Arsenal vs Sporting CP: UEFA Champions League: Prediction, lineups, h2h na habari za timu
Arsenal vs Sporting ni vita ya kufuzu nusu fainali ya UEFA Champions League. Arsenal wanasaka kuipata nafasi hiyo kwa mara ya pili mfululizo, lakini watalazimika kuidhibiti Sporting CP leo Jumatano…
Fountain Gate (0) vs Simba SC (3) NBC Premier League | Highlights, goal score, H2H
Fountain Gate (0) vs Simba SC (3) ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Mechi ilikuwa na ushindani kwa kuangalia head-to-head Fountain Gate…
Tetesi: Simba SC inamfuatilia Salim Adams kiungo mshambuliaji Madeama SC | Chobwedo
Inaelezwa kuwa Simba SC inamfuatilia Salim Adams wa Medeama SC raia wa Ghana. Kiungo huyo anacheza katika Ligi Kuu ya Ghana amekuwa na kiwango chakuvutia. Mbali na huyo mnyama anatajwa…
Bayern Munich vs Real Madrid : UEFA Champions League, Live Score, h2h & predicted lineups
Mchezo wa marudiano wa UEFA Champions League kati ya Bayern Munich vs Real Madrid utapigwa leo kwenye Uwanja wa Allianz Arena, Munich nchini Ujerumani. Mechi hii maarufu inayojulikana kama ‘European…
Yanga SC ina Unbeaten 27 CRDB Federation Cup | Mataji miaka minne mfululizo
Yanga SC ina Unbeaten 27 CRDB Federation Cup ikitwaa mataji miaka minne mfululizo. Timu hiyo haijapoteza mchezo wowote tangu 2021/22. Ushindi waliopata wa goli 1-0 TMA Stars Uwanja wa KMC…
Djigui Diarra amemaliza adhabu ya kufungiwa mechi 3 na TPLB
Djigui Diarra amemaliza adhabu yakufungiwa mechi 3 na TPLB (Bodi ya Ligi Kuu Tanzania). Sababu iliyofanya akutane na rungu hilo ni matukio ya utovu wa nidhamu mchezo wa Mtibwa Sugar…
Mapya sakata la Jonathan Sowah amerejeshwa Simba SC na kupelekwa U 20
Jonathan Sowah amerejeshwa Simba SC kwa sharti lakutakiwa afanye mazoezi na timu ya vijana chini ya miaka 20, (Simba SC U 20). Mshambuliaji huyo anayecheza Simba SC ana miaka 27…
Liverpool vs Paris Saint-Germain UEFA Champions League – utabiri, habari za timu, vikosi vinavyotarajiwa
Dakika 90 nyingine ngumu za mashindano ya UEFA Champions League zitapigwa leo Jumanne katika jiji la Liverpool nchini England. Ni Liverpool vs Paris Saint-Germain, ambayo ni mechi ya Robo Fainali…
Atletico Madrid vs Barcelona, Remontada? UEFA Champions League: Live score, lineups, h2h, prediction, Habari za timu
Atletico Madrid vs Barcelona nani anakwenda fainali leo Jumanne? Barcelona wanahitaji kufanya comeback kubwa, maarufu ‘Remontada’ ili kuokoa matumaini yao ya kushinda ubingwa wa Ligi ya Mabingwa. Hii ni katika…
