ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FCNado Idd Suleiman
  • SportPesa imekuandalia ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FC kwenye NBC Premier League na CRDB Federation Cup 2025/26
  • Matajiri wa Dar wana tarajia kugusa michezo kadhaa kwenye ratiba yao ikiwemo: Yanga SC vs Azam FC, Azam FC vs Mashujaa, Azam FC vs Yanga SC
  • Ratiba ya Azam FC ni yakukata na shoka wanatarajiwa kukutana na Yanga SC mara mbili mchezo mmoja katika ligi na mwingine CRDB Federation Cup

Hapa tumekuandalia ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FC kwenye NBC Premier League 2025/26 na CRDB Federation Cup. Mechi za Azam FC ni zakukata na shoka kutokana na kupambania kuishusha Simba SC nafasi ya pili na kugombania kombe la CRDB Federation Cup. Bingwa mtetezi wa mataji yote mawili ni Yanga SC hivyo kila mchezo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

SOMA HII: Azam FC vs Yanga SC :Nusu fainali ya CRDB Federation Cup | SportPesa Blog

Aviator game promotional banner featuring a red propeller plane and a jackpot of 800,000,000.

Je, bado hujashinda mamilioni ya aviator ‘Kindege’ cha SportPesa? Cheza ushinde mamilioni sasa

Changamka! sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Ifahamu ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FC NBC Premier League 2025/26

ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FC
Legend Himid

SOMA HII: Azam FC 2025: Mwongozo Kamili Kuhusu Kikosi, Benchi la Ufundi, na Urithi wa Klabu

Aviator game jackpot banner TSh 800 Million prize

Hii hapa ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FC NBC Premier League. Kuna mchezo mmoja wa CRDB Federation Cup hatua ya nusu fainali. Ikiwa itapata ushindi itakuwa na mchezo mmoja wa kufunga msimu katika fainali.

Fountain Gate FC vs Azam FC, Juni 12, 2026, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Azam FC vs Mashujaa FC, Juni 17, 2026, Uwanja wa Azam Complex

Yanga SC vs Azam FC, Juni 24, 2026, Uwanja wa TBA

Coastal Union FC vs Azam FC, Juni 27, 2026, Uwanja wa Mkwakwani

Azam FC vs Dodoma Jiji FC, Juni 30, 2026, Uwanja wa Azam Complex

Ratiba ya Azam FC CRDB Federation Cup

Yanga SC vs Azam FC, nusu fainali CRDB Federation Cup, Juni 21, 2026, Uwanja wa CCM Kirumba

Funga kazi Azam FC 2025/26

ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FC
Ibenge Kocha Mkuu wa Azam FC.

SOMA HII: Azam FC Unbeaten 18 NBC Premier League 2025/26 | Yaikimbizia rekodi ya Yanga SC ligi kuu

Ni mechi 6 zimesalia kwa matajiri wa Dar kufunga kazi ndani ya msimu wa 2025/26. Kwenye mechi hizo ni mbili watakuwa nyumbani huku 4 watakuwa ugenini. Kampeni ya ugenini itaanza Juni 12, 2026 vs Fountain Gate FC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Hitimisho

Ratiba ya mechi zilizobakia za Azam FC kwenye NBC Premier League weka mbali na watoto. Mechi inayofuata ni Fountain Gate FC vs Azam FC. Mchezo wa Yanga SC vs Azam FC unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na watakutana mara mbili wababe hawa. Endelea kufuatilia Blog ya SportPesa kwa taarifa za sasa, matokeo na wafungaji.

Share this: