Newcastle United vs Barcelona UEFA Champions league – live score, h2h, line ups, utabiri, habari za timu na vikosi vinavyotarajiwa
Hatua ya 16 bora ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), inatarajiwa kurindima wiki hii. Jumanne kutapigwa mechi 4 za kwanza, huku siku ya Jumatano Kundi la…
Singida Black Stars vs Simba SC NBC Premier League Machi 11,2026/ Live score, standings
Singida Black Stars vs Simba SC NBC Premier League ni mcheza unaofuata. Amas Obasogie mlinda mlango anatarajiwa kurejea kikosini. Hiyo ni baada ya kuwa na kusimamishwa kutokana na hali ya…
Yanga SC 7-1 Polisi Tanzania CRDB Federation Cup kituo kinachofuata Mbeya/ Ratiba na msimamo
Baada ya ushindi wa Yanga SC 7-1 Polisi Tanzania CRDB Federation Cup kituo kinachofuata ni Mbeya. Mshambuliaji Depu alifunga hat trick Uwanja wa KMC Complex, Machi 8,2026. Frank Asinki alijifunga…
Simba SC 2-0 B19 FC CRDB Federation Cup/ Highlights, results, goal
Simba SC 2-0 B19 FC CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi hatua ya 32 bora, Uwanja wa Mej Gen. Isahmuyo. Magoli ya Inno Loemba dakika ya 22 na Clatous Chama…
Athletic Bilbao vs Barcelona – live score, h2h, line ups, utabiri, habari za timu na vikosi vinavyotarajiwa
Ligi Kuu Hispania La Liga inaendelea tena wikiendi hii. Miongoni mwa michezo muhimu ni ule wa Athletic Bilbao vs Barcelona ambapo Wakatalunya watakuwa wanalenga kupata ushindi wa tatu mfululizo katika…
Simba SC vs B19 FC Kombe la Shirikisho la CRDB: live score, Simba yatamba kuwasha moto, Ratiba, msimamo, matokeo
Kikosi cha Mnyama LEO kinashuka tena uwanjani kwa ajili ya mchezo muhimu wa Kombe la Shirikisho la CRDB. Ni katika mchezo wa Simba SC vs B19 FC unaotarajiwa kupigwa kwenye…
Ratiba ya Simba SC 2025/26 Machi dakika 450 za kazi/ Msimamo, matokeo
Ratiba ya Simba SC 2025/26 Machi nyumbani ni mechi mbili na tatu ugenini kusaka ushindi. Steve Berkar mbinu zake zinatarajiwa kutumika dakika 450. Mchezo uliopita ilikuwa Yanga SC 0-0 Simba…
Ratiba ya Yanga SC 2025/26 ni moto/ Mechi 5 NBC Premier League ugenini/ Msimamo, matokeo
Ratiba ya Yanga SC 2025/26 ni bandika bandua kutokana na mechi zilizopo mbele yake. Ndani ya Machi kuna mechi 5 zilizopo mkononi NBC Premier League. Kete ya kwanza Pedro Goncalves…
Simba SC yajivunia ubora wa kikosi 2025/26/ Fixture, Standings
Simba SC yajivunia ubora wa kikosi hicho kuelekea kwenye mechi zijazo za ushindani. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano unyamani ametoa rai kwa mashabiki kuendeleza umoja. Ni…
