SIMBA MOTO UNAWAKA, BALEKE AZITEGA YANGA, AZAM
TETESI za usajili wa dirisha kubwa zinazidi kupamba moto ambapo taarifa inayoendelea kushika kasi kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ni kuhusu staa wa zamani wa Simba Mkongomani, Jean Othos Baleke…
KISHINDO KINAKUJA NDANI YA SIMBA 2024/25, REKODI YAO HII HAPA
KISHINDO kikubwa kinakuja kwa Simba kutokana na mpango kazi wa kuboresha kikosi hicho kwa msimu wa 2024/25 ili kurejea kwenye ubora kwenye mechi za ushindani za kitaifa na kimataifa ndani…
NUSU BILIONI YA SPORTPESA YAMPA JEURI YA USAJILI INJINIA HERSI YANGA
NUSU BILIONI YA SPORTPESA YAMPA JEURI YA USAJILI INJINIA HERSI YANGA BAADA ya kukabidhiwa rasmi mfano wa hundi ya Shilingi Milioni 537.5 sawa na Nusu Bilioni kutoka kwa wadhamini wao…
JUMA MGUNDA KUPEWA SIMBA JUMLAJUMLA MSIMU UJAO
BAADA ya kukaimu nafasi ya kocha mkuu wa Simba mwishoni mwa msimu uliopita na kuonyesha uwezo mzuri, taarifa za ndani ya timu hiyo zimethibisha kuwa uongozi uko kwenye hatua za…
UTAKUMBUKWA 2023/24, MACHOZI, JASHO, KICHEKO
UTAKUMBUKWA msimu wa 2023/24 kwa kuwatoa wachezaji jasho, machozi na kuwapa nyakati nyingine kicheko ndani ya dakika 90 kwenye msako wa pointi tatu kwa wanaume waliokuwa uwanjani na mwisho taji…
Klabu ya Yanga yalamba MILIONI 537.5 kutoka SportPesa
Bonasi za ubingwa Ligi kuu, Kombe la shirikisho na robo fainali CAF msimu 2023/2024. Kampuni ya burudani na michezo SportPesa leo imekabidhi mfano wa hundi ya shilingi Milioni 537.5 kwa…
TUZO HIYO SIMBA MBELE YA YANGA NA AZAM FC, DAKIKA 630 NOMA
TUZO moja ipo mikononi mwa kocha wa mpira Juma Mgunda akisepa nayo mbele ya wababe wawili ambao aliingia nao fainali ndani ya Mei 2024 ambao ulikuwa ni mwendo wa lala…
YANGA HII SASA SIFA, WAKOMBA MATAJI YOTE, DAKIKA 120 NZITO
YANGA hii sasa sifa unaweza kusema hivyo kutokana na kukomba mataji yote makubwa ndani ya msimu wa 2023/24 walianza na Ligi Kuu Bara kwa kuwapoteza washindani wake 15 wakafunga na…
MAFAHARI WAWILI WALITOANA JASHO 2023/24, FEI AFUNGUKIA TUZO
MAFAHARI wawili wapiganapo kuna mmoja ambaye huibuka mbabe na kubeba pointi za ushindi ambazo zinatokana na sababu mbalimbali. Ipo hivyo pia hata kwenye ulimwengu wa mpira ndani ya uwanja ambapo…
