- SportPesa Blog imekuandalia ratiba ya mechi zilizobakia za Yanga SC kwenye NBC Premier League 2025/26.
- Wananchi wana michezo inayofuata kwenye ratiba yao ya ligi kuu ya bara ikiwemo; Yanga SC vs Singida Black Stars, Yanga SC vs Namungo FC, Mashujaa FC vs Yanga SC.
- Ratiba ya Yanga SC ina mechi ngumu huku wakiwa kwenye kibarua cha kutetea taji la NBC Premier League.
Hapa tumekuandalia ratiba ya Yanga SC kwa mechi zilizobakia ndani ya mashindano ya NBC Premier League. Mechi za mabingwa watetezi sio nyepesi kutokana na kila timu kuhitaji pointi 3 muhimu. Ahmid Moallin Kocha Mkuu wa timu hiyo amesema : “Tunamechi ngumu mbele yetu, tutafanyia maboresho makosa yaliyopita ili kuwa bora zaidi,”.
SOMA HII: Deal done! Roman Folz ‘out’, kocha mpya Yanga SC huyu hapa
Cheza na ushinde sasa na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni muda huu
Hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kubashiri SportPesa bonyeza picha hii chini.

Ijue ratiba ratiba ya mechi zilizobakia za Yanga SC kwenye NBC Premier

Kazi inaendelea huku ratiba ya mechi zilizobakia za Yanga SC kwenye NBC Premier League. Tazama ilivyo ramani kwa wababe hao kutetea taji la ligi. Dar Derby inatarajiwa kupigwa Juni 24, 2026.
SOMA HII: Yanga SC bingwa NMB Mapinduzi Cup 2026 kwa penati 5-4 Azam FC/ Highligts, stats

| Tarehe | Mechi | Uwanja |
| Mei 22, 2026 | Yanga SC vs Singida Black Stars | KMC Complex |
| Mei 25, 2026 | Yanga SC vs Namungo FC | KMC Complex |
| Juni 13, 2026 | Mashujaa FC vs Yanga SC | Lake Tanganyika |
| Juni 17, 2026 | Fountain Gate FC vs Yanga SC | Sheikh Amri Abeid |
| Juni 24, 2026 | Yanga SC vs Azam FC | KMC Complex |
| Juni 27, 2026 | Yanga SC vs TRA United | KMC Complex |
| Juni 30, 2026 | JKT Tanzania vs Yanga SC | Meja Jeneral Isamuhyo |
| Mechi zilizobaki :7 | Nyumbani-4 ugenini-3 |

Yanga SC imebakiza mechi 7 kukamilisha msimu wa 2025/26. Katika michezo hiyo nyumbani ana mechi 4 na ugenini mechi 3. Mchezo wa mwisho itakuwa ugenini dhidi ya JKT Tanzania, Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo.
SOMA HII: Matokeo ya Muungano Cup 2026 |Wafungaji vinara | Man of The Match
Hitimisho
Kwenye ratiba ya Yanga SC kwa mechi zilizobakia ndani ya mashindano ya NBC Premier League hakuna mnyonge. Michezo ya lala salama imekuwa na maajabu mengi. Endelea kufuatilia SportPesa Blog kwa taarifa na matokeo zaidi.

