- Hapa tumekuletea ratiba ya mechi zilizobakia za Singida Black Stars kwenye NBC Premier League 2025/26
- Chui kutoka Singida anatarajia kuwa na mechi kali kwenye ligi ikiwemo: JKT Tanzania vs Singida Black Stars, Simba SC vs Singida Black Stars, Fountain Gate FC vs Singida Black Stars.
- Ratiba ya Singida Black Stars ni moto wa kuotea mbali inapambania kumaliza katika nafasi nne za juu
Leo tumekuandalia ratiba ya mechi zilizobakia za Singida Black Stars kwenye NBC Premier League 2025/26. Mechi za Singida Black Stars ni 5 zimebaki kufunga msimu. Mchezo ujao kwenye ni JKT Tanzania vs Singida Black Stars, Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo, Juni 13, 2026.
Je, bado hujashinda mamilioni ya aviator ‘Kindege’ cha SportPesa? Cheza ushinde mamilioni sasa
Changamka! sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Kamata ratiba ya mechi zilizobakia za Singida Black Stars NBC Premier League 2025/26


Mzunguko wa pili unakwenda kukamilika na hapa tumekuletea ratiba ya mechi zilizobakia za Singida Black Stars NBC Premier League 2025/26. Wababe hawa wanatumia Uwanja wa Airtel kwa mechi za nyumbani. Mchezo uliopita ilikuwa Singida Black Stars 4-1 Mbeya City, Mei 26, 2026.
| Tarehe | Mechi | Uwanja |
|---|---|---|
| 13 Juni 2026 | JKT Tanzania vs Singida Black Stars | Meja Jeneral Isahmuyo |
| 17 Juni 2026 | Singida Black Stars vs Dodoma Jiji FC | Airtel |
| 24 Juni 2026 | Singida Black Stars vs Tanzania Prisons | Airtel |
| 27 Juni 2026 | Simba SC vs Singida Black Stars | KMC Complex |
| 30 Juni 2026 | Fountain Gate FC vs Singida Black Stars | Sheikh Amri Abeid |
Simba SC vs Simba SC hii inatajwa kuwa mechi kali zaidi
Kwenye mechi 5 zilizobaki Simba SC vs Singida Black Stars inatajwa kuwa kali zaidi kutokana na uwekezaji wa timu zote. Mzunguko wa kwanza ubao ulisoma Singida Black Stars 1-2 Simba SC. Je mzunguko wa pili matokeo yatakuaje? Endelea kufuatilia SportPesa Blog kwa taarifa na matokeo ya hivi punde.
SOMA HII:Ligi Kuu Bara 2025/26 ratiba ya mechi kali| Matokeo, msimamo | SportPesa Blog
Hitimisho
Ukitazama ratiba ya mechi zilizobakia za Singida Black Stars NBC Premier League hakuna mechi nyepesi hata kidogo. Hii inatokana na ushindani uliopo huku Chui akiwa nafasi ya 4 anapambana na JKT Tanzania kutafuta tiketi ya kimataifa. Je atashushwa ama atabaki hapo?

