Pacome Zouzoua kiungo mshambuliaji Yanga SC | Takwimu, timu alizocheza, magoli | SportPesa Blog
Anaitwa Pacome Zouzoua kiungo mshambuliaji wa Yanga SC inayoshiriki NBC Premier League. Amezaliwa 30/04/1997 ana umri wa miaka 29 yeye ni raia wa Ivory Coast anacheza nafasi ya kiungo mshambuliaji.…
Mbeya City vs Simba SC kupigwa saa 8 mchana NBC Premier League | H2H, msimamo | SportPesa Blog
Mchezo wa Mbeya City vs Simba SC kupigwa saa 8 mchana, NBC Premier League Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Awali mchezo huu ulitarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni, umefanyiwa mabadiliko na Bodi…
Ratiba ya mechi zilizobakia za Singida Black Stars kwenye NBC Premier League 2025/26 | SportPesa Blog
Leo tumekuandalia ratiba ya mechi zilizobakia za Singida Black Stars kwenye NBC Premier League 2025/26. Mechi za Singida Black Stars ni 5 zimebaki kufunga msimu. Mchezo ujao kwenye ni JKT…
Kombe la Dunia 2026 |Linaanza lini? Timu ngapi? Kuchezwa wapi? Kuna Sheria mpya? Ronaldo au Messi? Haya hapa majibu ya maswali yote muhimu unayojiuliza
Ikiwa leo ni Juni 2, 2026 zimesalia siku 9 tu, kabla ya kuanza kwa mashindano makubwa ya Kombe la Dunia 2026. Haya ni mashindano makubwa zaidi ya soka duniani, kwa…
Ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FC kwenye NBC Premier League 2025/26 | SportPesa Blog
Hapa tumekuandalia ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FC kwenye NBC Premier League 2025/26 na CRDB Federation Cup. Mechi za Azam FC ni zakukata na shoka kutokana na kupambania kuishusha…
Ratiba ya Simba SC mwezi huu wa 6, 2026 | Ligi Kuu NBC na CRDB Federation Cup, Takwimu |Mechi 6 za kufa na kupona | SportPesa Blog
Ratiba ya Simba SC kwa mwezi Juni 2026 imetoka rasmi na kuthibitishwa na uongozi wa timu hiyo, kupita akaunti zao rasmi za mitandao ya kijamii. Ratiba hiyo inaonyesha kuwa Simba…
SportPesa UEFA Champions League 2026 ‘vibe’ la Fainali | Ona mashabiki wa PSG na Arsenal walivyotunishiana misuli
Ni siku 2 tu, zimepita tangu Dunia ishuhudie kikosi cha PSG kikishinda ubingwa wao wa pili mfululizo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League). Hii ni baada ya ubao…
Kikosi cha Simba SC kimerejea kambini rasmi | NBC Premier League na CRDB Federation Cup | SportPesa Blog
Kikosi cha Simba SC kimerejea kambini rasmi leo Juni Mosi 2026 kwa maandalizi ya mechi zinazofuata. Mnyama ana mechi 5 za NBC Premier League na mchezo mmoja wa hatua ya…
Tanzania vs Senegal | Finali U17 AFCON, livescore, Ratiba na matokeo
Mechi kali ya Fainali ya U17 AFCON itapigwa kesho Jumanne nchini Morocco, ni Tanzania vs Senegal. Mechi hii inatarajiwa kupigwa majira ya saa 19:00 GMT, ambayo ni sawa na saa…
