Matokeo ya Muungano Cup 2026Prince Dube
  • Matokeo ya Muungano Cup 2026 na wafungaji vinara
  • Mlandege FC 0-3 Simba SC, Yanga SC 2-1 Azam FC ni matokeo hatua ya nusu fainali
  • Mashindano yalizinduliwa rasmi Aprili 19 yakihusisha timu 8 ambazo zinawania ubingwa
  • Yanga SC vs Simba SC ni mchezo unaofuatia Kariakoo Dabi, Aprili 29, 2026

Matokeo ya Muungano Cup 2026 Zanzibar yamekuwa na maajabu mengi. Singinda Black Stars walifungashiwa virago mapema kwenye michuano hii. Yanga SC vs Simba SC ni mchezo unaofuatia hatua ya fainali, Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex.

SOMA HII: Yanga SC vs Simba SC uso kwa uso Fainali Muungano Cup 2026 | h2h, Ratiba, Matokeo, Takwimu

Je, wajua? Unaweza kushinda mpaka Shilingi Milioni 800 na SportPesa

Wengi tayari wamevuna mamilioni kupitia mchezo wa Kindege yaani ‘Aviator’ ya SportPesa. Wewe unasubiri nini? Nafasi ni yako cheza Aviator na kushinda mpaka Shilingi Milioni 800 sasa kwa kubonyeza picha hii chini.

SportPesa Aviator Challenge

Matokeo ya Muungano Cup 2026 Zanzibar nani kutwaa ubingwa?

Matokeo ya Muungano Cup 2026
Prince Dube na Maxi Nzengeli, Muungano Cup 2026.

Matokeo ya Muungano Cup 2026 Zanzibar hatua ya robo fainali na nusu fainali yameshajulikana. Mnyama alilipa kisasi dhidi ya Mlandege FC baada ya kupata ushindi hatua ya nusu fainali. Walipokutana mara ya mwisho katika Kombe la Mapinduzi, ubao ulisoma Mlandege FC 1-0 Simba SC.

Mlandege FC 0-3 Simba SC matokeo ya mchezo uliopita. Fainali ni Kariakoo Dabi. Mabingwa watetezi Yanga SC watakubali kuachia taji hilo mbele ya mtani?

SOMA HII: Muungano Cup 2026 | Gueye, Oura, Mpanzu wa Simba SC kutikisa Zanzibar, ratiba na matokeo

SportPesa Aviator Challenge

Matokeo Muungano Cup 2026

TimuTareheMechiHatuaMatokeo
Yanga SCAprili 21, 2026Yanga SC vs Muembe MakumbiRobo fainaliYanga SC 4-0 Muembe Makumbi
Aprili 25, 2026Yanga SC vs Azam FCNusu fainaliYanga SC 2-1 Azam FC
Azam FCAprili 22, 2026KVZ vs Azam FCRobo fainaliKVZ 0-2 Azam FC
Aprili 25, 2026Yanga SC vs Azam FCNusu fainaliYanga SC 2-1 Azam FC
Simba SCAprili 23, 2026Simba SC vs Mafunzo SCRobo fainaliSimba SC 1-0 Mafunzo SC
Aprili 26, 2026Mlandege FC vs Simba SCNusu fainaliMlandege FC 0-3 Simba SC
Mlandege FCAprili 23, 2026Mlandege FC vs Singida Black StarsRobo fainaliMlandege FC 2-1 Singida Black Stars
Aprili 26, 2026Mlandege FC vs Simba SCNusu fainaliMlandege FC 0-3 Simba SC

Takwimu za magoli

Matokeo ya Muungano Cup 2026
Seleman Mwalimu mfungaji wa goli la kwanza Simba SC Muungano Cup.
TimuMechi zilizochezwaMagoli yaliyofungwaMagoli yaliyofungwa dhidi yao
Yanga SC261
Azam FC232
Simba SC240
Mlandege FC224

Orodha ya wafungaji vinara Muungano Cup

  MchezajiTimuIdadi ya Magoli
Prince DubeYanga SC3
Shekhan KhamisYanga SC2
Ngita JeanAzam FC2
Seleman MwalimuSimba SC2

SOMA HII: Yanga SC (2) vs Azam FC (1) Muungano Cup | Highlights, goal score | Kariakoo Dabi kupigwa fainali?

Orodha ya Man of The Match

Matokeo ya Muungano Cup 2026
Neo Maema Man of The Match 2026
HatuaMechi/Timu husikaMchezaji aliyechaguliwa
Robo fainaliYanga SC vs Muembe MakumbiShekhan Khamis (Yanga SC)
Nusu fainaliYanga SC vs Azam FCDuke Abuya (Yanga SC)
Robo fainaliKVZ vs Azam FCNgita Jean (Azam FC)
Robo fainaliSimba SC vs Mafunzo SCSemfuko Daud (Simba SC)
Nusu fainaliMlandege FC vs Simba SCNeo Maema (Simba SC)
Robo fainaliMlandege FC vs Singida Black StarsMbappe (Mlandege FC)

Hitimisho

Matokeo ya Muungano Cup 2026 Zanzibar yanawakutanisha vigogo fainali Yanga SC vs Simba SC. Mabingwa watetezi imara kwenye ushambuliaji wakifunga magoli 6. Mnyama ithabiti eneo la ukuta akiwa hajaruhusu goli. Nani ataibuka bingwa?Endelea kufuatilia Blog ya SportPesa.

Share this: