Vinara wa asisti NBC Premier League 2025/26 | Okello, Mpanzu, Feisal waiteka shoo

ByJoel Thomas

May 21, 2026
OkelloOkelloOkello
  • Vinara wa asisti NBC Premier League 2025/26 ni miongoni mwa mijadala mikubwa kwa sasa.
  • Mpaka sasa Nyota, Allan Okello, Elie Mpanzu na Feisal wameiteka shoo na kujiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kushinda tuzo hiyo.
  • Clatous Chama naye gari limewaka na anakuja kwa kasi, akiitaka tuzo hiyo.
  • Zikisalia mechi 6 tu, kwa kila timu msimu huu ligi kumalizika, Je nani ataibuka kinara wa asisti?

Vita inazidi kuwa kali ndani ya Ligi Kuu Bara yaani (NBC Premier League 2025/26), wakati huu zikiwa zimebaki mechi 6 tu. Wapo wanaopambania ubingwa, wapo wanapambania kutoshuka daraja, lakini wapo wachezaji wanaosaka tuzo binafsi. Makala hii inakuletea takwimu za vinara wa asisti NBC Premier League, ambapo hawa ni wachezaji waliotoa pasi nyingi za mabao.  Orodha hii ni kabla ya kuanza kwa mzunguko wa 24.

Fuatilia mwenendo wote wa mashindano ya Ligi Kuu ya NBC 2025/26; Ratiba, matokeo, mechi, magoli na habari za papo kwa papo kupitia SportPesa Blog.

Cheza na ushinde sasa na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni muda huu

Je, hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kubashiri SportPesa bonyeza picha hii chini.

Aviator game promotional banner featuring a red propeller plane and a jackpot of 800,000,000.
Aviator: High-flying wins up to 800,000,000.

Hawa hapa vinara wa asisti NBC Premier League 2025/26

Vinara wa asisti NBC Premier League
Feisal Salim

Jedwali lifuatalo linakuletea orodha ya wachezaji 100 walio kwenye orodha ya wafungaji bora NBC Premier League 2025/26.

NafasiMchezajiKlabuNafasi AnayochezaAsisti
1Feisal SalumAzam FCKiungo8
2Allan OkelloYoung Africans SCMshambuliaji7
3Elie MpanzuSimba SCKiungo7
4Duke AbuyaYoung Africans SCKiungo6
5Maxi NzengeliYoung Africans SCKiungo5
6Ibrahim ImoroMtibwa Sugar FCBeki4
7Pacome ZouzouaYoung Africans SCKiungo4
8Lamin JarjouSingida Black StarsKiungo4
9Clatous ChamaSingida Black StarsKiungo4
10Israel MwendaYoung Africans SCBeki4
NafasiMchezajiKlabuNafasi AnayochezaAsisti
11Neo MaemaSimba SCKiungo4
12Anuar KilemileJKT TanzaniaBeki3
13Ismail AzizFountain Gate FCKiungo3
14Iddy SelemaniAzam FCKiungo3
15Rashid ChamboKMC FCMshambuliaji3
16Ande KoffiSingida Black StarsBeki3
17Andrew Raymond ChamunguNamungo FCMshambuliaji3
18Khleffin HamdounDodoma Jiji FCKiungo3
19Prince DubeYoung Africans SCMshambuliaji3
20Baraka FilemonMbeya City FCBeki3
NafasiMchezajiKlabuNafasi AnayochezaAsisti
21Andrew WilliamCoastal Union FCBeki2
22Castor MwangaboKMC FCBeki2
23Andy BikokoDodoma Jiji FCBeki / Kiungo2
24Lusajo MwaikendaAzam FCBeki2
25Kante AlasaneSimba SCKiungo2
26Mathew TegisiPamba Jiji FCMshambuliaji2
27David ByrsonJKT TanzaniaBeki2
28Shomari KapombeSimba SCBeki2
29Datius PeterMtibwa Sugar FCBeki2
30Salum KimenyaTanzania PrisonsBeki2
NafasiMchezajiKlabuNafasi AnayochezaAsisti
31Mwana Kibuta DavidDodoma Jiji FCKiungo2
32Ammy MapakaTRA UnitedMshambuliaji2
33Anicet OuraSimba SCKiungo2
34John LazarusTRA UnitedBeki2

Hitimisho

Vinara wa asisti NBC Premier League
Elie Mpanzu

Huku ligi ikielekea ukingoni, vita ya takwimu nayo inapamba moto. Ni wazi orodha ya Wakali wa asisti NBC Premier League, ni miongoni mwa takwimu muhimu ambazo huweza kumsaidia mchezaji kushinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu MVP. Kwa sasa majina ya Allan Okello, Elie Mpanzu na Feisal yamejiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kushinda tuzo hiyo, lakini Mwamba wa Lusaka, Clatous Chama naye anakuja kwa kasi, tusubiri na kuona.

Share this:

ByJoel Thomas

Joel Thomas is a Tanzanian sports writer with a BSc (Education) from Mwenge Catholic University. He spent 4 years at Global Publishers and is in his second year with SportPesa, covering football and betting education for local fans. Anapenda soka na anaandika kwa uwajibikaji.