- Yanga SC vs Simba SC mitambo ya magoli Muungano Cup fainali 2026, Uwanja wa New Amaan Complex
- Kariakoo Dabi kutoka ligi namba 6 kwa ubora Afrika
- Yanga SC kuwakocha wawili Zimbwe Jr na Buba Jammeh
Yanga SC vs Simba SC mitambo ya magoli Muungano Cup fainali ipo pande zote mbili. Mchezo unatarajiwa kupigwa Uwanja wa New Amaan Complex, Aprili 29, 2026. Prince Dube kutoka kwa mabingwa watetezi na Seleman Mwalimu ambaye ni mnyama watakuwa kwenye vita saa 2:15 usiku.
SOMA HII: Yanga SC vs Simba SC uso kwa uso Fainali Muungano Cup 2026 | h2h, Ratiba, Matokeo, Takwimu
Je, wajua? Unaweza kushinda mpaka Shilingi Milioni 800 na SportPesa
Wengi tayari wamevuna mamilioni kupitia mchezo wa Kindege yaani ‘Aviator’ ya SportPesa. Wewe unasubiri nini? Nafasi ni yako cheza Aviator na kushinda mpaka Shilingi Milioni 800 sasa kwa kubonyeza picha hii chini.

Yanga SC vs Simba SC mitambo ya magoli, nani atashinda?

Yanga SC vs Simba SC mitambo ya magoli inatarajiwa kuwa vitani kusaka ushindi. Dube anaongoza katika wafungaji akiwa nayo matatu kwa Yanga SC. Seleman yeye amefunga magoli mawili upande wa Simba SC.
Wenyeji watakosa huduma za wachezaji wawili, Zimbwe Jr na Buba Jammeh. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu, Pedro Goncalves amebainisha hawa hawapo fiti. Licha ya kukosekana wachezaji hao Yanga SC wapo kamili kwa Kariakoo Dabi kutoka ligi namba 6 kwa ubora Afrika.
Mitambo ya magoli Yanga SC
| Mchezaji | Magoli | Timu alizofunga | Asisti | Timu alizotoa asisti |
| Prince Dube | 3 | Muembe Makumbi (2), Azam FC (1) | 1 | Azam FC |
| Maxi Nzengeli | 1 | Azam FC | 0 | — |
| Shekhan Khamis | 2 | Muembe Makumbi (2) | 0 | — |
| Allen Okello | 0 | — | 2 | Muembe Makumbi, Azam FC |
Kinara wa ufungaji ni Prince Dube akifunga magoli mawili. Kwenye upande wa Asisti Okelo anaongoza akiwa nazo mbili. Juma mabingwa watetezi wamefunga magoli 6 katika mechi mbili.
SOMA HII: Muungano Cup 2026 | Gueye, Oura, Mpanzu wa Simba SC kutikisa Zanzibar, ratiba na matokeo

Mitambo ya magoli Simba SC
| Mchezaji | Magoli | Timu alizofunga | Asisti | Timu alizotoa asisti |
| Seleman Mwalimu | 2 | Mafunzo FC (1), Mlandege FC (1) | 0 | — |
| Neo Maema | 1 | Mlandege FC | 0 | — |
| Anicet Oura | 1 | Mlandege FC | 1 | Mlandege FC |
| Clatous Chama | 0 | — | 2 | Mlandege FC |
Simba SC kinara wa ufungaji ni Seleman Mwalimu akiwa nayo magoli mawili. Mkali wa kutengeneza pasi za mwisho ni Clatous Chama akiwa nazo mbili. Baada ya mechi mbili, mnyama amefunga magoli manne ndani ya dakika 180.
Fainali inatarajiwa kuwakutanisha wawili hawa ndani ya New Amaan Complex. Steve Berkar anakiongoza kikosi cha Simba SC. Mbinu zake zitapambana na Pedro Goncalves mchezo wa fainali.
Matokeo Muungano Cup 2026

| Timu | Tarehe | Mechi | Hatua | Matokeo |
| Yanga SC | Aprili 21, 2026 | Yanga SC vs Muembe Makumbi | Robo fainali | Yanga SC 4-0 Muembe Makumbi |
| Aprili 25, 2026 | Yanga SC vs Azam FC | Nusu fainali | Yanga SC 2-1 Azam FC | |
| Azam FC | Aprili 22, 2026 | KVZ vs Azam FC | Robo fainali | KVZ 0-2 Azam FC |
| Aprili 25, 2026 | Yanga SC vs Azam FC | Nusu fainali | Yanga SC 2-1 Azam FC | |
| Simba SC | Aprili 23, 2026 | Simba SC vs Mafunzo SC | Robo fainali | Simba SC 1-0 Mafunzo SC |
| Aprili 26, 2026 | Mlandege FC vs Simba SC | Nusu fainali | Mlandege FC 0-3 Simba SC | |
| Mlandege FC | Aprili 23, 2026 | Mlandege FC vs Singida Black Stars | Robo fainali | Mlandege FC 2-1 Singida Black Stars |
| Aprili 26, 2026 | Mlandege FC vs Simba SC | Nusu fainali | Mlandege FC 0-3 Simba SC |
SOMA HII: Simba SC (3) vs Mlandege FC (0) Muungano Cup 2026 | Highlights, magoli, H2H| Kisasi kimelipwa
Hitimisho
Yanga SC vs Simba SC mitambo ya magoli inatarajiwa kuwa kazini. Mabingwa watetezi watakabiliana na mnyama. Hii ni Kariakoo Dabi ndani ya Zanzibar endelea kufuatilia Blog ya SportPesa kwa matokeo na taarifa zaidi.

