- Yanga SC itafungwa na nani 2025/26 NBC Premier League?
- Kariakoo Dabi ft: Simba SC 2-2 Yanga SC, Mei 3, 2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo.
- Goncalves ajivunia wachezaji wa timu hiyo kutokana na kutimiza majukumu yao
Yanga SC itafungwa na nani 2025/26 NBC Premier League? Hii ni baada ya kufikisha mechi 20 mfululizo bila kufungwa. Matokeo ya mchezo uliopita Mei 2, 2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo ilikuwa Simba SC 2-2 Yanga SC. Mnyama alianza kufunga ndani ya dakika 10 kisha Wananchi wakarudisha goli mojamoja kila kipindi.
SOMA HII: Yanga SC na maajabu 2025/26 | Matokeo ya hivi punde, wafungaji na msimamo NBC Premier League
Paisha Kindege cha SportPesa uvune mamilioni sasa hivi
Muda ni sasa kushinda mamilioni ukicheza mchezo wa Aviator. Ni rahisi sana kwa kila rubani kuvuna mamilioni. Cheza sasa upate mgao wako bila chenga ni rahisi sana

Yanga SC itafungwa na nani 2025/26 NBC Premier League?

Je Yanga SC itafungwa na nani 2025/26 NBC Premier League? Mnyama alikuwa anapewa nafasi kuvunja rekodi hiyo amekwama. Katika mechi mbili walizokutana walitoshana nguvu mzunguko wa kwanza ni sare ya 0-0.
Mabingwa watetezi wamepata ushindi mechi 14 na sare mechi 6. Ni timu nyingine ambayo haijapoteza ni Azam FC. Ikumbukwe kwamba Yanga SC 2021/22 walitwaa taji wakiwa ni unbeaten. Endelea kubashiri mechi zilizobaki uvune mkwanja na SportPesa.
Wananchi wana rekodi ya kuwa na unbeaten 49 misimu mitatu mfululizo. Kuanzia 2020-21, 21-22 na ilivunjwa 2022/23 kwa kufungwa 2-1 na Ihefu Novemba 29, 2022. Je 2025/26 rekodi itadunda?

Matokeo ya Yanga SC 2025/26

Pedro Goncalves, Kocha Mkuu wa Yanga SC anajivunia wachezaji wa timu hiyo kutimiza majukumu kwa kujituma. Mbele ya Simba SC walitoka nyuma wakifungwa magoli 2-0 na mwisho wakasawazisha. Ni Libase Gueye na Clatous Chama walifunga ndani ya dakika 10 za mwanzo kwa wenyeji.
Prince Dube na Bakari Nondo walifunga kwa Yanga SC. Matokeo hayo yanaifanya timu hiyo kuongoza ligi kwa tofauti ya pointi 5. Kipigo kikubwa walichotoa ni magoli 6-0 ilikuwa dhidi ya Mbeya City na Mashujaa.
Hapa tunakuletea matokeo ya mechi 20 za Yanga SC NBC Premier League. Kinara wa ufungaji magoli ni Prince Dube amefunga 9. Huyu ni raia wa Zimbabwe anaongoza kutwaa tuzo za Man of the Match akiwa nazo 3.
| Tarehe | Timu (H) | Matokeo | Timu (A) |
| Aprili 16, 2026 | Yanga SC | 6-0 | Mbeya City |
| Aprili 8, 2026 | Pamba Jiji FC | Yanga SC | |
| April 4, 2026 | Yanga SC | 3-0 | Tanzania Prisons |
| March 21, 2026 | Mtibwa Sugar | 1-1 | Yanga SC |
| March 18, 2026 | TRA United | 0-0 | Yanga SC |
| March 15, 2026 | Azam FC | 0-0 | Yanga SC |
| March 12, 2026 | Tanzania Prisons | 0-1 | Yanga SC |
| March 5, 2026 | Singida Black Stars | 0-3 | Yanga SC |
| March 1, 2026 | Yanga SC | 0-0 | Simba SC |
| Feb 25, 2026 | Yanga SC | 5-0 | JKT Tanzania |
| Feb 22, 2026 | Namungo FC | 0-1 | Yanga SC |
| Jan 27, 2026 | Yanga SC | 3-1 | Dodoma Jiji |
| Jan 19, 2026 | Yanga SC | 6-0 | Mashujaa |
| Dec 7, 2026 | Coastal Union | 0-1 | Yanga SC |
| Dec 4, 2026 | Yanga SC | 2-0 | Fountain Gate |
| Nov 9, 2026 | Yanga SC | 4-1 | KMC |
| Oktoba 28, 2026 | Yanga SC | 2-0 | Mtibwa Sugar |
| Sep 30, 2026 | Mbeya City | 0-0 | Yanga SC |
| Sep 24, 2026 | Yanga SC | 3-0 | Pamba Jiji FC |
| Mei 3,2026 | Simba SC | 2-2 | Yanga SC |
Msimamo wa NBC Premier League 2025/26

Msimamo wa NBC Premier League uliobereshwa hivi punde. Yanga SC wanaongoza ligi na pointi 48. Simba SC nafasi ya pili ina pointi 43.
| POS | MP | W | D | L | PTS |
| Yanga SC | 20 | 14 | 6 | 0 | 48 |
| Simba SC | 20 | 12 | 7 | 1 | 43 |
| 3. Azam FC | 20 | 10 | 10 | 0 | 40 |
| 4. JKT Tanzania | 20 | 8 | 8 | 4 | 32 |
| 5.TRA United | 20 | 8 | 6 | 6 | 30 |
| 6.Pamba Jiji | 20 | 7 | 8 | 5 | 29 |
| 7.Singida Black Stars | 20 | 8 | 5 | 7 | 29 |
| 8. Dodoma Jiji FC | 20 | 6 | 7 | 7 | 25 |
| 9.Namungo FC | 20 | 5 | 8 | 7 | 23 |
| 10.Mtibwa Sugar | 20 | 5 | 8 | 7 | 23 |
| 11.Coastal Union | 20 | 5 | 7 | 8 | 22 |
| 12. Mashujaa | 20 | 4 | 10 | 6 | 22 |
| 13.Fountain Gate | 20 | 5 | 4 | 10 | 19 |
| 14.Mbeya City | 20 | 4 | 6 | 10 | 18 |
| 15.Tanzania Prisons | 20 | 3 | 5 | 12 | 14 |
| 16. KMC FC | 20 | 2 | 3 | 15 | 9 |
SOMA HII: Yanga SC haina utani kuwapa mikataba mastaa hawa wa kazi 2025/26
Hitimisho
Yanga SC itafungwa na nani 2025/26 NBC Premier League? Kwa sasa ni mzunguko wa pili mechi 10 zimesalia msimu kufika tamati. Wananchi wamekuwa na safu bora ya ulinzi wakiruhusu magoli matano na safu ya ushambuliaji imefunga magoli 46.

