Polisi Tanzania 2-0 Mbeya City NBC Premier League | Msimamo | Highlights | SportPesa Blog

Polisi Tanzania 2-0 Mbeya CityJabir AnuaryJabir Anuary

Polisi Tanzania 2-0 Mbeya City
Polisi Tanzania vs Mbeya City

Polisi Tanzania 2-0 Mbeya City ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League. Mtanange huu wa mzunguko wa 6 ulichezwa Septemba 12,2026. Mashabiki walishuhudia burudani kutoka Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.Mabao ya ushindi yalifungwa na Anuary Jabir dakika ya 38 na 45+1 kwa mkwaju wa penalti.

Ratiba ya Polisi Tanzania:Polisi Tanzania 2026/27: Ratiba, Matokeo na Msimamo Ligi Kuu Bara

Shinda mamilioni sasa hivi ukipaisha Kindege cha SportPesa

Una nafasi yakushinda mamilioni sasa hivi ukipaisha Kindege cha SportPesa. Rubani makini anapaa angani akiwa na uhakika. Mwanzo wa wiki muda sahihi kuvuna mamilioni. Bofya hapa chini ushinde sasa hivi.

Polisi Tanzania 2-0 Mbeya City

Timu Polisi Tanzania Mbeya City
Tarehe 12 Septemba 2026 12 Septemba 2026
Mshindi Polisi Tanzana Polisi Tanzania
Uwanja Sheikh Amri Abeid Sheikh Amri Abeid
Man of The Match Anuary Jabir Anuary Jabir

Man of The Match Jabir

Mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Anuary Jabir alichaguliwa kuwa Man of The Match. Huyu ni kinara kwenye eneo la ufungaji akiwa amefunga mabao 5. Amekuwa na mwendelezo mzuri katika msimu wa 2026/27 ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Mbwana Makata.

Jabir amesema wataendelea kupambana kwenye mechi zijazo kupata matokeo mazuri. Aliongeza kuwa bado wana kazi kubwa kutafuta pointi 3.

“Bado tuna kazi kubwa kuendelea kutafuta matokeo kwenye mechi zetu. Ushindani ni mkubwa hilo tunalitambua nasi tunaendelea kupambana. Mashabiki wazidi kuwa nasi katika mechi zetu zote,”.

Msimamo wa ligi

Katika msimamo wa ligi Polisi Tanzania ipo nafasi ya 5 ikiwa na pointi 10. Mbeya City ipo nafasi ya 6 ikiwa na pointi 10. Timu hizi zote zimecheza mechi 6.

Polisi Tanzania 2-0 Mbeya City
Msimamo wa NBC Premier League 2026/27

Matokeo na msimamo: Polisi Tanzania: Ratiba, Matokeo na Msimamo Ligi Kuu Bara 2026/27

Hitimisho

Polisi Tanzania 2-0 Mbeya City ni matokeo ya mzunguko wa 6 msimu wa 2026/27. Vinara kwenye ligi ni Yanga SC wakiwa na pointi 18. Pamba Jiji FC inaburuza mkia baada ya mechi 6 imekusanya pointi 1.

 

Share this: