MWALIMU SIMIYU ASHINDA JACKPOT BONUS YA SPORTPESA 16,088,715
Mkazi wa Lamadi, Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu Shabani Salumu Forogo, ameshinda shilingi milioni 16, katika Jackpot Bonus ya Sportpesa iliyochezwa mwishoni mwa wiki iliyoisha, baada ya kupatia kwa usahihi mechi 12. Akizungumza baada ya makabidhiano ya mfano wa hundi…