Ratiba ya mechi za Yanga SC Juni 2025/26Okello na Dube
  • SportPesa Blog tumekusogezea ratiba ya mechi za Yanga SC Juni 2025/26 NBC Premier League na CRDB Federation
  • Yanga SC ana mechi ngumu ikiwemo Azam FC vs Yanga SC, Yanga SC vs TRA United na JKT Tanzania vs Yanga SC
  • Mchezo uliopita Yanga SC ilipata ushindi wa magoli 3-1 Namungo FC, Uwanja wa KMC Complex.
  • Hizi ni mechi za lala salama kwa mabingwa watetezi kupambania malengo

Ratiba ya mechi za Yanga SC Juni 2025/26 Premier League na CRDB Federation Cup ni kali kwa vinara wa ligi. Mashujaa FC vs Yanga SC ni mchezao ujao Juni 13, 2026 Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma. Mechi 5 zimesalia kwenye ligi na kuna mchezo mmoja hatua ya nusu fainali CRDB Federation Cup. Wanananchi ni mabingwa watetezi taji la NBC Premier League na CRDB Federation Cup.

SOMA HII: Yanga SC: Historia, Usajili wote, kikosi, Ratiba, Matokeo na Takwimu

Je, bado hujashinda mamilioni ya aviator ‘Kindege’ cha SportPesa? Cheza ushinde mamilioni sasa

Changamka! sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

SportPesa Aviator Challenge

Tumekuletea ratiba ya mechi za Yanga SC Juni 2025/26

Ratiba ya mechi za Yanga SC Juni 2025/26
Yanga SC ratiba ya Juni 2025/26

Kuna kazi kubwa kwenye ratiba ya mechi za Yanga SC Juni 2025/26 NBC Premier League kutokana na ushindani uliopo. Vinara wa ligi wamecheza mechi 25 na kukusanya pointi 60. Mchezo uliopita kwenye ligi Mei 25, 2026 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma Yanga SC 3-1 Namungo FC.

Yanga SC wanaongoza ligi wakiwa na pointi 60. Mechi 25 wamecheza wakipata ushindi katika mechi 18, sare 6 na kupoteza mchezo mmoja. Je Yanga SC wataendeleza ubabe wao ndani ya ligi?

TareheMechiMashindanoUwanja
Juni 13, 2026Mashujaa FC vs Yanga SCNBC Premier LeagueUwanja wa Lake Tangayika, Kigoma
Juni 18, 2026Fountain Gate FC vs Yanga SCNBC Premier LeagueUwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha
Juni 21, 2026Azam FC vs Yanga SCCRDB Federation CupUwanja wa CCM Kirumba, Mwanza
Juni 24, 2026Yanga SC vs Azam FCNBC Premier LeagueUwanja wa Azam Complex, Dar
Juni 27, 2026Yanga SC vs TRA UnitedNBC Premier LeagueUwanja wa KMC Complex, Dar
Juni 30, 2026JKT Tanzania vs Yanga SCNBC Premier LeagueUwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo, Dar

SOMA HII: Simba SC 2-2 Yanga SC: Matukio 6 ya ajabu yaliyotokea, NBC Premier League, matokeo na Takwimu | SportPesa Blog

Aviator game jackpot banner TSh 800 Million prize

Yanga SC kukabiliana na Azam FC mara 2

Mabingwa watetezi Yanga SC watakutana na Azam FC mara 2 ndani ya Juni. Mchezo wa kwanza ni hatua ya nusu fainali CRDB Federation Cup na mchezo wa 2 ni NBC Premier League. Mpaka sasa wababe hawa wamekutana mara moja kwenye ligi. Mchezo huo baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Azam FC 0-0 Yanga SC.

SOMA HII: Deal done! Roman Folz ‘out’, kocha mpya Yanga SC huyu hapa

Hitimisho

Ukitazama ratiba ya mechi za Yanga SC Juni 2025/26 NBC Premier League na CRDB Federation Cup zinaonyesha kuwa msimu unakwenda ukingoni. Wananchi watakuwa na mechi 6 kufunga msimu na wakitinga fainali watakuwa na mechi 7. Je matokeo ya mechi zijazo yatakuaje? Endelea kufuatilia SportPesa Blog kwa matokeo na taarifa za hivi punde.

Share this: