SIMBA VS YANGA- Ni Dabi ya Baleke na Mayele!
Usiku wa deni haukawii kucha, unaweza kusema baada ya tambo za muda mrefu vitendo ndivyo vinavyosubiriwa ndani ya Uwanja, ambapo siku ya kesho, Jumapili ya Aprili 16,2023 mashabiki na wapenzi…
Usiku wa deni haukawii kucha, unaweza kusema baada ya tambo za muda mrefu vitendo ndivyo vinavyosubiriwa ndani ya Uwanja, ambapo siku ya kesho, Jumapili ya Aprili 16,2023 mashabiki na wapenzi…
Jumamosi hii kwenye dimba la Etihad majira ya saa 1.30 Usiku kwa saa za Afrika Mashariki, Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya England Manchester City watakuwa kibaruani kuwakabili Mabingwa wa…
Unaweza kusema Peter James Maduhu ni mmoja wa watanzania wenye bahati ya mtende. Akiwa anajiandaa na msimu wa sikukuu Peter alimua kucheza Jackpot ya kati kati ya wiki ya SportPesa…
MANCHESTER United kesho inaikaribisha timu ya Sevilla inayoshiriki Ligi kuu ya Uhispania katika mchezo wa ngwe ya kwanza ya robo fainali ya michuano ya ligi ya Europa, utakaochezwa katika Uwanja…
Usiku mwingine wa Ulaya unachukua nafasi yake siku ya kesho kwa mchezo mwingine wa robo fainali ya kwanza ya kombe la klabu bingwa Ulaya, UEFA Champions League,ambapo mabingwa wa kihistoria,…
DABI YA MOTO SCOTLAND- CELTIC VS RANGERS -Ni patashika nguo kuchanika Katika mwendelezo wa zile mechi kali kali za soka barani Ulaya kwa wiki hii, huwezi kuacha kuitaja mechi ya…
Klabu ya soka ya Benfica kesho wanawakaribisha timu ya Porto, katika mchezo wa ligi ya Primiera Liga, unaotarajiwa kuwa wa vuta ni kuvute kutokana na namna timu zote mbili zinavyohitaji…
Ukiongelea mechi kubwa katika ulimwengu wa soka huwezi kuacha mechi ya Dabi ya El Clássico. Hii ni mechi inayokutanisha miamba wawili ya soka barani Ulaya, ambapo kila mmoja kwa wakati…
Klabu ya soka ya Young Africans (Yanga), kesho wanatarajiwa kucheza mchezo wao wa mwisho wa hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Tout Puissant Mazembe. Mchezo huu…