Team Guide – Manchester City
Manchester City is known the world over as the powerhouse team of the English Premier League. Over recent seasons, they have been the team to beat – and few have managed to do it. Yet as little as a decade…
Manchester City is known the world over as the powerhouse team of the English Premier League. Over recent seasons, they have been the team to beat – and few have managed to do it. Yet as little as a decade…
Manchester United is arguably the best-known and most popular football club in the world. Travel to even the most far-flung corner of the planet and you are liable to see someone wearing a United shirt, even though they might struggle…
MANCHESTER City inajulikana duniani kama moja ya timu ya Ligi Kuu England yenye nguvu kubwa. Kwa kipindi cha misimu ya hivi karibuni, imekuwa ni timu isiyofungika – na chache zimeweza kufanya hivyo. Lakini muongo mmoja uliopita, ilikuwa habari tofauti na…
Manchester United bila shaka ni timu bora na inatambulika kama klabu ya mpira wa miguu inayojulikana zaidi duniani. Tembelea mbali katika kona ya sayari hii utakuwa na uwezo wa kumuona mtu kavaa jezi ya United, wanaweza kuwa wanapata shida kuonyesha…
Chelsea is one of the most successful teams in the English Premier League, and one that boasts a global fanbase. Yet compared with other long-established clubs, Chelsea’s fame and fortune has come in relatively recent times. Despite being formed in…
CHELSEA ni moja ya timu zilizofanikiwa zaidi kwenye Ligi Kuu ya England, na moja ya timu ambayo inayoimarika kwa mashabiki duniani. Bado ikilinganishwa na klabu nyingine za muda mrefu, umaarufu wa Chelsea na utajiri umekuja katika nyakati za hivi karibuni.…
Liverpool FC is one of the iconic teams of the English Premier League. The Anfield-based club has been part of the fabric of English football for the past 130 years, and has been crowned League Champion 19 times, a record…
LIVERPOOL FC ni timu ya kwanza kuanzishwa uingereza. Klabu hiyo yenye maskani yake Anfield limekuwa moja ya nembo ya soka la Uingereza kwa kipindi cha miaka 130 iliyopita, na imetawazwa kuwa mabingwa wa ligi mara 19, rekodi ambayo imevunjwa na…
Mpira wa kikapu ni wa pili kwa umaarufu baada ya mpira wa miguu kwa kupendwa na mashabiki wa michezo nchini Tanzania. Ni mchezo ambao wengi wetu tulicheza shuleni, na Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (FBA) lina wafuasi wa kujitolea…