Msimamo Ligi Kuu NBC 2025/26Matokeo Yanga SC vs Singida Black Stars
  • Allan Okello wa Yanga SC amekuwa kiungo mshambuliaji matata kwa Yanga SC 2025/26 akifunga mabao 9 na kuasisti mabao 7.
  • Okello kwenye mechi za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON), akiichezea Uganda ameweza kucheza mechi 3 na kuandikisha asisti 1, huku akisubiria kucheka na nyavu kwenye mechi zijazo.
  • Kiungo huyu hodari alijiunga na Yanga SC kutoka timu ya Vipers FC ya Uganda.
  • Je, Allan Okello ataendeleza kasi ya takwimu bora kwa kufunga mabao na asisti akiwa hapa Yanga SC?

Allan Okello ni kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Uganda na klabu ya Yanga SC. Mchezaji huyu mweledi ana umri wa miaka 25 tu, ambapo alizaliwa July 4, 2000. Anajulikana zaidi kwa umaarufu wake wa kutumia mguu wa kushoto na kupiga chenga hatari zinazowasumbua mabeki kwenye Ligi Kuu Bara. Ndani ya kikosi cha Yanga SC staa huyu anavaa jezi namba 20, akihudumu kwenye nafasi ya mshambuliaji.

KipengeleTaarifa
JinaAllan Okello
Namba20
TaifaUganda
NafasiMshambuliaji
Klabu ya SasaYoung Africans S.C.
LigiNBC Premier League 2025/2026
Msimu2025/26
Tarehe ya Kuzaliwa4 Julai 2000
UmriMiaka 25
Magoli9
Asisti7

Fuatilia habari za sasa za Allan Okello ikiwemo takwimu, mabao, taarifa zake za usajili na tathimini ya mechi zijazo kupitia SportPesa Blog.

Bado hujashinda? Cheza, ushinde na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni muda huu

Je, hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kubashiri SportPesa bonyeza picha hii chini.

Aviator game promotional banner featuring a red propeller plane and a jackpot of 800,000,000.
Aviator: High-flying wins up to 800,000,000.

Takwimu za Allan Okello

Takwimu za Allan Okello msimu huu zimekuwa za bashasha, ambapo amefanikiwa kuifungia Yanga SC mabao 9 na kuasisti mabao 7. Kwenye mechi za kitaifa akiichezea Uganda amefanikiwa kuasisti bao moja huku akiendelea kusaka rekodi ya bao.

Hili hapa jedwali la takwimu za Allan Okello;

KipengeleTakwimu
Asilimia ya pasi sahihi76.2%
Asilimia ya mipira mirefu sahihi71.4%
Asilimia ya krosi zilizofanikiwa30.0%
Asilimia ya ushindi wa duwa35.3%
Miguso ya mpira122
Magoli 9
Assisti 7

Jedwali lifuatalo linakuletea kwa ufupi takwimu za Okello kwenye Ligi Kuu NBC Premier 2025/26;

SIMA HII ZAIDI: Deal done Allan Okelo asaini miaka miwili Yanga SC/ Orodha ya wanaofuata

Hitimisho

Yanga SC vs Azam FC nusu fainali
Okello na Mudathir

Takwimu za Allan Okello msimu huu wa 2025/26 zinaonyesha kuwa kiungo huyu mshambuliaji wa Yanga SC atazidi kuwa tishio kwenye Ligi Kuu ya NBC.Huku vipaji mbalimbali vikichipuka kwenye soka la Tanzania, wafungaji bora wa msimu wanaongozwa na FeiToto mwenye mabao 12, Prince Dube (9), wakifuatiwa na Allan Okello kwenye nafasi ya tatu mwenye mabao 9. Kupitia SportPesa blog hapa tunakuandalia habari kemkem za wachezaji wote wa NBC Premier League, makocha na muhtasari wa ligi Kuu Bara.

SOMA HII PIA: Allan Okello mambo fresh Yanga SC/ Orodha ya wapya waliotambulishwa

Share this:

By Joel Thomas

Joel Thomas is a Tanzanian sports writer with a BSc (Education) from Mwenge Catholic University. He spent 4 years at Global Publishers and is in his second year with SportPesa, covering football and betting education for local fans. Anapenda soka na anaandika kwa uwajibikaji.