Ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC 2025/26 hii hapa | Mechi za Dabi, kanuni kwa timu ambayo haitafika uwanjani
Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC ipo wazi. Msimu mpya wa 2025/26 unatarajiwa kuanza Septemba 17 2025. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji la ligi…
Kikosi cha Simba SC kurejea Tanzania leo Agosti 28, 2025 usiku
Mara baada ya kumaliza salama kambi yao ya kujindaa na msimu mpya ‘pre eason’, hatimaye kikosi cha Simba SC kurejea Tanzania leo Agosti 28, 2025 usiku. Simba SC wanatarajia kutua…
Seleman Mwalimu ametambulishwa Simba SC kwa mkopo akitokea Wydad | Takwimu zake, magoli
Seleman Mwalimu ametambulishwa Simba SC ikiwa ni usajili mpya kwenye kikosi hicho. Agosti 28 2025 Mwalimu ametangazwa kuwa ni ingizo jipya kuelekea msimu wa 2025/26 baada ya tetesi. Anajiunga kwa…
Usajili 2025/26: Yanga SC imetambulisha wachezaji wapya 11 Zimbwe Jr atikisa | Benchi jipya la ufundi
Yanga SC imetambulisha wachezaji wapya 11 kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Katika wachezaji hao Mohamed Hussen Zimbwe Jr ni usajili uliotikisa kila kona. Hilo lilitokana na Zimbwe Jr kuwa muhimili…
Wadi Degla SC 0-2 Simba SC: Magoli yote, vikosi, highlights, h2h
Dakika 90 zimekamilika na ubao umeonyesha Wadi Degla SC 0-2 Simba SC, Ndiyo Wekundu wa Msimbazi wamemchapa Mwarabu. Huu unakuwa ushindi wa tatu kati ya michezo minne ambayo Simba imecheza,…
Usajili Yanga SC: Clement Mzize haendi popote | Takwimu muhimu, magoli, mechi | Kariakoo Dabi
Clement Mzize haendi popote kwa changamoto mpya atabaki katika kikosi cha Yanga SC. Inatajwa atalipwa mshahara mkubwa wa milioni 40 pesa ya Tanzania ili asiondoke. Tetesi zilikuwa zinaeleza kuwa Esperance…
Simba Day 2025 ni viwango vingine | John Bocco na Mkude kuagwa rasmi | Ijue ratiba na matukio muhimu
Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema Simba Day msimu huu itakuwa ya viwango. Tamasha hilo ni maalumu kwa utambulisho wa wachezaji, benchi la ufundi…
SportPesa Goal Rush washindi 17-23 Agosti 2025
Nyumba ya washindi Kampuni ya SportPesa kupitia mchezo wa SportPesa Goal Rush, imefanikiwa kupata awshindi wapya wa wiki ya Agosti 17-23, 2025. Hii ni kupitia ubashiri wa Goal Rush wa…
CHAN 2024: Tanzania 0-1 Morocco ni kilio kwa wenyeji | Matukio muhimu, vikosi, takwimu
Tanzania 0-1 Morocco ni kilio kwa wenyeji baada ya kupoteza mchezo wa robo fainali CHAN 2024. Mchezo huo ulikuwa ni wa pili umechezwa Uwanja wa Mkapa Agosti 22 2025, saa…
