Yanga SC vs Simba SC NBC Premier League: Nassoro Mwinchui mwamuzi wa kati, utabiri
Yanga SC vs Simba SC NBC Premier League ni Machi Mosi 2026. Mwamuzi ni Nassoro Mwinchui kutoka Tanga katika Kariakoo Dabi. Yanga SC 5-0 JKT Tanzania matokeo ya mchezo uliopita…
Yanga SC vs Simba SC: Pacome ashtua, msimamo, Ratiba, Moto utawaka Kariakoo Dabi ya ‘Damaro Day’
‘Damaro Day’ ndiyo Habari ya mjini. Hii ni jina ambalo umepewa mchezo mkubwa wa dabi ya Kariakoo Yanga SC vs Simba SC utakaopigwa Machi 1, mwaka huu. Mchezo huo ni…
Dodoma Jiji FC 0-0 Simba SC 25/02/2026 NBC Premier League/ Highlights, standings
Dodoma Jiji FC 0-0 Simba SC wababe wamegawana alama mojamoja kwenye NBC Premier League 2025/26. Mnyama anapata sare ya kwanza ugenini Uwanja wa Jamhuri, Dodoma usiku. Kituo kinachofuata ni Yanga…
Yanga SC yaichapa 5-0 JKT Tanzania NBC Premier League Simba SC anafuata/ Highlights, score, standings
Yanga SC yaichapa 5-0 JKT Tanzania ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League. Ushindi huo unawashusha wazee wa kipigo cha kizalendo nafasi ya kwanza mpaka ya pili. Usukani wa…
Dodoma Jiji FC vs Simba SC ni leo NBC Premier League/ H2H, live score, standings, predictions
Dodoma Jiji FC vs Simba SC ni ratiba ya leo NBC Premier League 2025/26. Mnyama anakuwa ugenini Uwanja wa Jamhuri, Dodoma saa 1:15 usiku. Baada ya mchezo wa leo kituo…
Yanga SC vs JKT Tanzania NBC Premier League/ Ahmed Ally, Pedro watambiana/ Ratiba, msimamo
Yanga SC vs JKT Tanzania ni ratiba inayofuata NBC Premier League. Vinara wa ligi watakuwa ugenini dhidi ya mabingwa watetezi. Makao makuu, Dodoma kutakuwa na mchezo wa Dodoma Jiji FC…
Tanzania Prisons 0-2 Simba SC NBC Premier League/ Highlights, statistics, standings
Tanzania Prisons 0-2 Simba SC ni matokeo rasmi wababe hawa walipovaana Februari 22, 2026. Seleman Mwalimu dakika ya 19 na Rushine De Reuck dakika ya 45 walifunga magoli ya ushindi.…
Depu mtambo wa mabao: Ataziba pengo la Mayele? Takwimu, rekodi zake hizi hapa, zatikisa bongo
Nyota mpya wa Yanga SC, Laurindo Depu ameendelea kuitikisa Bongo. Takwimu na namba za straika huyo tangu atue ndani ya kikosi cha Wananchi zinaogopesha, na tayari mashabiki wamempachika jina la…
Namungo FC 0-1 Yanga SC NBC Premier League/ Highlights, msimamo
Namungo FC 0-1 Yanga SC ni matokeo ya mchezo wa NBC Premier League, Uwanja wa Majaliwa. GolI limefungwa na Depu dakika ya 25. Wananchi wanaondoka na pointi tatu ugenini wakifikisha…
