Simba SC vs Coastal Union :Nusu fainali CRDB Federation Cup ni Arusha | SportPesa Blog
Mchezo wa nusu fainali Kombe la CRDB wanakutana Simba SC vs Coastal Union, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Matokeo ya mchezo wa mwisho ilikuwa Simba SC 2-0 Coastal Union,…
Azam FC vs Yanga SC :Nusu fainali ya CRDB Federation Cup | SportPesa Blog
Azam FC vs Yanga SC ni mchezo ujao kwenye hatua ya nusu fainali ya CRDB Federation Cup. Matajiri wa Dar, wametinga hatua hii kwa kuwafunga Mashujaa FC goli 1-0 mechi…
Simba SC vs TRA United: Robo Fainali CRDB Federation| Ratiba, matokeo, msimamo, utabiri, Livescore, h2h, na Habari za timu
Robo Fainali ya 4 ya mashindano ya CRDB Federation kati ya Simba SC vs TRA United, itapigwa kesho Jumapili 17/5/2026. Mechi hii ngumu inatarajiwa kupigwa katika Uwanja wa KMC Complex…
CRDB Federation Cup 2026: | Yanga SC yatinga Nusu Fainali, Je, watakutana na Simba SC tena? Ratiba, matokeo, msimamo, Livescore
Yanga SC imefanikiwa kutinga hatua ya Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup 2026, hii ni baada ya dakika 90 za Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kushuhudia ubao ukiandikwa JKT Tanzania…
JKT Tanzania vs Yanga SC : Robo Fainali CRDB Federation| Ratiba, matokeo, msimamo, utabiri, Livescore, h2h, na Habari za timu
JKT Tanzania vs Yanga SC kitawaka Jumamosi hii 15/5/2026, ni katika hatua ya Robo Fainali ya Kombe la CRDB Bank Federation. Mechi hii itapigwa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar…
Ligi Kuu Bara (NBC Premier League) | Hizi hapa timu 6 zinazomiliki viwanja vyao, matokeo ratiba
Uongozi wa klabu ya Yanga SC leo Mei 15, 2026 wametangaza kutia saini mkataba wa makubaliano, ya ujenzi wa uwanja wao mpya. huo. Ikiwa Yanga SC watafanikiwa kukamilisha ujenzi wa…
Uwanja mpya wa Yanga SC huu hapa | GSM 50/50 Wananchi, Ligi Kuu Bara (NBC Premier League)
Ujenzi wa Uwanja mpya wa Yanga SC ndiyo Habari ya mjini kwenye vijiwe mbalimbali vya michezo leo Mei 15, 2026. Hii ni baada ya Uongozi wa klabu ya Yanga SC…
Clatous Chama aongeza presha Yanga SC | Takwimu, mechi | SportPesa Blog
Kiungo wa Simba SC, Clatous Chama aongeza presha Yanga SC vita ya kuwania ubingwa. Hii inatokana na magoli mawili aliyofunga Mei 14, 2026 dhidi ya Mashujaa FC ya Kigoma. Simba…
Mashujaa FC (0) vs Simba SC (3) NBC Premier League | Highlights, goal, h2h | SportPesa Blog
Mwisho wa reli Kigoma Mashujaa FC (0) VS Simba SC NBC Premier League matokeo rasmi mchezo uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika. Clatous Chama alianza kujiamulia mambo mapema dakika ya 5…
