Premier League). Ni Simba SC vs Yanga SC mchezo utakaopigwa tarehe 3/5/2026, katika Uwanja wa Meja…
Mlandege FC vs Simba SC |Muungano Cup 2026, Ni Nusu fainali ya kisasi! Ratiba, h2h, matokeo
Hatua ya Nusu Fainali ya Muungano Cup 2026 itafikia tamati kesho rasmi kesho Jumapili. Katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, itapigwa mechi kali ya kisasi! Ni Mlandege FC vs…
Dabi ya Kariakoo kupigwa Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo Mei 3, 2026 | TPLB wataja sababu
Dabi ya Kariako kupigwa Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo, Mei 3, 2026. Awali mchezo huo ulitarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Taarifa rasmi iliyotolewa leo Aprili 24,2026 na Bodi ya Ligi…
Orodha ya wafungaji bora NBC Premier League 2025/26 | Prince Dube, Feisal | Msimamo
Orodha ya wafungaji bora NBC Premier League 2025/26 vita inazidi kushika kasi. Hii inatokana na kupanda kushuka kwa wafungaji ndani ya uwanja. Mechi 11 zimebaki msimu kufika mwisho na vinara…
Clatous Chama usajili wake umelipa | Takwimu na timu alizocheza CAF Champions League
Clatous Chama usajili wake umelipa kwa mara nyingine Simba SC umelipa akitokea Singida Black Stars. Kiungo huyo mshambuliaji raia wa Zambia amezaliwa 18/06/1991 ana miaka 34. Jezi yake pendwa ni…
Yanga SC vs Azam FC: Muungano Cup 2026 Nusu Fainali yamoto, Ratiba, h2h, matokeo
Yanga SC vs Azam FC moto utawaka Jumamosi hii ya 25/4/2026, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Ni katika mchezo mkali wa Nusu Fainali ya kwanza, ya mashindano ya…
Muungano Cup 2026 | Gueye, Oura, Mpanzu wa Simba SC kutikisa Zanzibar, ratiba na matokeo
Muungano Cup 2026 inaendelea tena leo Alhamisi, huko visiwani Zanzibar. Mechi 2 kali za Robo Fainali zinapigwa, ambapo mchezo wa kwanza umeshuhudia Mabingwa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege FC wakiichapa Singida…
TZS 20,000,000 SportPesa Prize Drop Promotion: Win Up to TZS 3,000,000 playing JetX, Balloon & Multi Hot 5
The SportPesa Prize Drop Promotion is here again to elevate your gaming experience with instant wins, exciting gameplay, and massive prize potential from a total prize pool of TZS 20,000,000.…
