CHAN 2024: Sudan 0-0 Senegal | H2H, vikosi, takwimu | Zilizotinga robo fainali
CHAN 2024 imekuwa na ushindani mkubwa kutokana na matokeo ya mshangao. Miongoni mwa mchezo uliokamata mashabiki macho ni Sudan 0-0 Senegal katika Kundi D. Mechi hii ilichezwa Agosti 19 kwenye…
Dickson Job beki wa kazikazi Yanga SC | Rekodi zake, tuzo kabatini, mataji
Beki wa Yanga SC, Dickson Job ni beki wa kazikazi kutokana na kutimiza majukumu yake ndani ya uwanja. Job kwa sasa jina lake lipo kwenye orodha ya wachezaji wanaocheza CHAN…
Selemani Mwalimu rasmi atua Simba SC: Aungana na Sowah, Mukwala kuelekea Ligi Kuu ya NBC 2025/26
Simba wamepania! Ndivyo unavyoweza kusema. Hii ni baada ya tetesi kuthibisha kuwa, uongozi wa timu hiyo umekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani…
Simba Day Septemba 10 2025 | Ali Kiba kutumbuiza | Ubaya Ubwela pasua kichwa
Tamasha la utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi kwa Simba SC maarufu kwa jina la Simba Day ni Septemba 10 2025. Ni moja ya tamasha kubwa la michezo Afrika.…
Clement Mzize Waarabu waikomalia saini yake | Mkataba wake upo hivi | Takwimu, magoli
Clement Mzize mshambuliaji wa Yanga SC inaelezwa kuwa Waarabu wa Tunisia wameikomalia saini yake kwa kuweka dau nono. Klabu ya Esperance ya Tunisia inatajwa kuwa kwenye hatua nzuri kupata saini…
CHAN 2024: Central African 0-0 Tanzania | Matokeo, vikosi, takwimu |Feisal Salum na tuzo
Central African 0-0 Tanzania ni matokeo yakushangaza kwenye mchezo wa CHAN 2024 uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Katika mchezo huo, Tanzania ilikuwa inapewa nafasi kupata matokeo mwisho ikagawana pointi mojamoja. Unakuwa…
Man United vs Arsenal ‘live’ Old Trafford: Vikosi, Utabiri, Habari za timu.
Vita ya Ubingwa wa Ligi Kuu England kwa vikosi vya Manchester United na Arsenal, inatarajiwa kuanza rasmi kesho Jumapili. Hii ni kufuatia mchezo mkali ambao unasubiriwa kwa hamu kati ya…
Azam FC na usajili wa kimkakati kwa Feisal Salum 2025/26 | Orodha ya wachezaji wapya hii hapa
Azam FC wamedhamiria kufanya kweli msimu mpya wa 2025/26. Hilo linatokana na usajili wa kimkakati kwa kumuongeza mkataba Feisal Salum na kutambulisha wapya wengine. Mbali na usajili timu ya Azam…
Rayon Sports FC 1-3 Yanga SC: Highlights, magoli yote
Wakicheza katika ardhi ya ugenini nchini Rwanda, kikosi cha Yanga SC kimefanikiwa kutwaa ubingwa wa Rayon Sports Cup. Yanga SC wameshinda ubingwa huo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao…
