Baada ya Rushine Simba yamshusha Allasane Kante huyu hapa: Tetesi usajili Ligi Kuu NBC 2025/26
Mnyama Simba hapoi, kwani Baada ya jana usiku kumtambulisha rasmi mlinzi wao Rushine. Hatimaye leo wamemtangaza kiungo wao mpya wa kati Allasane Kante. Kante amejiunga na Simba mara baada ya…
Rushine De Reuck rasmi asaini na atambulishwa Simba SC: Mashine nyingine 6 kutangazwa tetesi usajili Ligi Kuu NBC 2025/26
Kwa kishindo kikubwa Rushine De Reuck rasmi asaini na kutambulishwa Simba SC. Hii ni baada ya kimya cha muda kwa Wanamsimbazi kwenye dirisha hili la usajili hatimaye kumeanza kuchangamka. Baada…
Yanga SC yatambulisha mashine mpya nne 2025/26 | Benchi la ufundi balaa zito
Yanga SC yatambulisha mashine mpya nne ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2025/26. Katika dirisha hili la usajili mkubwa, Yanga SC haitaki utani kutokana na kazi inayoendelea. Benchi la ufundi…
Jean Ahoua anaondoka Simba SC Feisal kurithi mikoba | Magoli yake na rekodi 2024/25
Jean Ahoua anaondoka Simba SC kwenda kupata changamoto mpya ikielezwa kuwa Feisal Salum wa Azam FC huenda akarithi mikoba ikiwa mazungumzo yatafika hatua nzuri. Inaelezwa kuwa kuna ofa zaidi ya…
Maxi aungana na Pacome Yanga SC: Tetesi wanaofuata kutambulishwa hawa hapa, usajili Ligi Kuu ya NBC 2025/26
Baada ya kutangaza mastaa wapya watatu wa kigeni akiwemo Balla Conte na watatu wazawa. Uongozi wa Yanga SC umeendelea na ujenzi wa kikosi chao ambapo sasa wametangaza kumalizana na kiungo…
Tanzania 2-1 Senegal CECAFA 2025 Arusha | Maandalizi ya CHAN yapamba moto
Tanzania 2-1 Senegal mchezo wa CECAFA 2025 ambao ulishirikisha timu tatu. Mchezo huo ulichezwa Julai 27 2025 Uwanja wa Black Rhino, Arusha. Haya ni maandalizi kuelekea CHAN 2024 na mchezo…
Orodha ya wachezaji waliosajiliwa Yanga SC 2025/26 | Vita yao na Simba SC balaa zito
Kuna Orodha ya wachezaji waliosajiliwa Yanga SC 2025/26 kueleka msimu mpya ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Usajili wa Yanga SC ni balaa zito wakishinda wakionekana kushinda vita mbele ya…
Simba SC yashtua na fumbo la jezi namba 6 ni Feisal au udhamini?
Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii klabu ya Simba SC imechapisha tata. Chapisho hilo ni la picha ya jezi namba 6 ikiwa na maneno “HERUFI 6”. Chapisho hilo limezua…
Romain Folz kocha mpya Yanga SC mwenye CV kubwa | Wachezaji wenye uhakika 2025/26
Romain Folz kocha mpya wa Yanga SC CV yake kubwa ina balaa zito akiwa ni kocha kijana. Kocha huyo ni mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi aliyekuwa Kocha Mkuu wa…
