Clatous Chama usajili wake umelipa | Takwimu na timu alizocheza CAF Champions League
Clatous Chama usajili wake umelipa kwa mara nyingine Simba SC umelipa akitokea Singida Black Stars. Kiungo huyo mshambuliaji raia wa Zambia amezaliwa 18/06/1991 ana miaka 34. Jezi yake pendwa ni…
Yanga SC vs Azam FC: Muungano Cup 2026 Nusu Fainali yamoto, Ratiba, h2h, matokeo
Yanga SC vs Azam FC moto utawaka Jumamosi hii ya 25/4/2026, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Ni katika mchezo mkali wa Nusu Fainali ya kwanza, ya mashindano ya…
Muungano Cup 2026 | Gueye, Oura, Mpanzu wa Simba SC kutikisa Zanzibar, ratiba na matokeo
Muungano Cup 2026 inaendelea tena leo Alhamisi, huko visiwani Zanzibar. Mechi 2 kali za Robo Fainali zinapigwa, ambapo mchezo wa kwanza umeshuhudia Mabingwa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege FC wakiichapa Singida…
TZS 20,000,000 SportPesa Prize Drop Promotion: Win Up to TZS 3,000,000 playing JetX, Balloon & Multi Hot 5
The SportPesa Prize Drop Promotion is here again to elevate your gaming experience with instant wins, exciting gameplay, and massive prize potential from a total prize pool of TZS 20,000,000.…
Yanga SC haijafungwa mechi 19 NBC Premier League 2025/26 | Matokeo na msimamo
Yanga SC haijafungwa mechi 19 NBC Premier League 2025/26. Aprili 16, 2026 waliichapa magoli 6-0 Mbeya City, Uwanja wa KMC Complex. Mara baada ya mchezo huo, Mecky Maxime aliyekuwa kocha…
Yanga SC vs Simba SC | Dabi ya Kariakoo hatihati kupigwa Fainali Muungano Cup 2026, Ratiba, matokeo, kuwagonganisha
Harufu ya dabi ya Kariakoo Yanga SC vs Simba SC, kwenye Fainali ya Muungano Cup 2026 imeanza kunukia visiwani Zanzibar. Hii ni baada ya Wananchi kuanza kwa kishindo mchezo wa…
Unbeaten 19 Azam F.C NBC Premier League | Yanga SC rekodi zinadunda
Unbeaten 19 Azam F.C NBC Premier League 2025/26 chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge. Matokeo ya mchezo uliopita hivi punde Azam FC 3-0 JKT Tanzania. Huu ulikuwa ni mchezo wa…
Arsenal & Manchester City EPL fixture: Ratiba ya mechi zilizobaki, nani ana ratiba rahisi, nani ana ngumu kuelekea ubingwa?
Ratiba (Arsenal & Manchester City EPL Fixture) imezidi kuwa na uzito mkubwa, kila mchezo uliosalia unaweza kuamua nani atatwaa ubingwa. Makala hii inachambua kwa ufupi ratiba iliyosalia, ya mechi za…
Muungano Cup 2026 | Ratiba, Simba SC, Yanga SC kukiwasha Robo Fainali
Mashindano ya Muungano Cup 2026 yamezinduliwa rasmi jana Aprili 19, 2026 huko visiwani Zanzibar. Uzinduzi huo ulifanyika kutoka Ukumbi wa Mikutano wa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Mashindano hayo…
