Allan Okello mambo fresh Yanga SC/ Orodha ya wapya waliotambulishwa
Allan Okello mambo fresh Yanga SC tetesi zinaeleza hivyo baada ya kufikia makubaliano pande zote mbili. Yanga SC tayari wametambulisha wachezaji wapya watatu hivyo kuna wengine wanafuata. Taarifa zinaeleza kwamba…
Barcelona vs Real Madrid Supercopa Clasico: Live score, lineups, h2h, prediction, Habari za timu
Kinawaka Jumapili hii huko Saudi Arabia. Ni katika mchezo wa Fainali ya Supercopa Clasico wa Barcelona vs Real Madrid. Mchezo huu unaozikutanisha timu mahasimu wakubwa unakuja baada ya timu zote…
Azam FC yaivuruga Simba SC yaifunga mara mbili mfululizo/ Kariakoo Dabi hakuna tena
Azam FC yaivuruga Simba SC 2025/26 baada ya kupata matokeo mara mbili mfululizo. Wababe hawa wamekutana mara mbili mashindano tofauti. Simba SC 0-2 Azam FC ilikuwa ligi na Azam FC…
AFCON 2025 Algeria vs Nigeria: Ratiba Robo Fainali Live score, lineups, h2h, prediction, Habari za timu
Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), yanaelekea mwishoni. Mashindano hayo sasa yanaingia katika hatua ya Nusu Fainali, ambapo kesho Jumamosi zitapigwa Nusu Fainali 2. Algeria vs Nigeria…
AFCON 2025 Cameroon vs Morocco: Ratiba Robo Fainali Live score, lineups, h2h, prediction, Habari za timu
Hatumwi mtoto dukani! Moto utawaka kesho Ijumaa nchini Morocco kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025. Ni Cameroon vs Morocco mechi inayotarajiwa kuwa na ushindani na presha hasa…
Mbappe ‘out’ Atletico Madrid vs Real Madrid: Live score, h2h, lineups, utabiri, habari za timu
Kinawaka ‘Madrid Derby’ leo Alhamisi usiku. Ni mechi kali ya Atletico Madrid vs Real Madrid watakaokutana katika wa mchezo wa nusu fainali ya Spanish Super Cup. Mchezo huu wa kukata…
Simba SC vs Azam FC 2026 NMB Mapinduzi Cup/ Lineups, live score, prediction
Simba SC vs Azam FC ni mchezo unaofuata NMB Mapinduzi Cup. Hii ni hatua ya nusu fainali ya kwanza Uwanja wa New Amaan Complex saa 2:15 usiku. Mshindi wa mchezo…
AFCON 2025: Matokeo na Ratiba ya Robo Fainali, hizi hapa timu zilizofuzu
Utamu unazidi kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025). Mashindano hayo yanayoendelea kutimua vumbi nchini Morocco, sasa yameingia katika hatua ya Robo Fainali. Tayari timu sita zimekwisha…
