Tanzania vs Liechtenstein: Live score, h2h, prediction, ratiba na habari za timu
Ligi mbalimbali duniani zimesimama kwa muda kupisha ratiba ya mashindano ya FIFA Series, ambayo ni mashindano maalum yanayoratibiwa na Shirikisho la soka Duniani. Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’…
Singida Black Stars vs Azam FC NBC Premier League | H2H, msimamo, takwimu, utabiri
Singida Black Stars vs Azam FC NBC Premier League ni mechi kali inayofuata. Aprili Mosi, mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Airtel. Saa 10:00 jioni Singida. SOMA HII: Mashujaa FC…
Usajili Simba SC umeanza mapema | Orodha na rekodi za wachezaji walioongeza kandarasi unyamani
Usajili Simba SC umeanza mapema kwa kumalizana na nyota watatu muhimu. Ellie Mpanzu, Yusuph Kagoma na Rushine De Reuck wataendelea kusalia. Hii ni baada ya kufikia makubaliano kuongeza kandarasi mpya…
Kocha mpya Yanga SC Abdihamid Moalin ana uzoefu | Mafanikio na mipango ya Yanga SC
Kocha mpya Yanga SC Abdihamid Moalin ametangazwa rasmi kurejea nyumbani akiwa ni msaidizi. Kocha ana mafanikio kwa kutwaa ubingwa wa NBC ana uzoefu katika soka la Bongo. Timu ya kwanza…
Usichokijua kuhusu usajili wa Mpanzu: Je, ni kweli Yanga SC walimpa mkataba?
Baada ya kuwepo kwa sintofahamu kubwa kumhusu kiungo mshambuliaji wa Simba, Elie Mpanzu hatimaye sakata lake limefikia mwisho. Hii ni baada ya uongozi wa Simba SC leo Jumatatu kutangaza rasmi…
Pedro Goncalves kufukuzwa Yanga SC? | Mabosi wakutana kufanya tathimini
Pedro Goncalves kufukuzwa Yanga SC? Tetesi zimekuwa zikieleza hivyo. Hii inatokana na mwendo wa timu katika mechi za NBC Premier League. Kwenye mechi tatu mfululizo Yanga SC ilishindwa kupata ushindi.…
Simba SC 3-0 TRA United highlights, H2H, standings, twakimu | Matokeo ya NBC Premier League
Simba SC 3-0 TRA United matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League. Magoli yamefungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 12, Neo Maema dakika ya 67 na Yusuph Kagoma dakika ya…
Real Madrid vs Atletico Madrid ‘Madrid derby’ – Live score, lineups, h2h, utabiri wa matokeo na habari za timu
Vita ya ubingwa wa Ligi Kuu Spain inaendelea tena leo Jumapili. Mchezo mkali wa Madrid derby, kati ya Real Madrid vs Atletico Madrid ndio unasubiriwa kwa hamu kubwa. Hii ni…
Arsenal vs Manchester City Carabao Cup Final: Live Score, lineups, h2h, habari za timu na utabiri wa matokeo
Moto utawaka katika Uwanja wa Wembley leo Jumapili. Ni katika mchezo mkali wa Fainali ya Carabao Cup kati ya Arsenal vs Manchester City. Swali kubwa ni je, ni Arsenal au…
