Lionel Messi akinyanyua Kombe la DuniaMessi akinyanyua Kombe la Dunia
  • Argentina kwenye FIFA Kombe la Dunia 2026, inaonyesha mabingwa hao watetezi watafungua dimba dhidi ya Algeria.
  • Mwaka 2022 unabaki kuwa wa kihistoria katika historia ya soka la Argentina, hii ni baada ya timu yao ya Taifa kuibuka na ubingwa wa Kombe la Dunia.
  • Argentina ni miongoni mwa mataifa ambayo yameshinda ubingwa wa dunia mara nyingi zaidi, wakifanikiwa kushinda makombe 3 katika historia yao.
  • Mastaa wakubwa kama Lionel Messi na Julian Alvarez,wanaifanya Argentina kuwa timu tishio na Makala hii inakuletea ratiba yao.

Mwaka 2022 unabaki kuwa wa kihistoria katika historia ya soka la Argentina, hii ni baada ya timu yao ya Taifa kuibuka na ubinggwa wa Kombe la Dunia. Argentina kwenye FIFA kombe la Dunia 2026, inaonyesha mabingwa hao watetezi, watafungua dimba dhidi ya wawakilishi wa Afrika Algeria. Argentina ni miongoni mwa mataifa ambayo yameshinda ubingwa wa dunia mara nyingi zaidi, wakifanikiwa kushinda makombe 3. Wakiwa na mastaa wakubwa kama Lionel Messi na Julian Alvarez, Argentina wanabaki kuwa timu tishio na Makala hii inagusia mambo muhimu Argentina.

Fuatilia mwenendo wote wa mashindano ya Kombe la Dunia 2026; Ratiba, matokeo, mechi, magoli na habari za papo kwa papo kupitia SportPesa Blog na ushinde mamilioni kwa kubashiri kupitia odd kubwa za SportPesa.

Bado hujashinda pesa? Cheza aviator ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Changamka! sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi zaidi ya Milioni 800 muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Sportpesa Aviator Rain Free Bets- Mil

Jipatie nafasi ya kujishindia milioni 800 na Aviator

Argentina wamepangwa Kundi gani?

Argentina wamepangwa Kundi J la mashindano ya Kombe la Dunia 2026. Katika Kundi hilo timu nyingine ni Algeria, Austria na Jordan. Mechi ya kwanza kwa Argentina ni dhidi ya timu ya Taifa ya Algeria.

Msimamo wa Kundi K

Msimamo Kundi J
Msimamo Kundi J

Kumbuka: Jedwali hili linaonyesha hali ya kundi kabla ya kuanza kwa mechi za Kombe la Dunia 2026. Nafasi halisi zikitarajiwa kubadilika baada ya kila mchezo wa hatua ya makundi.

SOMA HII PIA: Ratiba FIFA Kombe la Dunia 2026 | Mechi zote 104 | Tarehe | Muda wa mechi | Uwanja utakaotumika

Ratiba ya Argentina ya Kombe la Dunia la FIFA 2026

Tarehe                        Mechi                                    Uwanja

16 Juni 2026              Argentina vs Algeria         Kansas City

22 Juni 2026              Argentina vs Austria         Arlington, Texas

27 Juni 2026              Argentina vs Jordan         Arlington, Texas

Hiki hapa kikosi Kamili cha Argentina cha Kombe la Dunia la FIFA 2026

Argentina kwenye FIFA Kombe la Dunia 2026
Kikosi kamili cha Argentina

Makipa

Emiliano Martínez

Gerónimo Rulli

Juan Musso

Mabeki

Cristian Romero

Lisandro Martínez

Nicolás Otamendi

Nahuel Molina

Nicolás Tagliafico

Gonzalo Montiel

Facundo Medina

Leonardo Balerdi*

Marcos Senesi

Viungo

Enzo Fernández

Rodrigo De Paul

Alexis Mac Allister

Leandro Paredes

Exequiel Palacios

Giovani Lo Celso

Nico Paz

Claudio Echeverri

Washambuliaji

Lionel Messi (Nahodha)

Julián Álvarez

Lautaro Martínez

Alejandro Garnacho

Nicolás González

Matías Soulé

Santiago Castro

Thiago Almada

SOMA HII ZAIDI: FIFA Kombe la Dunia 2026 Ratiba ya Brazil | Mechi zote | Tarehe | Muda wa mechi | Uwanja utakaotumika | Je, Neymar Jr yuko tayari?

Wachezaji wa Kuangaliwa

Messi na Alvarez
Messi na Alvarez

Mabingwa watetezi wa mashindano hayo Argentina, ni miongoni mwa vikosi imara zaidi vya mashindano hayo. Bado nahodha wa kikosi hiko, Lionel Messi anabaki kuwa hofu kuu kutokana na ubora wa muda mrefu wa staa huyo. Pamoja naye staa mwingine anayeangaliwa zaidi ni Julian Alvarez, ambaye amekuwa Habari kubwa nchini Hispania kwa sasa akiziingiza vitani; Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid.

SOMA HII PIA: Sheria mpya za mechi Kombe la Dunia 2026 zashtua! Nini kimebadilishwa?

Hitimisho

Argentina kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026 Itafunguliwa rasmi na mchezo kati ya Argentiva vs Algeria. Argentina inapewa nafasi kubwa ya kuonyesha ushindani mkubwa, ili kutetea kombe lao. Messi analiendea Kombe hili akiwa tayari ameshinda kila kitu katika dunia ya soka, lakini je, bado atakamia shoo? Tusubiri majibu.

Share this:

By Joel Thomas

Joel Thomas is a Tanzanian sports writer with a BSc (Education) from Mwenge Catholic University. He spent 4 years at Global Publishers and is in his second year with SportPesa, covering football and betting education for local fans. Anapenda soka na anaandika kwa uwajibikaji.