Mechi za Simba SC 2025/26 CAF Champions League, NBC Premier League ni moto| Matokeo na wafungaji
Mechi za Simba SC 2025/26 ni moto wa kuotea mbali mara baada ya timu hiyo kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Dimitar Pantev mrithi wa mikoba ya Fadlu…
Makundi Klabu Bingwa Afrika CAF 2025/26 haya hapa | Simba SC na Yanga SC zapewa waarabu
Droo ya Makundi Klabu Bingwa Afrika CAF 2025/26 imefanyika nchini Afrika Kusini. Shirikisho la Soka Afrika, (CAF) liliendesha droo hiyo katika studio za SuperSport. Ni Nassar Khaled Mkuu wa Idara…
Simba SC vs TRA United NBC Premier League | H2H, live score, prediction, lineups
Simba SC vs TRA United NBC Premier League ni mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Timu zote mbili kwenye mechi zao zilizopita hakuna iliyopata ushindi. TRA United…
Yanga SC 2-0 Mtibwa Sugar NBC Premier League KMC Complex | Highlights, magoli, Zimbwe Jr mchezaji bora
Yanga SC 2-0 Mtibwa Sugar NBC Premier League matokeo rasmi ya mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex. Ni mchezo wa tatu kwa mabingwa watetezi Yanga SC kushuka uwanjani, wakishinda mechi…
Yanga SC vs Mtibwa Sugar NBC Premier League Oktoba 28,2025/ H2H, live score, vikosi
Yanga SC vs Mtibwa Sugar NBC Premier League leo ni mchezo mkali kwa wababe wawili. Timu hizi zitashuka Uwanja wa KMC Complex saa 10:00 jioni kusaka pointi tatu Oktoba 28,2025.…
SportPesa Goal Rush washindi 18-25 Oktoba, 2025 hawa hapa
Kampuni ya SportPesa furaha imezidi kumwagika kupitia mchezo wa SportPesa Goal Rush. Kwa wiki hii tumefanikiwa kupata washindi wapya wa wiki ya 18-25 Oktoba 2025. Hii ni kupitia ubashiri wa…
Simba SC 0-0 Nsingizini Hotspurs CAF Champions League Oktoba 26, 2025 | Highlights, aggregate 3-0, live score
Mchuano mkali uliamua matokeo kuwa Simba SC 0-0 Nsingizini Hotspurs CAF Champions League Oktoba 26,2025, Uwanja wa Benjamini Mkapa. Licha ya suluhu hiyo Nsingizini Hotspurs wameaga mashindano kwa kukosa tiketi…
Yanga SC 2-0 Silver Strikers CAF Champions League Oktoba 25,2025 qualify next stage | Highlights, live score, magoli yote
Yanga SC 2-0 Silver Strikers CAF Champions League Oktoba 25,2025 ni ushindi uliowakikishia wananchi kutinga hatua ya makundi. Magoli yote ya Yanga SC yalifungwa kipindi cha kwanza kupitia Dickson Job…
Simba SC vs Nsingizini Hotspurs CAF Champions League statics | H2H, Lineups
Simba SC vs Nsingizini Hotspurs CAF Champions League utakuwa mchezo wa pili wababe hawa kukutana uwanjani. Kwenye mchezo wa ugeni mnyama aliunguruma kwa kuibuka na ushindi wa magoli 3-0. Mechi…
