SportPesa yaizawadia Simba SC Milioni 100!
SportPesa yaizawadia Simba SC Milioni 100! Simba SC yazoa Milioni 100 SportPesa! Kampuni ya michezo na burudani SportPesa leo imewazawadia milioni 100 klabu ya Simba baada ya kushinda mashindano ya ligi kuu Tanzania bara. Simba wamejizolea fedha hizo kwa miaka…