Ratiba ya Simba SC 2025/26 Machi dakika 450 za kazi/ Msimamo, matokeo
Ratiba ya Simba SC 2025/26 Machi nyumbani ni mechi mbili na tatu ugenini kusaka ushindi. Steve Berkar mbinu zake zinatarajiwa kutumika dakika 450. Mchezo uliopita ilikuwa Yanga SC 0-0 Simba…
Ratiba ya Yanga SC 2025/26 ni moto/ Mechi 5 NBC Premier League ugenini/ Msimamo, matokeo
Ratiba ya Yanga SC 2025/26 ni bandika bandua kutokana na mechi zilizopo mbele yake. Ndani ya Machi kuna mechi 5 zilizopo mkononi NBC Premier League. Kete ya kwanza Pedro Goncalves…
Simba SC yajivunia ubora wa kikosi 2025/26/ Fixture, Standings
Simba SC yajivunia ubora wa kikosi hicho kuelekea kwenye mechi zijazo za ushindani. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano unyamani ametoa rai kwa mashabiki kuendeleza umoja. Ni…
Je Pacome Zouzoua chanzo Yanga SC 0-0 Simba SC? Ali Kamwe atoa ufafanuzi
Je Pacome Zouzoua chanzo Yanga SC 0-0 Simba SC? Swali ambalo linaulizwa na wadau. Machi Mosi 2026 Kariakoo Dabi hakukuwa na mbabe. Kiungo Pacome chaguo la kwanza Jangwani alikosekana kwenye…
Yanga SC 0-0 Simba SC: Semaji Ahmed, Ali Kamwe watoa matamko mazito kumhusu Refa wa Kariakoo dabi, matokeo, msimamo
Tambo kwishaa, sasa ni matamko. Baada ya matokeo ya Yanga SC 0-0 Simba SC katika mchezo wa dabi ya Kariakoo, maneno yamezidi kuwa mengi. Safu ya Waamuzi wa mchezo huo…
Fulltime: Yanga SC 0-0 Simba SC NBC Premier League/Highlights, stats, standings
Fulltime: Yanga SC 0-0 Simba SC NBC Premier League leo Machi Mosi 2026. Mlinda mlango wa Jangwani, Djigui Diarra alifanya kazi kubwa kutimiza majukumu. Wababe hawa wametoshana nguvu visiwani Zanzibar.…
Yanga SC 0-0 Simba SC NBC Premier League/ Pacome out, lineups
Yanga SC 0-0 Simba SC NBC Premier League matokeo ya dakika 45 za mwanzo. Mlinda mlango wa Yanga SC, Djigui Diarra ameokoa hatari mbili za hatari langoni. Mnyama anakwenda mapumziko…
Arsenal vs Chelsea: ‘London Derby’ moto utawaka! live score, h2h, habari za timu, vikosi
MOTO utawaka katika jiji la London, England leo Jumapili ambapo kunapigwa mchezo mkubwa wa ‘London Derby’. Ni Arsenal vs Chelsea mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa Emirates. Huu ni mchezo mwingine…
Yanga SC vs Simba SC taarifa mpya kutoka Zanzibar, hali ya vikosi, Goncalves na Steve Barker
Yanga SC vs Simba SC taarifa mpya kutoka Zanzibar zinaeleza wageni wapo kwenye presha. Ni leo Machi Mosi 2026, Uwanja wa New Amaan Complex unaobeba mashabiki 15,000. Pedro Goncalves Kocha…
