MABINGWA EURO 2024 NI HISPANIA, LAMINE ANA BALAA
MABINGWA wapya wa EURO 2024 wamepatikana huku tambo zikiisha jumlajumla na Hispania wakitwaa taji hilo kwenye mchezo wa fainali iliyochezwa Uwanja wa Olympiastadion mwisho baada ya dakika 90 ubao ukasoma…
VYUMA VYA KAZI YANGA HIVI HAPA 2024/25
VYUMA vya kazi vipo ndani ya Yanga tayari kwa msimu mpya wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote. Kwa sasa usajili unaendelea tambo zimekuwa haziishi kuhusu wachezaji…
EURO 2024 FAINALI KINAWAKA LEO, BASHIRI NA SPORTPESA USHINDE MAMILIONI ENGLAND Vs UHISPANIA
BAADA ya michezo 50 kupigwa katika mashindano ya EURO 2024 mpaka sasa, hatimaye leo Jumapili mchezo mkubwa wa Fainali unatarajiwa kupigwa kwenye dimba la Olympiastadion. Kuelekea katika fainali hiyo ambayo…
KIMATAIFA KUMEKUCHA, WAPINZANI WA YANGA, AZAM, SIMBA, COASTAL 24/25
KIMATAIFA kumekucha baada ya wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho kuwatambua wapinzani wao kwa msimu wa 2024/25 katika kusaka ushindi ndani ya uwanja baada…
UNYONGE HAUPO YANGA, SPORTPESA YAFANYA KWELI,PANGA LAPITA
UNYONGE haupo kwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga inayodhaminiwa na SportPesa kutokana na kupanga kufanya usajili mkubwa ambao utakuwa na matokeo chanya kwa mechi za kitaifa na kimataifa. Ikumbukwe…
EURO 2024, ENGLAND YAIFUATA UHISPANIA FAINALI, BASHIRI NA SPORTPESA
Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kuandika rekodi ya kufika fainali 2 mfululizo za mashindano makubwa, baada ya usiku wa kuamkia leo Alhamisi kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1…
EURO 2024 UTABIRI UPO HIVI, UHOLANZI V ENGLAND NANI KUMFUATA HISPANIA
EURO 2024 nusu fainali ya pili inatarajiwa kuchezwa usiku wa leo kati ya timu ya taifa ya Uingereza dhidi ya Uholanzi na mshindi atacheza fainali dhidi ya Uhispania katika fainali…
EURO 2024, YAMAL AMFUNIKA MBAPPE, UHISPANIA WAKIITOA UFARANSA NA KUTINGA FAINALI
KINDA wa timu ya Taifa ya Hispania na klabu ya Barcelona, Lamine Yamal amekuwa gumzo kubwa duniani kufuatia kufunga bao kali kutokea nje ya 18 na kuisaidia timu ya Taifa…
HAUOGOPI KULETA TIMU DAKIKA 90? AZIZ, PACOME, CHAMA NDANI
HAUOGOPI kuleta timu yako uwanjani kutokana na mitambo ya kazi yenye shauku kusaka ushindi ndani ya dakika 90? Hizo ni tambo za mashabiki wa Yanga kwenye mitandao ya kijamii baada…
