Simba SC vs JKT Tanzania NBC Premier League | H2H, takwimu, utabiri, 6 kukosekana | SportPesa Blog
Simba SC vs JKT Tanzania NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba leo. Mnyama mchezo uliopita aligawana pointi mojamoja kwa kufungana magoli 2-2 dhidi ya Yanga SC. Uwanja wa…
KMC FC vs Yanga SC ni leo NBC Premier League | Takwimu, H2H | SportPesa Blog
KMC FC vs Yanga SC ni leo Mei 6, 2026 mchezo wa NBC Premier League mzunguko wa pili. Hii ni vita ya timu inayoongoza ligi na inayoburuza mkia kwenye msimamo.…
Kariakoo Dabi-Goli la Clatous Chama gumzo kubwa | Ahmed Ally atamba | SportPesa Blog
Goli la Clatous Chama kiungo mshambuliaji wa Simba SC gumzo kubwa kila kona kutokana na kufungwa kitaalamu mchezo wa Kariakoo Dabi. Mwamba wa Lusaka alifunga goli dakika ya 10 kwa…
Preview: Bayern Munich vs Paris Saint-Germain | h2h, lineups, prediction na Habari za timu
Bayern Munich vs Paris Saint-Germain je, ni mvua ya magoli tena? Ndilo swali kubwa ambalo wadau wa soka wanajiuliza. Hii ni kuelekea mchezo mkali wa marudiano wa Nusu Fainali ya…
Arsenal vs Atletico Madrid | UEFA Champions League, Livescore, Prediction, lineups, habari za timu
Arsenal vs Atletico Madrid mechi ya kufa na kupona itakayopigwa kesho Jumanne, kwenye Uwanja wa Emirates. Ni mechi ya mkondo wa pili ya UEFA Champions League. Ikumbukwe mchezo wa mkondo…
Simba SC 2-2 Yanga SC: Matukio 6 ya ajabu yaliyotokea, NBC Premier League, matokeo na Takwimu | SportPesa Blog
Simba SC 2-2 Yanga SC ulisomeka ubao wa matokeo wa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, mara baada ya dakika 90 nzito jana Jumapili. Haya ni matokeo ya mchezo mkali wa…
Yanga SC itafungwa na nani 2025/26 NBC Premier League? | Matokeo na msimamo | SportPesa Blog
Yanga SC itafungwa na nani 2025/26 NBC Premier League? Hii ni baada ya kufikisha mechi 20 mfululizo bila kufungwa. Matokeo ya mchezo uliopita Mei 2, 2026 Uwanja wa Meja Jeneral…
Kariakoo Dabi-Simba SC vs Yanga SC, je nani atatwaa ubingwa NBC Premier League? | SportPesa Blog
Mchezo wa Kariakoo Dabi baina ya Simba SC vs Yanga SC utapigwa Mei 3, 2026. Hii ni mechi itakayokutanisha miamba wawili wa NBC Premier League Tanzania na itachezwa Uwanja wa…
Simba SC vs Yanga SC | Taarifa mpya ya majeruhi; Oura, Kibabage na Kagoma, NBC Premier League, Ratiba, Uwanja, matokeo, msimamo na Takwimu | SportPesa Blog
Imebaki Siku 1 tu, Kuelekeea mchezo mkali wa Simba SC vs Yanga SC maarufu kama Kariakoo Dabi. Mchezo huu wa Ligi Kuu Bara (NBC Premier League), unatarajiwa kupigwa Jumapili 3/5/2026…
