Mtibwa Sugar watibua mabadiliko Yanga SC / Mhesa na Pacome goal 2025/26 / Highlights, standings
Mtibwa Sugar watibua mabadiliko Yanga SC NBC Premier League. Wananchi walibainisha wataonyesha utofauti mwisho wamegawana alama moja kwa kufungana 1-1. Huu unakuwa mchezo wa 3 kwa Yanga SC mfululizo bila…
Mtibwa Sugar 0-1 Yanga SC takwimu dakika 45/ Pacome goal
Mtibwa Sugar 0-1 Yanga SC takwimu dakika 45 za mwanzo. Wananchi wanakwenda mapumziko wakiongoza goli moja. Mfungaji Pacome Zouzoua dakika ya 23. SOMA HII: Yanga SC wanaanza mabadiliko leo NBC…
Yanga SC wanaanza mabadiliko leo NBC Premier League vs Mtibwa Sugar/ H2H, prediction
Yanga SC wanaanza mabadiliko leo dhidi ya Mtibwa Sugar baada ya kuangusha pointi 4. Azam FC 0-0 Yanga SC, TRA United 0-0 Yanga SC matokeo ya mechi mbili zilizopita NBC…
Simba SC na kibarua kuikabili TRA United / Steve Barker kavurugwa / H2H, standings
Simba SC na kibarua kuikabili TRA United, NBC Premier League, Uwanja wa Meja General Isahmuyo. Mchezo huo unafuata wakitoka kuvurugwa vs Pamba Jiji FC kwa kufungana 1-1. Steve Barker, Kocha…
Uchovu wa Yanga SC utawapa faida Mtibwa Sugar? Pedro Goncalves ataja changamoto
Uchovu wa Yanga SC utawapa faida Mtibwa Sugar? Ni swali ambalo linasubiri majibu kuelekea mchezo wa NBC Premier League kesho Machi 21, 2026 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Hii ni baada…
Pamba Jiji FC waigomea Simba SC NBC Premier League/ Highlights, statics, standings, goal
Pamba Jiji FC waigomea Simba SC NBC Premier League kwa kusawazisha goli ndani ya dakika 3. Wababe hawa wamegawana pointi mojamoja wakifungana goli 1-1. Mnyama alionyesha makucha dakika ya 33…
Mashujaa FC yaibana Azam FC NBC Premier League/ Highlights, statics, standings
Mashujaa FC yaibana Azam FC NBC Premier League, Uwanja wa Lake Tanganyika. Miamba hawa wawili wametoshana nguvu kwa dakika 90 kukamilika bila kufungana. Mwisho matoke oni Mashujaa FC 0-0 Azam…
Pamba Jiji FC 1-1 Simba SC matukio baada ya dakika 45 kwenye Ligi Kuu Bara mnamo 19/03/2026
Pamba Jiji FC 1-1 Simba SC dakika 45 za mwanzo Uwanja wa CCM Kirumba. Anicent Oura alifunga goli la kuongoza dakika ya 33. Dakika 3 mbele Pamba Jiji FC walisawazisha…
Mashujaa FC 0-0 Azam FC NBC Premier League
Mashujaa FC 0-0 Azam FC dakika 45 za mwanzo. Wababe hawa wapo Uwanja wa Lake Tanganyika leo Machi 19,2026. Timu zote mbili zinakwenda mapumziko zikiwa hazijafungana, dakika 45 za kipindi…
