Allan Okello wa Yanga SC ni balaa jipya Ligi Kuu NBC | Magoli na asisti, Takwimu zake zinatisha
‘Star boy’ Allan Okello wa Yanga SC amezidi kuwa gumzo kubwa kwenye Ligi Kuu Bara, baada ya kujiunga na Yanga SC kwenye dirisha dogo la usajili la Januari. Mara baada…
Msimamo Ligi Kuu NBC 2025/26: Yanga SC 3-0 Singida Black Stars, Wananchi warudi kileleni kwa kishindo! Matokeo, Ratiba
Yanga SC rasmi wamerejea kileleni mwa Msimamo Ligi Kuu NBC 2025/26, hii ni baada ya kuichapa Singida Black Stars. Dakika 90 zimekamilika Uwanja wa KMC huku ubao wa matokeo ukionyesha…
Coastal Union 1-2 Simba SC NBC Premier League 2025/26 | Matokeo, takwimu, h2h | SportPesa Blog
Coastal Union 1-2 Simba SC ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League 2025/26. Wababe hawa wamekutana Mei 21, 2026 kwenye mechi kali. Magoli yamefungwa na Maabad Maulid Maabad dakika…
Vinara wa asisti NBC Premier League 2025/26 | Okello, Mpanzu, Feisal waiteka shoo
Vita inazidi kuwa kali ndani ya Ligi Kuu Bara yaani (NBC Premier League 2025/26), wakati huu zikiwa zimebaki mechi 6 tu. Wapo wanaopambania ubingwa, wapo wanapambania kutoshuka daraja, lakini wapo…
Ratiba ya Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup 2026 | Matokeo, takwimu | SportPesa Blog
Tumekuletea ratiba ya Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup 2026 ipo wazi kwa sasa mara baada ya robo fainali kukamilika. Nusu fainali ya kwanza itakuwa ni Simba SC vs Coastal…
Orodha ya wafungaji bora NBC Premier League 2025/26 | Feisal, Chama, Prince Dube kwenye vita kali
Ligi Kuu Bara yaani (NBC Premier League 2025/26) imeingia katika mzunguko wa 24. Hii inafanya ligi hiyo isaliwe na mechi 6 tu, kumalizika. Hali hii inafanya kila pointi, rekodi na…
Usajili mpya Simba SC balaa: Clatous Chama, Sopu, Mpanzu watikisa tena
Yametimia! Tetesi za usajili mpya Simba SC zinaendelea kutikisa, hii ni kuelekea kufunguliwa kwa dirisha kubwa la usajili. Ligi Kuu Bara (NBC Premier League), iko karibu kumalizika, ambapo mpaka sasa…
Yanga SC vs Singida Black Stars: Ligi Kuu ya NBC | Matokeo, Ratiba, msimamo, utabiri, Livescore, h2h, na Habari za timu
Vita ya ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League), itaendelea tena Ijumaa 22/5/2026, ambapo ratiba inaonyesha Yanga SC vs Singida Black Stars. Yanga SC ambao ndio mbingwa watetezi,…
Coastal Union vs Simba SC: Ligi Kuu ya NBC | Ratiba, matokeo, msimamo, utabiri, Livescore, h2h, na Habari za timu
Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League), itaendelea tena kesho Alhamisi 21/5/2026 kwa michezo kadhaa, huku Coastal Union vs Simba SC ukiwa mchezo mkubwa zaidi. Mechi hii inatarajiwa kupigwa katika…
