Tabora FC: Timu Chipukizi Katika Soka la Tanzania
Tabora FC ambayo pia hujulikana kama Tabora United, inaibukia kwa kasi katika soka la Tanzania. Klabu hii ilianzishwa mwaka 2014 na imepiga hatua kubwa katika miaka ya hivi karibuni, ikionesha…
Stellenbosch FC – Habari Mpya, Ratiba, Matokeo na Taarifa za Kikosi
Stellenbosch FC imeibuka kwa kasi kama moja ya timu kali na zenye nguvu kwenye soka la Afrika Kusini, ikionesha mchanganyiko wa mipango ya kimkakati na ubora wa uwanjani. Chini ya…
Yanga SC yatambulisha wapya 9 Andy Boyeli ndani/ Wengine bado wanashushwa 2025/26 balaa
Yanga SC imetambulisha wachezaji wapya 9 akiwemo mshambuliaji Andy Bobwa Boyeli ikiwa ni kuelekea msimu wa 2025/26. Huo ni mwanzo kwa kuwa wapo wengine wanafuata. Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni…
Simba SC yasajili mashine hizi mbili kwa mpigo, kuelekea Ligi Kuu ya NBC 2025/26
Kuelekea msimu ujao wa 2025/26, huko Simba SC mambo ni mengi muda mchache. Hii ni baada ya jana Alhamisi, kutambulisha mashine zao mbili mpya. Nyota hao ni viungo Morice Abraham…
Aziz yupo sana Jangwani mpaka 2027/ Orodha ya wachezaji wapya Yanga SC hii hapa
Aziz Andambwile bado yupo sana Jangwani baada ya kuongeza mkataba wa miaka miwili. Andambwile ana kazi kubwa kupambania namba ndani ya Yanga SC msimu wa 2025/26. Msimu uliopita hakuwa chaguo…
Baada ya Rushine Simba yamshusha Allasane Kante huyu hapa: Tetesi usajili Ligi Kuu NBC 2025/26
Mnyama Simba hapoi, kwani Baada ya jana usiku kumtambulisha rasmi mlinzi wao Rushine. Hatimaye leo wamemtangaza kiungo wao mpya wa kati Allasane Kante. Kante amejiunga na Simba mara baada ya…
Rushine De Reuck rasmi asaini na atambulishwa Simba SC: Mashine nyingine 6 kutangazwa tetesi usajili Ligi Kuu NBC 2025/26
Kwa kishindo kikubwa Rushine De Reuck rasmi asaini na kutambulishwa Simba SC. Hii ni baada ya kimya cha muda kwa Wanamsimbazi kwenye dirisha hili la usajili hatimaye kumeanza kuchangamka. Baada…
Yanga SC yatambulisha mashine mpya nne 2025/26 | Benchi la ufundi balaa zito
Yanga SC yatambulisha mashine mpya nne ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2025/26. Katika dirisha hili la usajili mkubwa, Yanga SC haitaki utani kutokana na kazi inayoendelea. Benchi la ufundi…
Jean Ahoua anaondoka Simba SC Feisal kurithi mikoba | Magoli yake na rekodi 2024/25
Jean Ahoua anaondoka Simba SC kwenda kupata changamoto mpya ikielezwa kuwa Feisal Salum wa Azam FC huenda akarithi mikoba ikiwa mazungumzo yatafika hatua nzuri. Inaelezwa kuwa kuna ofa zaidi ya…
