Man of The Match Yanga SC 2025/26Prince Dube
  • Man of The Match Yanga SC 2025/26 Prince Dube amechaguliwa mara 3
  • Depu ametwaa tuzo mara mbili sawa na Pacome Zouzoua, Maxi Nzengeli na Mudathir Yahya
  • Stars Boy, Allen Okello alitwaa tuzo kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons
  • Yanga SC Unbeaten mechi 19, tuzo 15 NBC Premier League

Man of The Match Yanga SC 2025/26 Prince Dube anaongoza akichaguliwa mara 3. Kwenye mechi 19 timu hiyo ilitwaa tuzo 15 nne pekee zilienda upinzani. Pacome Zouzoua, Maxi Nzengeli, Mudathiri Yahya na Depu wana tuzo mbili kila mmoja.

TAARIFA KUHUSU USAJILI: Pacome Zouzoua yupo Yanga SC asaini miaka miwili | Magoli na rekodi zake akiwafunga Simba SC

Cheza na ushinde sasa na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa hivi

Hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Bashiri na SportPesa uvune mkwanja sasa hivi.

Aviator game jackpot banner TSh 800 Million prize

Man of The Match Yanga SC 2025/26

Man of The Match Yanga SC 2025/26
Allen Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC 2025/26.

Kipengele cha Man of The Match Yanga SC 2025/26 wamekitendea haki kwa kubeba tuzo nyingi. Allen Okelo alitwaa tuzo hiyo mchezo dhidi ya Tanzania Prisons walipoifunga magoli 3-0. Walipokutana na Azam FC, Feisal Salum alichaguliwa kuwa Man of The Match, Uwanja wa Mkapa.

Yanga SC Unbeaten kwenye mechi 19 za NBC Premier League. Ina tuzo 15 MoTM ikikosa nne tu. Mchezajo ujao kwenye ratiba ni dhidi ya Simba SC, unatarajiwa kuchezwa Mei

Hii hapa orodha ya Man of The Match Yanga SC 2025/26 (MoTM)

Man of The Match Yanga SC 2025/26
Pacome akikabidhiwa tuzo kwenye moja ya mchezo wa NBC Premier League.
Na.MechiMoTMTimu
1Yanga 3-0 Pamba JijiMaxiYanga
2Yanga 2-0 Mtibwa SugarTshabalalaYanga
3Yanga 4-1 KMCPacomeYanga
4Yanga 2-0 Fountain GateAbuyaYanga
5Coastal Union 0-1 YangaDubeYanga
6Yanga 6-0 MashujaaMudathirYanga
7Yanga 3-1 Dodoma JijiDepuYanga
8Namungo 0-1 YangaMaxiYanga
9Yanga 5-0 JKT TanzaniaDubeYanga
10Yanga 0-0 SimbaDiarraYanga
11Singida BS 0-3 YangaDubeYanga
12Prisons 0-1 YangaDepuYanga
13Yanga 3-0 PrisonsOkelloYanga
14Pamba Jiji 0-3 YangaMudathirYanga
15Yanga 6-0 Mbeya CityPacomeYanga
16Mbeya City 0-0 YangaBaraka FilemonMbeya City
17Azam 0-0 YangaFeisal SalumAzam
18TRA United 0-0 YangaRamadhan ChobwedoTRA
19Mtibwa Sugar 1-1 YangaIsmail MhesaMtibwa

SOMA HII: Yanga SC: Historia, Usajili wote, kikosi, Ratiba, Matokeo na Takwimu

image

Jumla ya MoTM kwa wachezaji mechi za Yanga SC

Man of The Match Yanga SC 2025/26
Mhesa Ismail alitwaa tuzo mechi dhidi ya Yanga SC.
MchezajiIdadi ya MoTM
Dube 3
Maxi2
Pacome2
Mudathir2
Depu2
Tshabalala1
Abuya1
Diarra1
Okello1
Baraka Filemon1
Feisal Salum1
Ramadhan Chobwedo1
Ismail Mhesa1

SOMA HII: Yanga SC vs Simba SC kazini leo NBC | Ratiba NBC Premier League na msimamo hii hapa

Hitimisho

Man of The Match Yanga SC 2025/26 wachezaji wengi wamekuwa na viwango bora. Mchezo dhidi ya Pamba Jiji FC Okello alikuwa na nafasi kutwaa tuzo hiyo pia mbali na Mudathiri. Mechi nne ambazo hawakutwaa tuzo hiyo zote walikuwa ugenini.

Share this: