Taarifa mpya baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Coastal Union (2-0)Seleman Mwalimu
  • FT: Simba SC 2-0 Coastal Union, magoli ya Seleman Mwalimu na Ismail Traore, Aprili 2,2026
  • Taarifa mpya baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Coastal Union, (2-0), Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo.
  • Ahmed Ally amwaga cheche akibainisha mashaka waliyokuwa nayo kuwakabili wapinzani wao
  • Usajili wa Clatous Chama akitokea Singida Black Stars umeongeza nguvu eneo la kiungo

Taarifa mpya baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Coastal Union (2-0) mchezo wa NBC Premier League Aprili 2, 2026. Ushindi huo unawarejesha nafasi ya pili kwa kuwashusha Azam FC. Magoli ya Simba SC Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo yalifungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 25 na Ismail Traore dakika ya 45+3.

SOMA HII: Yanga SC: Historia, Usajili wote, kikosi, Ratiba, Matokeo, Takwimu na historia

Je, bado hujashinda mamilioni ya aviator ‘Kindege’ cha SportPesa? Cheza ushinde mamilioni sasa

Changamka! sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Sportpesa-Aviator-Rain-Free-Bets

Taarifa mpya baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Coastal Union (2-0)

Taarifa mpya baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Coastal Union (2-0)
Rushine beki wa Simba SC mchezo vs Coastal Union ya Tanga. Source: Simba SC

 Hii ni taarifa mpya baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Coastal Union (2-0). Uongozi wa mnyama umebainisha kwamba ulikuwa na mashakamashaka kuwakabili wapinzani wao. Hii inatokana na matokeo ya mzunguko wa kwanza 2024/25 ubao kusoma 2-2.

Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC aliongeza kuwa wapinzani wao wana timu imara. Licha ya kupata matokeo walitumia ubora wa wachezaji kushinda. Aida amewaomba mashabiki kuendeleza mshikamano.

Ahmed Ally amwaga cheche

Taarifa mpya baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Coastal Union (2-0)
Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC: Source: Simba SC.

“Tumepata ushindi mbele ya Coastal Union lakini tulikuwa na mashakamashaka. Hii inatokana na ubora wa mpinzani wetu. Tunakumbuka msimu uliopita tulianza kuongoza kwa magoli mawili na mwisho ilikuwa 2-2. Mashabiki wazidi kuwa nasi kila wakati,”.

Takwimu Simba SC 2-0 Coastal Union

Simba SC Coastal Union
14Mashuti3
6Lenga lango2
52%Umiliki48%
8Mashuti yasiyolenga lango1
0Kadi nyekundu0
1Kadi ya njano2
8Kona1
2Magoli0

SOMA HII: Ratiba ya Simba SC NBC Premier League 2025/26 ni moto | Msimamo, Mzizima Dabi, Kariakoo Dabi

Sportpesa Aviator- 800Mil

Msimamo wa NBC Premier League

Tazama msimamo mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26. Jedwali hili linaonyesha takwimu za mechi na nafasi. Mabingwa watetezi ni Yanga SC.

POSMPWDLPTS
Yanga SC16115038
Simba SC15104134
3. Azam FC1688032
4. JKT Tanzania1777328
5.Pamba Jiji FC1667325
6.Singida Black Stars1674525
7.Mtibwa Sugar1757522
8.Namungo FC1756621
9.Dodoma Jiji FC1756621
10.TRA United SC1655620
11.Mashujaa FC1747619
12.Fountain Gate FC1644816
13.Coastal Union1736815
14.Mbeya City1634913
15.Tanzania Prisons17341013
16. KMC FC1622128

SOMA HII: NBC Premier League ratiba 2025/26 Aprili | Azam FC vs Simba SC | Yanga SC vs Prisons | Msimamo

Sportpesa Aviator- 800Mil

H2H Simba SC vs Coastal Union

02/04/2026, Simba SC 2-0 Coastal Union

01/03/2025, Coastal Union 0-3 Simba SC

04/10/2024, Simba SC 2-2 Coastal Union

09/03/2024, Coastal Union 1-2 Simba SC

21/09/2023, Simba SC 3-0 Coastal Union

09/06/2023, Simba SC 3-1 Coastal Union

03/12/2022, Coastal Union 0-3 Simba SC

07/04/2022, Coastal Union 1-2 Simba SC

31/10/2021, Simba SC 0-0 Coastal Union

11/07/2021, Simba SC 2-0 Coastal Union

21/11/2020, Coastal Union 0-7 Simba SC

Usajili wa Clatous Chama umeongeza nguvu

Taarifa mpya baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Coastal Union (2-0)
Chama Clatous ingizo jipya dirisha dogo Simba SC. Source: Simba SC.

Usajili wa Clatous Chama kutoka Singida Black Stars umeongeza nguvu eneo la kiungo. Raia huyo wa Zambia mwenye miaka 34 alihusika katika goli la kwanza kwa kutoa asisti. Goli la pili ni Neo Maema ambaye alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo. Chama anauhakika wa namba chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker raia wa Afrika Kusini.  

SOMA HII: Usajili wa Chama Simba SC washtua! Mayele, Kagere, Okwi wafunguka Mazito

Sportpesa Aviator- 800Mil

Mechi zijazo kwa Simba SC NBC Premier League

Azam FC vs Simba SC, Aprili 5,2026 saa 1:00 usiku
Fountain Gate FC vs Simba SC, Aprili 9, 2026, saa 10:00 jioni
Namungo FC vs Simba SC, Aprili 15,2026 saa 1:00 usiku
Simba SC vs JKT Tanzania, Aprili 19,2026 saa 1:00 usiku
Simba SC vs Tanzania Prisons, Aprili 29, 2026 saa 1:00 usiku
Simba SC vs Yanga SC, Mei 3,2026 saa 11:00 jioni.
Mashujaa FC vs Simba SC, saa 12:15, jioni.
Coastal Union vs Simba SC, Mei 16,2026 saa 10:00 jioni
Simba SC vs Dodoma Jiji FC, Mei 20,2026, saa 1:00 usiku.

Hitimisho

Taarifa mpya baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Coastal Union (2-0). Mnyama anapanda kwa nafasi moja kwenye msimamo. Pointi 4 bado kumfikia kinara wa ligi ambaye ni Yanga SC mwenye pointi 38.

Share this: