BODA BODA KONGWA ALAMBA Sh 7,887,966 JACKPOT BONUS YA SPORTPESA
Mkazi wa Chamahe, wilaya ya Kongwa, Dodoma Yosiah Ndoloji Ngubesi, ameshinda Sh 7,887,966, katika Supa Jackpot Bonus ya Sportpesa iliyochezwa mwishoni mwa wiki iliyoisha, baada ya kupatia kwa usahihi mechi 14 kati ya mechi 17. Akizungumza baada ya hafla ya…