Mohamed Hussen Zimbwe Jr rasmi ni mali ya Yanga SC | Rekodi zake na timu alizocheza | Mafanikio
Mohamed Hussen Zimbwe Jr ametambulishwa Yanga SC rasmi akitokea Simba SC. Beki huyo msimu wa 2024/25 alikuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Simba SC Fadlu Davids. Amesajiliwa Yanga…
Mpanzu atua kwa kishindo Misri, Simba watoa tamko zito
Baada ya kuwepo kwa sintofahamu kubwa kumhusu kiungo mshambuliaji wa Simba, Ellie Mpanzu hatimaye imefikia mwisho. Hii ni baada ya uongozi wa Simba kuthibitisha rasmi kuwa staa huyo bado yupo…
Simba SC yatambulisha mbeba mikoba ya Zimbwe Jr 2025/26 Antony Mligo | Sekeseke lake la usajili
Simba SC imemtambulisha beki wa kushoto Antony Mligo aliyekuwa ndani ya Namungo FC. Beki huyo ana kibarua cha kuvaa viatu vya Mohamed Hussen Zimbwe Jr ambaye ni beki bora wa…
Usajili wa Yanga SC orodha ya wapya 11 msimu wa 2025/26 | Rekodi, magoli na timu walizotoka
Mabingwa mara 31 wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC, Yanga SC imefikisha orodha ya wapya 11 waliotambulishwa. Ni benchi la ufundi na wachezaji ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu…
Che Malone wa Simba SC aanza kazi kwa Waarabu | Mrithi wake huyu hapa | Rekodi, magoli
Che Malone beki wa zamani wa Simba SC ameanza kazi kwa Waarabu wa Algeria. Ni USM Alger atakuwa hapo baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili. Tayari Simba SC imemtambulisha…
Tovuti Bora ya Kubeti Michezo Mtandaoni na Odds za Soka Tanzania | SportPesa Tanzania Ina Odds Bora Zaidi, Ushindi Mkubwa & Jackpot Kubwa
Kiasi kidogo cha TZS 2,000 kimebadilisha maisha ya Kingsley Pascal na Magabe Matiku Marwa, ambao kila mmoja alijishindia zaidi ya TZS milioni 400 kupitia Jackpot ya SportPesa Tanzania. Ushindi huu…
Yanga SC yashusha mashine hii nyingine usiku: Tetesi, usajili Ligi Kuu ya NBC 2025/26
Uongozi wa Yanga usiku huu umemtambulisha rasmi kiungo, Mohamed Doumbia. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 26 amejiunga na Yanga kutokea FC Slovan Liberec ya Jamuhuri ya Czech. Staa huyo…
Tanzania vs Burkina Faso na Kenya vs DR Congo: Wenyeji waanza kwa kishindo CHAN 2024.
Timu za Taifa za Tanzania na ile ya Kenya, zimeanza kwa kishindo kampeni zao za mashindano ya (CHAN). Hii ni baada ya Tanzania kuichapa Burkina Faso kwa mabao 2-0. Huku…
Yanga SC imetambulisha wapya 10 dirisha la usajili Ecua afungua Agosti / Walioongeza mikataba/ Usajili
Yanga SC imetambulisha wapya 10 dirisha la usajli la usajili huku Ecua Elastin akifungua ukurasa Agosti Mosi. Mchezaji huyo alitambulishwa usiku ikiwa ni ingizo jipya. Saa 3:30 Wananchi walitambua kwamba…
