- Kivumbi kinaendelea ndani ya Ligi Kuu Bara 2025/26 ratiba ya mechi kali tumekuletea hapa
- Miongoni mwa mechi kali ni Yanga SC vs Singida Black Stars, Coastal Union vs Simba SC, Dodoma Jiji FC vs Mashujaa FC
- Matokeo yakushangaza kwenye mechi zilizopita, wafungaji na taarifa utazipata ndani ya Blog ya SportPesa
Ligi Kuu Bara 2025/26 ratiba ya mechi kali tumekusogezea hapa ikiwa ni lala salama. Kwa sasa ni mzunguko wa pili huku vita ya ubingwa kati ya Yanga SC na Simba SC ikizidi kupamba moto. Kwenye msimamo vinara ni Yanga SC wakiwa na pointi 54 wanafuatiwa na Simba SC nafasi ya pili na pointi 54, Azam FC nafasi ya tatu na pointi 46 baada ya mechi 23.
SOMA HII: Ligi Kuu Bara (NBC Premier League) | Hizi hapa timu 6 zinazomiliki viwanja vyao, matokeo ratiba
Unataka kushinda mamilioni? Unaweza kushinda mpaka Shilingi Milioni 800 na SportPesa
Wengi tayari wamevuna mamilioni kupitia mchezo wa Kindege yaani ‘Aviator’ ya SportPesa. Wewe unasubiri nini? Nafasi ni yako cheza Aviator na kushinda mpaka Shilingi Milioni 800 sasa kwa kubonyeza picha hii chini.

Ligi Kuu Bara 2025/26 ratiba ya mechi wiki ya 24 tumekosogezea hapa

SOMA HII: Ligi Kuu ya Bara fixtures, results, scores and stats

Ndani ya Ligi Kuu Bara 2025/26 ratiba ya wiki ya 24 wababe watakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu. Udhamini wa NBC umeongeza ushindani kwenye kila mchezo uwanjani. Timu mbili zipo kwenye hatari ya kushuka daraja kwa sasa ambazo ni KMC FC na Tanzania Prisons. Je watajinasua katika hatari hiyo?
Matokeo ya kushangaza ilikuwa mchezo uliochezwa Mei 13, 2026, Dodoma Jiji FC 3-2 Yanga SC. Vinara walipoteza mchezo wa kwanza Singida. TRA United 4-1 Azam FC ni miongoni mwa matokeo ambayo hayakutarajiwa.
Hii hapa Ligi Kuu Bara 2025/26 ratiba

| Tarehe | Mechi | Uwanja | Saa |
|---|---|---|---|
| Mei 20, 2026 | TRA United vs Mtibwa Sugar | Sheikh Amri Abeid | 16:00 |
| Mei 20, 2026 | KMC FC vs Pamba Jiji FC | KMC Complex | 18:30 |
| Mei 20, 2026 | Dodoma Jiji FC vs Mashujaa FC | Jamhuri, Dodoma | 21:00 |
| Mei 21, 2026 | JKT Tanzania vs Fountain Gate | Meja Jeneral Isahmuyo | 16:00 |
| Mei 21, 2026 | Coastal Union vs Simba SC | Mkwakwani | 18:30 |
| Mei 21, 2026 | Namungo FC vs Mbeya City | Majaliwa | 21:00 |
| Mei 22, 2026 | Yanga SC vs Singida Black Stars | KMC Complex | 16:00 |
| Mei 22, 2026 | Azam FC vs Tanzania Prisons | Azam Complex | 18:30 |
Hitimisho
Ni Ligi Kuu Bara 2025/26 ratiba ngumu kwa kila timu. Vita kubwa kwenye upande wa kuwania ubingwa na kushuka daraja. Je nani atakuwa bingwa mpya wa NBC Premier League 2025/26? Endelea kufuatilia SportPesa Blog kwa taarifa za hivi punde na matokeo.

