Kariakoo Dabi Simba SC vs Yanga SC njia ya ubingwa NBC Premier LeagueSimba SC vs Yanga SC
  • Mchezo wa Kariakoo Dabi baina ya Simba SC vs Yanga SC utapigwa Mei 3, 2026
  • Mechi hii dhidi ya miamba hawa wawili Tanzania utachezwa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo huku waamuzi wakitoka Morocco.
  • Je kati ya Simba SC na Yanga SC, ni nani atatwaa ubingwa wa NBC baada ya hii mechi?
  • Fuatilia nakala hii kufahamu kiundani dhidi ya Derby hii ya Kariakoo kutoka kwenye live score statistics, jedwali na habari mpya za NBC Premier League.

Mchezo wa Kariakoo Dabi baina ya Simba SC vs Yanga SC utapigwa Mei 3, 2026. Hii ni mechi itakayokutanisha miamba wawili wa NBC Premier League Tanzania na itachezwa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo. Mchuano huu mkali utaongozwa na waamauzi kutoka nchi ya Morocco. Mshindi wa mchezo huu anapewa kipato kikubwa kutwaa ubingwa wa ligi ya bara. Fuatilia SportPesa Blog kupata taarifa kamili, ikiwemo matokeo, jedwali, ratiba, na takwimu za Kariakoo Dabi.

SOMA HII: Simba SC vs Yanga SC | Taarifa mpya ya majeruhi; Oura, Kibabage na Kagoma, NBC Premier League, Ratiba, Uwanja, matokeo, msimamo na Takwimu | SportPesa Blog

Je, wajua? Unaweza kushinda mpaka Shilingi Milioni 800 na SportPesa

Wengi tayari wamevuna mamilioni kupitia mchezo wa Kindege yaani ‘Aviator’ ya SportPesa. Wewe unasubiri nini? Nafasi ni yako cheza Aviator na kushinda mpaka Shilingi Milioni 800 sasa kwa kubonyeza picha hii chini.

SportPesa Aviator Challenge

Utabiri wa Kariakoo Dabi baina ya Simba SC vs Yanga SC

Kariakoo Dabi Simba SC vs Yanga SC njia ya ubingwa NBC Premier League
Prince Dube na De Reuck kwenye Kariakoo Dabi.

Tabiri mechi kati ya Simba SC vs Yanga SC live kwenye SportPesa.Utabiri wa mchuano huu haupo wazi kwa kuwa ni timu iliyo nafasi ya kwanza na pointi 47 huku mnyama akiwa wa pili na pointi 42 kwenye msimamo wa ligi kuu ya bara. Mchezo uliopita walipokutana matokeo ilienda sare 0-0 mzunguko wa kwanza.Itajulikana wazi nani ataibuka bingwa wa NBC Premier League baada ya mechi hii.

Simba SC vs Yanga SC H2H

Simba SC na Yanga SC wanapatana ana kwa ana mara mbili msimu huu.Mchezo wakwanza ulikuwa kwenye ligi na ule wa pili ni Muungano Cup. Kwenye mechi hizo mnyama alipata ushindi mara moja na wakitoshana nguvu mchezo mmoja.

TareheMashindanoMatokeo
5 Nov 2023Ligi Kuu Tanzania BaraSimba 1–5 Yanga
20 Apr 2024Ligi Kuu Tanzania BaraYanga 2–1 Simba
8 Ago 2024Ngao ya Jamii (Community Shield)Yanga 1–0 Simba
19 Okt 2024Ligi Kuu Tanzania BaraSimba 0–1 Yanga
25 Jun 2025Ligi Kuu Tanzania BaraYanga 2–0 Simba
1 Machi 2026Ligi Kuu Tanzania BaraYanga 0–0 Simba
29 Apr 2026Kombe la Muungano (Fainali)Simba 1–0 Yanga

Waamuzi Waarabu wa Morocco Mei 3, 2026

Mwamuzi wa Morrocco Hamza El Faruq
Mwamuzi wa Morrocco Hamza El Faruq

Waamuzi kutoka Morocco watakuwa watasimamia Kariakoo Dabi, Mei 3,2026, Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo saa 12: 00 jioni. Karim Boimanda Ofisa Habari wa Bodi ya Ligi Kuu ,(TPLB) amethibitisha hilo. Ameongeza kuwa uamuzi umezingatia kanuni za ligi.

“Waamuzi hawakuja kwa pendekezo la klabu kwa sababu kanuni inaruhusu. Kamati inapoona kuna umuhimu inaweza kutumia waamuzi wa ndani au nje kulingana na uamuzi wake,”.

Walioteuliwa ni Hamza El Fareq mwamuzi wa kati akisaidiwa na Lahsen Agaou, Hamza Massiri na Mustapha Kechaf wote kutoka Morocco. Tayari waamuzi hao wapo Dar. Mei 2, 2026 wamefanya mazoezi Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo.

SOMA HII: Waamuzi Simba SC vs Yanga SC, ‘Dabi ya Kariakoo’ NBC Premier League, Ratiba, matokeo, msimamo na Takwimu | SportPesa Blog

Aviator game jackpot banner TSh 800 Million prize

Viingilio mechi ya Simba SC vs Yanga SC na sold out mapema

Viingilio vya chini Mzunguko ni Tsh. 15,000, VIP B ni Tsh. 30,000 na VIP A ni Tsh. 50,000. Tayari wenyeji wametangaza sold out kwa mzunguko. VIP B na VIP A bado mashabiki wanaendelea kununua tiketi. Hii inatokana na ukubwa wa mchezo huo wa Kariakoo Dabi.

SOMA HII: Muungano Cup 2026 Man of The Match Simba SC vs Yanga SC | Matokeo, takwimu | SportPesa Blog

Hitimisho

Kariakoo Dabi baina ya Simba SC vs Yanga SC ni mchezo mkubwa kutokana na wababe kukutana. Mshindi wa mchezo anapewa nafasi ya kutwaa ubingwa. Endelea kufuatilia Blog ya SportPesa kwa matokeo na taarifa zaidi.

Share this: