TRA United vs Yanga SC NBC Premier League Machi 18/2026 Arusha/ H2H, lineups, statics, live score
TRA United vs Yanga SC NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba. Machi 18 2026, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Wakusanya mapato mchezo wao dhidi ya Simba SC uliahirishwa…
Taarifa mpya Depu na Boka wa Yanga SC haifurahishi/ Orodha ya wachezaji majeruhi
Taarifa mpya Depu na Boka wa Yanga SC haifurahishi kutokana na huduma zao kukosekana uwanjani. Furaha ya mchezaji ni kuwa fiti na maumivu yanamfanya awe nje kwa muda akipambania hali…
Manchester City vs Real Madrid UEFA Champions league| Nani atafuzu Robo Fainali? Live score, lineups, h2h, utabiri na habari za timu
Manchester City vs Real Madrid ndiyo Habari ya mjini, huu ni mchezo unaosubiriwa kwa hamu Jumanne hii. Mchezo huu wa marudiano wa hatua ya 16 bora wa UEFA Champions League…
Azam FC 0-0 Yanga SC Dar Derby/ Highlights, standings, statics
Azam FC 0-0 Yanga SC matokeo rasmi NBC Premier League. Dar Derby imekamilika Machi 15 2026 Uwanja wa Mkapa kwa wababe kugawana pointi mojamoja. Feisal Salum alichaguliwa kuwa man of…
TRA United vs Simba SC umeahirishwa/ TPLB kuamua/ Kamishna Mussa Nyamandege athibitisha
Mchezo kati ya TRA United vs Simba SC umeahirishwa rasmi utapangiwa tarehe na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB). Kamishna wa mechi hiyo namba 7, Mussa Nyamandege amethibitisha kuahirishwa kwa…
TRA United vs Simba SC nani atashinda?/ H2H, Standings, live score
Mchezo mkali wa leo TRA United vs Simba SC nani atashinda? Matokeo yakushangazwa yanatarajiwa kutokea leo kutokana na ubora wa timu zote mbili. Wakusanya mapato chini ya kocha Ettiene Ndayiragije…
TRA United vs Simba SC ni leo NBC Premier League/ Ratiba na matokeo/ CAF Champions League
TRA United vs Simba SC ni leo NBC Premier League. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid saa 10:00 jioni mchezo utapigwa. Wenyeji wamecheza jumla ya mechi 14 wanawakaribisha wageni waliocheza mechi…
Azam FC vs Yanga SC: Jeshi la Yanga SC latua Dar leo Ijumaa, h2h, Ratiba, matokeo Ligi Kuu ya NBC
Kuelekea mchezo wa Azam FC vs Yanga SC unaofahamika kama ‘Dar es Salaam Derby’ utakaopigwa siku ya Jumapili, Wananchi rasmi leo Ijumaa wametua jijini Dar es Salaam. Yanga SC watavaana…
Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC NBC Premier League/ Highlights, goal, statics
Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC NBC Premier League matokeo rasmi Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Depu amefunga goli la ushindi dakika ya 79. Huu ni mchezo wa 11 vinara wa ligi…
