Simba SC 1-1 Mtibwa Sugar NBC Premier League/ Higlights, stats, standings
Simba SC 1-1 Mtibwa Sugar ni matokeo kamili mchezo wa NBC Premier League 2025/26. Kocha Mkuu Steve Barker ameanza kwa kugawana pointi moja akiwa nyumbani. Ellie Mpanzu alifunga goli la…
AFCON 2025 Egypt vs Nigeria third place: Live score, h2h, lineups, habari za timu
Vita ya kuisaka medali ya shaba ya mashindano ya AFCON 2025 itapigwa kesho Jumamosi nchini Morocco. Ni mechi kali ya kumsaka mshindi wa tatu kati ya Egypt vs Nigeria. Mchezo…
AFCON 2025 final Senegal vs Morocco: Ratiba, Live score, lineups, h2h, prediction, Habari za timu
Baada ya michezo 50 kupigwa tangu kuanza kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025, hatimaye mashindano hayo yatafikia tamati siku ya Jumapili kwa AFCON 2025 Final kali kati…
Simba SC vs Mtibwa Sugar NBC Premier League/ Live score, H2H, lineups, stats, standings
Simba SC vs Mtibwa Sugar NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba 2025/26. Hii ni baada ya ligi kusimama kutokana na mashindano ya AFCON 2025, Morocco. Burudani inarejea Jumapili,…
Ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC) 2025/26, kimataifa ni Al Ahly vs Yanga SC
Baada ya kumalizika kwa mapumziko ya kupisha mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON), na Kombe la Mapinduzi. Hatimaye ratiba ya ligi ya Kuu Bara (Ligi Kuu NBC) inatarajiwa kurejea…
‘Manchester derby’ Manchester United vs Manchester City: Live score, lineups, h2h, prediction, Habari za timu
‘Manchester Derby’ ndio stori kubwa wikiendi hii katika Ligi Kuu England. Ni Mchezo mkali wa mahasimu wawili wakubwa England, Manchester United vs Manchester City. Mchezo huu utashuhudia Kocha mpya wa…
Depu straika mpya Yanga, Gueye huyoo Simba: Tetesi usajili mpya Ligi Kuu Bara 2025/26
Hatimaye Wananchi Yanga SC wamemtambulisha rasmi straika wao mpya, Laurindo Dilson Maria Aurélio maarufu ‘Depu’. straika huyo amesaini mkataba wa miaka miwili Jangwani, ambapo sasa amekuja kuongeza nguvu safu ya…
Morocco 4-2 Nigeria AFCON 2025 nusu fainali/ Yassine Bounou/ Highlights, stats
Morocco 4-2 Nigeria AFCON 2025 hatua ya nusu fainali. Yassine Bounou mlinda mlango wa Morocco alikuwa shujaa kwa kuokoa penati mbili za wachezaji wa Nigeria. Wababe hawa ilibidi mshindi apatikane…
Senegal 1-0 Misri Sadio Mane shujaa mbele ya Mo Salah wakitinga fainali AFCON 2025/ Highlights, stats
Senegal 1-0 Misri ni matokeo ya nusu fainali AFCON 2025. Sadio Mane ni mfungaji pekee wa goli la ushindi kwenye mchezo dakika ya 78. Mane amemfungashia virago Mo Salah wa…
