Kocha mpya Yanga SC huyu hapa | NBC Premier League, Takwimu, Matokeo, Ratiba
Nani kuwa kocha mpya Yanga SC? Hili ndilo swali kubwa miongoni mwa wadau wa soka na hasa mashabiki wa Yanga SC. Hii inakuja ikiwa ni siku moja tu, imepita tangu…
Yanga SC kumfukuza kocha Pedro Goncalves | Ali Kamwe atoa sababu hizi 4 nzito, Simba SC yatajwa | Takwimu, Matokeo, NBC Premier League
Baada ya jana Jumatano 6/5/2026 Uongozi wa Yanga SC kumfukuza kocha Pedro Goncalves, hatimaye leo Alhamisi uongozi wa timu hiyo umetaja sababu 4 zilizopelekea uamuzi huo. Ikumbukwe, Pedro alipokea mikoba…
Breaking news: Pedro Goncalves afutwa kazi Yanga SC rasmi | SportPesa Blog
Pedro Goncalves afutwa kazi Yanga SC rasmi leo Mei 6, 2026. Pedro alikuwa ni Kocha Mkuu wa Yanga SC ambaye alichukua mikoba ya Romain Folz. Mchezo wa mwisho kukaa benchi…
KMC FC 0-1 Yanga SC NBC Premier League | Highligts, goal | SportPesa Blog
KMC FC 0-1 Yanga SC NBC Premier League matokeo rasmi mchezo wa leo Mei 6. 2026, Uwanja wa KMC Complex. Goli la ushindi limefungwa na Allen Okello dakika ya 65.…
Simba SC vs JKT Tanzania NBC Premier League | H2H, takwimu, utabiri, 6 kukosekana | SportPesa Blog
Simba SC vs JKT Tanzania NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba leo. Mnyama mchezo uliopita aligawana pointi mojamoja kwa kufungana magoli 2-2 dhidi ya Yanga SC. Uwanja wa…
KMC FC vs Yanga SC ni leo NBC Premier League | Takwimu, H2H | SportPesa Blog
KMC FC vs Yanga SC ni leo Mei 6, 2026 mchezo wa NBC Premier League mzunguko wa pili. Hii ni vita ya timu inayoongoza ligi na inayoburuza mkia kwenye msimamo.…
Kariakoo Dabi-Goli la Clatous Chama gumzo kubwa | Ahmed Ally atamba | SportPesa Blog
Goli la Clatous Chama kiungo mshambuliaji wa Simba SC gumzo kubwa kila kona kutokana na kufungwa kitaalamu mchezo wa Kariakoo Dabi. Mwamba wa Lusaka alifunga goli dakika ya 10 kwa…
Preview: Bayern Munich vs Paris Saint-Germain | h2h, lineups, prediction na Habari za timu
Bayern Munich vs Paris Saint-Germain je, ni mvua ya magoli tena? Ndilo swali kubwa ambalo wadau wa soka wanajiuliza. Hii ni kuelekea mchezo mkali wa marudiano wa Nusu Fainali ya…
Arsenal vs Atletico Madrid | UEFA Champions League, Livescore, Prediction, lineups, habari za timu
Arsenal vs Atletico Madrid mechi ya kufa na kupona itakayopigwa kesho Jumanne, kwenye Uwanja wa Emirates. Ni mechi ya mkondo wa pili ya UEFA Champions League. Ikumbukwe mchezo wa mkondo…
