Ratiba ya DR Congo Congo FIFA Kombe la Dunia 2026Cedric Bakambu
  • SportPesa Blog imekuletea Ratiba ya DR Congo FIFA Kombe la Dunia 2026
  • DR Congo ina mechi kali ikiwemo: Ureno vs DR Congo, Colombia vs DR Congo.
  • Mechi ya kwanza inatarajiwa kupigwa Juni 17, 2026 Uwanja wa Houston

Ratiba ya DR Congo FIFA Kombe la Dunia 2026 itaanza Juni 17. Kutoka Afrika timu hii ipo Kundi K. Ni nchi tatu zinashirikiana kuandaa mashindano haya makubwa ambazo ni Marekani, (USA), Canada na Mexico. Kivumbi kinatarajiwa kuanza Juni 11, 2026.

SOMA HII: Ratiba FIFA Kombe la Dunia 2026 | Mechi zote 104 | Tarehe | Muda wa mechi | Uwanja utakaotumika

Aviator game jackpot banner TSh 800 Million prize

Kamata ratiba ya DR Congo FIFA Kombe la Dunia 2026

Ratiba ya DR Congo Congo FIFA Kombe la Dunia 2026
Dr Congo

SOMA HII: Sheria 7 FIFA Kombe la Dunia 2026 | SportPesa Blog

Aviator game jackpot banner TSh 800 Million prize

Ni siku zinahesabika huku ratiba ya DR Congo FIFA Kombe la Dunia 2026 ikiwa ni moto kwa kundi K. Mechi 3 zitakazotoa mshindi hatua inayofuata. Mbio ni ngumu kutafuta bingwa mpya 2026 na mtetezi ni Argentina aliyetwaa 2022, Qatar.

TareheMechiUwanja
17 Juni 2026🇵🇹 Ureno vs 🇨🇩 Congo DRHouston
23 Juni 2026🇨🇴 Colombia vs 🇨🇩 Congo DRGuadalajara
27 Juni 2026🇨🇩 Congo DR vs 🇺🇿 UzbekistanAtlanta

Kocha Mkuu

Sebastien Desabre

Hiki hapa kikosi cha DR Congo

Makipa

Lionel Mpasi
Timothy Fayulu
Matthieu Epolo

Mabeki

Chancel Mbemba
Aaron Wan-Bissaka
Alex Tuanzebe
Arthur Masuaku
Joris Kayembe
Steve Kapuadi
Aaron Tshibola
Dylan Batubinsika
Gedeon Kalulu

Viungo

Noah Sadiki
Samuel Moutoussamy
Edo Kayembe
Ngal’ayel Mukau
Charles Pickel
Nathanael Mbuku
Brian Cipenga
Meschack Elia
Gael Kakuta

Washambuliaji

Ratiba ya DR Congo Congo FIFA Kombe la Dunia 2026
Mayele Fiston

SOMA HII: Fifa World Cup 2026: Bingwa kuzoa Bilioni 123

Theo Bongonda
Fiston Mayele
Cedric Bakambu
Simon Banza
Yoane Wissa

Hitimisho

Kwenye ratiba ya DR Congo Congo FIFA Kombe la Dunia 2026 haijapoa ina mechi kali kwelikweli. Kuna wachezaji wenye majina makubwa huku Fiston Mayele katika eneo la ushambuliaji yupo na Cedric Bakambu. Ni kipi watavuna kwenye mechi zijazo? Endelea kufuatilia SportPesa Blog.

Share this: