Muuza Kuku Azoa Tshs 14,817,786 Jackpot Bonus Ya Sportpesa
Mkazi wa Kitunda, Mwanagati, Wilaya ya Ilala, jijini Dar-es-Salaam, Noel Jackob Mnyambi, ameshinda Tshs 14,817,786 katika Jackpot Bonus ya Sportpesa iliyochezwa mwishoni mwa wiki iliyoisha, baada ya kupatia kwa usahihi mechi 12 kati ya mechi 13. Akizungumza baada ya hafla…