Ligi Kuu ya Bara fixtures, results, scores and stats
SportPesa Blog brings you Ligi Kuu ya Bara fixtures, results, scores and stats in one place, helping fans follow the latest action, match updates and key numbers from across the…
SportPesa Blog brings you Ligi Kuu ya Bara fixtures, results, scores and stats in one place, helping fans follow the latest action, match updates and key numbers from across the…
Senegal 1-0 Misri ni matokeo ya nusu fainali AFCON 2025. Sadio Mane ni mfungaji pekee wa goli la ushindi kwenye mchezo dakika ya 78. Mane amemfungashia virago Mo Salah wa…
Kesho ndiyo kesho! Kinanawaka huko Morocco katika mashindano ya AFCON 2025. Mashindano hayo yameingia katika hatua ya Nusu Fainali, ambapo timu nne zitashuka uwanjani kusaka wanafainali wapya. Nigeria vs Morocco…
Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), yanaelekea mwishoni. Mashindano hayo sasa yanaingia katika hatua ya Nusu Fainali, ambapo kesho Jumamosi zitapigwa Nusu Fainali 2. Algeria vs Nigeria…
Hatumwi mtoto dukani! Moto utawaka kesho Ijumaa nchini Morocco kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025. Ni Cameroon vs Morocco mechi inayotarajiwa kuwa na ushindani na presha hasa…
Simba SC vs Azam FC ni mchezo unaofuata NMB Mapinduzi Cup. Hii ni hatua ya nusu fainali ya kwanza Uwanja wa New Amaan Complex saa 2:15 usiku. Mshindi wa mchezo…
Utamu unazidi kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025). Mashindano hayo yanayoendelea kutimua vumbi nchini Morocco, sasa yameingia katika hatua ya Robo Fainali. Tayari timu sita zimekwisha…
AFCON 2025: Morocco 1-0 Tanzania ni matokeo rasmi mchezo wa hatua ya 16 bora. Wenyeji wanasonga mbele hatua ya robo fainali. Goli la ushindi limefungwa na Brahim Diaz dakika ya…
AFCON 2025: Sami Trabelsi kufukuzwa kazi timu ya taifa Tunisia kwa mujibu wa ripoti. Usiku wa kuamkia Januari 4 timu ya taifa ya Tunisia ilikwama kufuzu hatua ya robo fainali.…