Frolent Ibenge ndiye anaifundisha timu hiyo inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi za nyumbani.
Feisal Salum ni mchezaji tegemeo kikosi cha kwanza amefunga magoli 7 na pasi 5
Azam FC Unbeaten 18 NBC Premier League 2025/26. Inaikimbizia rekodi ya Yanga SC yenye Unbeaten 19. 2013/14 ilitwaa taji la Tanzania Premier League bila kupoteza. Matokeo ya hivi punde Azam FC kwenye msimamo ipo nafasi ya 3.
Je, bado hujashinda mamilioni? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune pesa sasa
Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.
Azam FC Unbeaten 18 NBC Premier League matokeo kamili
Mtasigwa nyota wa Azam FC. Source: Azam FC.
Azam FC Unbeaten 18 ndani ya NBC Premier League 2025/26. Vigogo wote walio nafasi ya mbili za juu wamekwama kuifunga. Azam FC 0-0 Yanga SC na Simba SC 0-2 Azam FC. Florent Ibenge ndiye kocha anayeinoa timu hiyo.
Kante vs Nado NBC Premier League 2025/26. Source: Azam FC
Tarehe
Mechi
Matokeo
09 Apr 2026
Mbeya City vs Azam FC
0-0
05 Apr 2026
Azam FC vs Simba SC
0-0
01 Apr 2026
Singida Black Stars vs Azam FC
1-2
19 Mar 2026
Mashujaa FC vs Azam FC
0-0
15 Mar 2026
Azam FC vs Yanga SC
0-0
11 Mar 2026
Dodoma Jiji FC vs Azam FC
0-3
05 Mar 2026
Tanzania Prisons vs Azam FC
0-0
02 Mar 2026
Pamba Jiji FC vs Azam FC
2-2
25 Feb 2026
Azam FC vs Mtibwa Sugar
3-0
22 Feb 2026
KMC FC vs Azam FC
0-2
29 Jan 2026
Azam FC vs TRA United
2-0
20 Jan 2026
Azam FC vs Fountain Gate
0-0
17 Jan 2026
Azam FC vs Coastal Union
3-0
07 Dec 2025
Simba SC vs Azam FC
0-2
03 Dec 2025
Azam FC vs Singida Black Stars
0-0
09 Nov 2025
Namungo FC vs Azam FC
1-1
01 Oct 2025
JKT Tanzania vs Azam FC
1-1
24 Sep 2025
Azam FC vs Mbeya City
2-0
Imefunga magoli 23
Florent Ibenge, Kocha Mkuu wa Azam FC. Source: Azam FC
Azam FC baada ya mechi 18 safu ya ushambuliaji imefunga magoli 23. Kinara wa ufungaji ni Feisal Salumu kiungo mshambuliaji mwenye magoli 7 na ametengeneza pasi 5 za magoli. Nyota huyo amehusika kwenye jumla ya magoli 12 kwa matajiri wa Dar.
Azam FC Unbeaten 18 NBC Premier League ikiwa ni timu yenye safu kali ya ulinzi. Baada ya mechi 18 imefungwa magoli 5. Inaongoza kwa timu ambazo zimepata sare nyingi ikiwa nazo 10.