Ratiba ya Afrika Kusini FIFA Kombe la Dunia 2026Bafana
  • SportPesa Blog tumekuandalia ratiba ya Afrika Kusini FIFA Kombe la Dunia 2026
  • Afrika Kusini ina mechi ngumu kwenye hatua ya makundi ikiwemo : Mexico vs Afrika Kusini, Czechia vs Afrika Kusini
  • Pazia linafunguliwa rasmi Juni 11, 2026, wenyeji Mexico vs Afrika Kusini


Hii hapa ni ratiba ya Afrika Kusini FIFA Kombe la Dunia 2026. Zimebaki siku 4 kabla ya pazia la mashindano haya makubwa duniani kuanza. Ni wazi kila baada ya miaka 4 mashindano haya hufanyika, 2022 ilikuwa Qatar. 2026 nchi tatu zinashirikiana Marekani, (USA), Canada na Mexico.

SOMA HII: Ratiba FIFA Kombe la Dunia 2026 | Mechi zote 104 | Tarehe | Muda wa mechi | Uwanja utakaotumika

Je, bado hujashinda pesa? Cheza aviator ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Changamka! sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi zaidi ya Milioni 800 muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

SportPesa Aviator Challenge

Kutoka Kundi A ratiba ya Afrika Kusini FIFA Kombe la Dunia 2026

Ratiba ya Afrika Kusini FIFA Kombe la Dunia 2026
Fifa World Cup 2026

SOMA HII: Sheria 7 FIFA Kombe la Dunia 2026 | SportPesa Blog

image
TareheMpinzani wa Afrika KusiniUwanja
11 Juni 2026MexicoMexico City
18 Juni 2026CzechiaAtlanta
24 Juni 2026Korea RepublicMonterrey

Ratiba ya Kundi A

Kundi (Mexico, Afrika Kusini, Korea Kusini, Czechia) – Ratiba ya Mechi

TareheMechi
11 Juni 2026🇲🇽 Mexico vs 🇿🇦 Afrika Kusini
12 Juni 2026🇰🇷 Korea Kusini vs 🇨🇿 Czechia
18 Juni 2026🇨🇿 Czechia vs 🇿🇦 Afrika Kusini
19 Juni 2026🇲🇽 Mexico vs 🇰🇷 Korea Kusini
25 Juni 2026🇿🇦 Afrika Kusini vs 🇰🇷 Korea Kusini
25 Juni 2026🇨🇿 Czechia vs 🇲🇽 Mexico


Msimamo wa Kundi A

Jedwali la Kundi (Kabla ya mechi kuchezwa)

NafasiTimuPWDLGFGAGDAlama
1Mexico00000000
2South Africa00000000
3South Korea00000000
4Czech Republic00000

Kikosi cha Afrika Kusini

Ratiba ya Afrika Kusini FIFA Kombe la Dunia 2026
Hugo, Kocha Mkuu wa Afrika Kusini.

SOMA HII: Sheria mpya za mechi Kombe la Dunia 2026 zashtua! Nini kimebadilishwa?

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Hugo Broos katika orodha ya majina 26 amewaita watu wa kazi. Kikosi cha FIFA Kombe la Dunia 2026 nahodha ni mlinda mlango Ronwen Williams,Teboho Mokoena ambaye ni kiungo na Lyle Foster ambaye ni mshambuliaji. Nyota hawa wana majukumu katika unahodha ndani ya Bafana Bafana.

Wachezaji hawa wana kazi ya kusaka ushindi kwenye mechi ambazo watashuka uwanjani. Sio kazi rahisi kutokana na kila timu kupiga hesabu kutwaa kombe hili kubwa duniani.

Kikosi kamili

Makipa

Ronnwen Williams
Ricardo Goss
Sipho Chaine

Mabeki

Khuliso Mudau
Olwethu Makhanya
Bradley Cross
Aubrey Modiba
Thabang Matuludi
Nkosinathi Sibisi
Khulumani Ndamane
Ime Okon
Samukele Kabini
Mbekezeli Mbokazi
Kamogelo Sebelebele

Viungo

Teboho Mokoena
Jayden Adam’s
Thalente Mbatha
Sphephelo Sithole

Washambuliaji

Oswin Appollis
Tshepang Moremi
Evidence Makgopa
Lyle Foster
Igraam Rayners
Relebohile Mofokeng
Themba Zwane
Thapelo Maseko

Hitimisho

Kivumbi kinakwenda kuwaka na hii ni ratiba ya Afrika Kusini FIFA Kombe la Dunia 2026 ikiwa ni moto wa kuotea mbali. Wenyeji wanakwenda kufungua pazia kwenye mchezo wa ufunguzi Juni 11, 2026. Nani ataibuka mbabe kwenye mechi za mwanzo? Endelea kufuatilia SportPesa Blog kwa taarifa za hivi punde.

Share this: