Rushine De Reuck kinara ufungaji NBC 2025/26 | Takwimu muhimu, magoli
Rushine De Reuck kinara ufungaji kwa mabeki ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC. Huyu ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa ndani ya kikosi hicho. Kwenye mechi mbili kafunga magoli…
Romain Folz kuondoka Yanga SC ukweli upo hivi | Ali Kamwe abainisha, matokeo, CV
Romain Folz kuondoka Yanga SC umekuwa mjadala mkubwa mara baada ya kuangusha pointi mbili dhidi ya Mbeya City kwa ubao kusoma 0-0. Tetesi zimekuwa zikieleza kwamba mrithi huyo wa mikoba…
Simba SC 3-0 Namungo FC NBC Premier League | Magoli, takwimu muhimu, De Reuk mchezaji bora
Simba SC 3-0 Namungo FC ni matokeo ya mchezo wa mzunguko wa pili Ligi Kuu Bara ya NBC Uwanja wa Mkapa. Ushindi huo unampaisha mnyama mpaka kuongoza ligi. Baada yakucheza…
Wearing Pink, Raising Awareness, Making It Count: Why SportPesa Is Pink This October
Every October, the world turns pink — not just as a fashion statement, but as a symbol of hope, strength, and unity in the fight against breast cancer. This year,…
Simba SC vs Namungo FC Oct 1, 2025 – Live Scores, vikosi, h2h, Takwimu na taarifa mpya za vikosi
Baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi muhimu wa mabao 3-0, katika mchezo wao wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya NBC 2025/26. Kikosi cha Simba SC Jumatano hii kitashuka tena uwanjani,…
Yanga SC 0-0 Mbeya City NBC Premier League | Highligts, Romain Folz kibarua kigumu
Yanga SC 0-0 Mbeya City matokeo haya yanaongeza ugumu kibarua cha Kocha Mkuu wa Jangwani Romain Folz kusalia hapo. Tetesi zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa kocha huyo ataondoka hivi karibuni.…
Yanga SC vs Mbeya City Septemba 30 | H2H, vikosi, takwimu muhimu
Yanga SC vs Mbeya City mchezo mkali wa ligi ya NBC utakaopigwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Matokeo ya 2022/23 wakati Mbeya City inashuka daraja yalikuwa yakushangaza. Ubao ulisoma Mbeya City…
SportPesa Goal Rush washindi 26 Septemba -1 Oktoba 2025 hawa hapa
Nyumba ya washindi Kampuni ya SportPesa furaha imezidi kumwagika kupitia mchezo wa SportPesa Goal Rush. Kwa wiki hii tumefanikiwa kupata washindi wapya wa wiki ya 26 Septemba – 1 Oktoba…
Simba SC 1-1 Gaborone United CAF Champion League 2025/26 | Magoli yote, matukio muhimu, hatua inayofuata
Simba SC 1-1 Gaborone United ndio matokeo rasmi ya CAF Champion League 2025/26. Simba SC walitangulia kwa kufunga goli la kwanza kupitia mchezaji Jean Ahoua dakika 45. Wapinzani wao Gaborone…
