- SportPesa Blog tumekuletea ratiba ya Argentina FIFA Kombe la Dunia 2026
- Mechi 104 zitapigwa huku zikianzia hatua ya makundi na kuna mechi kali kwa Argentina vs Algeria, Argentina vs Austria.
- Lionel Messi mshambuliaji kiongozi huyu anatajwa kuwa na hatari kubwa kwenye kila mechi kutokana na rekodi zake
Ratiba ya Argentina FIFA Kombe la Dunia 2026 ipo wazi kwa mabingwa hao watetezi. Katika hatua ya makundi wapo Kundi J na walitwaa taji hilo 2022 nchini Qatar. Ulimwengu utashuhudia nchi tatu zikishirikiana kuandaa mashindano haya makubwa ambazo ni Marekani, (USA), Mexico na Canada.
Fuatilia mwenendo wote wa mashindano ya Kombe la Dunia 2026; Ratiba, matokeo, mechi, magoli na habari za papo kwa papo kupitia SportPesa Blog na ushinde mamilioni kwa kubashiri kupitia odd kubwa za SportPesa.
SOMA HII: Ratiba FIFA Kombe la Dunia 2026 | Mechi zote 104 | Tarehe | Muda wa mechi | Uwanja utakaotumika

Ratiba ya Argentina FIFA Kombe la Dunia 2026


Kamata ratiba ya Argentina FIFA Kombe la Dunia 2026 kwenye kibarua cha kutetea kombe. Ikumbukwe kwamba pazia linafunguliwa rasmi Juni 11, 2026 kwa mchezo kati ya Mexico vs Afrika Kusini. Mechi ya kwanza itakuwa Juni 17, 2026 kwa timu hii inayoongozwa na nahodha Lionel Messi
| Tarehe | Mechi | Uwanja | Saa |
|---|---|---|---|
| 17/06/2026 | Argentina vs Algeria | Uwanja wa Kansas City | 04:00 |
| 22/06/2026 | Argentina vs Austria | Uwanja wa Dallas | 20:00 |
| 28/06/2026 | Jordan vs Argentina | Uwanja wa Dallas | 05:00 |
Kikosi cha Argentina
Makipa
Juan Musso
Geronimo Rulli
Emiliano Martinez
Mabeki
Leonardo Balerdi
Nicolas Tagliafico
Gonzalo Montiel
Lisandro Martinez
Cristian Romero
Nicolas Otamendi
Facundo Medina
Nahuel Molina
Viungo
Leandro Paredes
Rodrigo De Paul
Valentin Barco
Giovani Lo Celso
Exequiel Palacios
Nico Gonzalez
Alexis Mac Allister
Enzo Fernandez
Washambuliaji
Julian Alvarez
Lionel Messi
Thiago Almada
Giuliano Simeone
Nico Paz
Jose Manuel Lopez
Lautaro Martinez
Kocha Mkuu

Lionel Scaloni.
Hitimisho
Katika ratiba ya Argentina FIFA Kombe la Dunia 2026 wataanza kazi dhidi ya Algeria kutoka Afrika. Mabingwa hawa watetezi wametwaa taji mara 3, 1978, 1986 na 2022. Mara ya kwanza kushiriki ilikuwa ni 1930, Uruguay na mfungaji kinara ni Lionel Messi mwenye magoli 13 huyu ni mchezaji wakutazamwa uwanjani. Je watatetea taji hilo? Endelea kufuatilia SportPesa Blog kwa taarifa za hivi punde na matokeo.

