MSHINDI WA SPORTPESA JACKPOT YA TSH 288,974,720/=
Mkazi wa jiji la Dar es Salaam Bw. Jamal Khalfan Abdallah ameibuka mshindi katika Jackpot BABA LAO ya SportPesa wiki hii kwa kujishindia kitita cha zaidi ya Tshs milioni 288 taslimu! Bw. Jamal mwenye umri wa miaka 26 mkazi wa…