Ratiba ya Ligi Kuu Bara 2026/27 imetolewa rasmi na bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB).
Tofauti na misimu mingi iliyopita, kwa ratiba ya msimu mpya wa 2026/27 vigogo wa soka nchini, Simba SC na Yanga SC zote zinatarajia kuanza karata zao ugenini.
Mchezo wenye thamani kubwa kwenye Ligi wa Kariakoo Dabi, yaani Simba SC vs Yanga SC kwa mzunguko wa kwanza umepangwa kupigwa Oktoba 10, 2026.
Makala hii inaainisha kwa ufupi ratiba za mechi 128 za mzunguko wa kwanza kwenye ratiba hiyo.
Hatimaye ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2026/27 imetangazwa rasmi na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Ratiba hiyo inaonyesha vigogo yaani bingwa mtetezi Yanga SC na mshindi wa pili Simba SC kwa msimu uliopita zitaanzia ugenini. Kama ulikuwa unajiuliza kuhusu Mchezo mkubwa wa Dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC vs Yanga SC, basi taarifa ikufikie kuwa mchezo huo kwa mzunguko wa kwanza unatarajiwa kupigwa Oktoba 10, 2026. Makala hii inachambua kwa ufupi ratiba hiyo.
Muhtasari kuhusu ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2026/27
Yanga SC NBC
Pazia la Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa 2026/27 linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 14, 2026 kwa mechi 3 kupigwa katika viwanja vitatu tofauti. Mchezo wa kwanza unatarajiwa kuwa kati ya Pamba Jiji vs Dodoma Jiji, mchezo ambao unatarajiwa kupigwa saa nane mchana kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Baada ya hapo ratiba itaendelea kwa michezo mingine kuendana na mpangilio.
Hii hapa ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2026/27; Mechi zote, uwanja utakaotumika na muda wa mechi
Feisal na Simba
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M01
Ijumaa, 14 Agosti
14:00
Pamba Jiji FC
Dodoma Jiji
CCM Kirumba
Mwanza
M02
Ijumaa, 14 Agosti
16:15
Mbeya City
Geita Gold
Uwanja wa Sokoine
Mbeya
M03
Ijumaa, 14 Agosti
19:00
Singida Black Stars
Fountain Gate
Airtel Stadium
Singida
M04
Jumamosi, 15 Agosti
16:00
Polisi Tanzania
Azam FC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M05
Jumamosi, 15 Agosti
18:30
Coastal Union
Mashujaa FC
CCM Mkwakwani
Tanga
M06
Jumamosi, 15 Agosti
21:00
Namungo FC
Young Africans SC
Majaliwa Stadium
Lindi
M07
Jumapili, 16 Agosti
18:00
Kagera Sugar
Simba SC
Kaitaba Stadium
Kagera
M08
Jumapili, 16 Agosti
20:30
JKT Tanzania
TRA United SC
Maj. Gen. Isamuhyo Stadium
Dar es Salaam
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M09
Jumanne, 18 Agosti
16:00
Fountain Gate
Mashujaa FC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M10
Jumanne, 18 Agosti
19:00
Namungo FC
Geita Gold
Majaliwa Stadium
Lindi
M11
Jumatano, 19 Agosti
14:00
Mbeya City
Dodoma Jiji
Uwanja wa Sokoine
Mbeya
M12
Jumatano, 19 Agosti
16:15
Pamba Jiji FC
Simba SC
CCM Kirumba
Mwanza
M13
Jumatano, 19 Agosti
19:00
Kagera Sugar
Singida Black Stars
Kaitaba Stadium
Kagera
M14
Alhamisi, 20 Agosti
16:00
Polisi Tanzania
JKT Tanzania
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M15
Alhamisi, 20 Agosti
18:30
Young Africans SC
Coastal Union
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M16
Alhamisi, 20 Agosti
21:00
Azam FC
TRA United SC
Azam Complex
Dar es Salaam
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M17
Jumamosi, 22 Agosti
18:00
Singida Black Stars
Simba SC
Airtel Stadium
Singida
M18
Jumamosi, 22 Agosti
20:30
Geita Gold
Kagera Sugar
Bukombe Stadium
Geita
M19
Jumapili, 23 Agosti
16:00
Mbeya City
Mashujaa FC
Uwanja wa Sokoine
Mbeya
M20
Jumapili, 23 Agosti
19:00
Azam FC
Pamba Jiji FC
Azam Complex
Dar es Salaam
M21
Jumatatu, 24 Agosti
18:00
Young Africans SC
JKT Tanzania
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M22
Jumatatu, 24 Agosti
20:30
Coastal Union
TRA United SC
CCM Mkwakwani
Tanga
M23
Jumanne, 25 Agosti
18:00
Namungo FC
Fountain Gate
Majaliwa Stadium
Lindi
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M24
Jumanne, 25 Agosti
20:30
Dodoma Jiji
Polisi Tanzania
Uwanja wa Jamhuri
Dodoma
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M25
Alhamisi, 27 Agosti
16:00
Mashujaa FC
Kagera Sugar
Lake Tanganyika Stadium
Kigoma
M26
Alhamisi, 27 Agosti
19:00
Simba SC
Coastal Union
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M27
Ijumaa, 28 Agosti
16:00
Fountain Gate
Mbeya City
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M28
Ijumaa, 28 Agosti
18:30
Geita Gold
Azam FC
Bukombe Stadium
Geita
M29
Ijumaa, 28 Agosti
21:00
Young Africans SC
Pamba Jiji FC
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M30
Jumamosi, 29 Agosti
16:00
TRA United SC
Dodoma Jiji
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M31
Jumamosi, 29 Agosti
18:30
Singida Black Stars
Polisi Tanzania
Airtel Stadium
Singida
M32
Jumamosi, 29 Agosti
21:00
JKT Tanzania
Namungo FC
Maj. Gen. Isamuhyo Stadium
Dar es Salaam
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M33
Jumatatu, 31 Agosti
18:00
Simba SC
Geita Gold
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M34
Jumatatu, 31 Agosti
20:30
Kagera Sugar
Azam FC
Kaitaba Stadium
Kagera
M35
Jumanne, 1 Septemba
16:00
Fountain Gate
Young Africans SC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M36
Jumanne, 1 Septemba
19:00
Singida Black Stars
Namungo FC
Airtel Stadium
Singida
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M37
Ijumaa, 4 Septemba
16:00
TRA United SC
Mbeya City
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M38
Ijumaa, 4 Septemba
19:00
Dodoma Jiji
Mashujaa FC
Uwanja wa Jamhuri
Dodoma
M39
Jumamosi, 5 Septemba
19:00
JKT Tanzania
Pamba Jiji FC
Maj. Gen. Isamuhyo Stadium
Dar es Salaam
M40
Jumapili, 6 Septemba
16:00
Polisi Tanzania
Coastal Union
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M41
Jumanne, 8 Septemba
16:00
Mashujaa FC
Singida Black Stars
Lake Tanganyika Stadium
Kigoma
M42
Jumanne, 8 Septemba
19:00
Young Africans SC
Geita Gold
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M43
Jumatano, 9 Septemba
19:00
Azam FC
Simba SC
Azam Complex
Dar es Salaam
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M44
Ijumaa, 11 Septemba
19:00
Dodoma Jiji
Namungo FC
Uwanja wa Jamhuri
Dodoma
M45
Jumamosi, 12 Septemba
16:00
Polisi Tanzania
Mbeya City
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M46
Jumamosi, 12 Septemba
19:00
Coastal Union
JKT Tanzania
CCM Mkwakwani
Tanga
M47
Jumapili, 13 Septemba
16:00
Pamba Jiji FC
TRA United SC
CCM Kirumba
Mwanza
M48
Jumapili, 13 Septemba
19:00
Kagera Sugar
Fountain Gate
Kaitaba Stadium
Kagera
Kipindi cha Kalenda ya FIFA
21 Septemba – 6 Oktoba (Siku 16)
Katika kipindi hiki hakutakuwa na mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na:
Dirisha la Kimataifa la FIFA
Mechi za Kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M49
Alhamisi, 8 Oktoba
14:00
Mashujaa FC
Polisi Tanzania
Lake Tanganyika Stadium
Kigoma
M50
Alhamisi, 8 Oktoba
16:15
Pamba Jiji FC
Geita Gold
CCM Kirumba
Mwanza
M51
Alhamisi, 8 Oktoba
18:30
Namungo FC
TRA United SC
Majaliwa Stadium
Lindi
M52
Alhamisi, 8 Oktoba
21:00
Coastal Union
Azam FC
CCM Mkwakwani
Tanga
M53
Ijumaa, 9 Oktoba
14:00
Fountain Gate
JKT Tanzania
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M54
Ijumaa, 9 Oktoba
16:15
Mbeya City
Kagera Sugar
Uwanja wa Sokoine
Mbeya
M55
Ijumaa, 9 Oktoba
19:00
Dodoma Jiji
Singida Black Stars
Uwanja wa Jamhuri
Dodoma
M56
Jumamosi, 10 Oktoba
19:00
Simba SC
Young Africans SC
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M57
Jumatatu, 12 Oktoba
18:00
Coastal Union
Singida Black Stars
CCM Mkwakwani
Tanga
M58
Jumatatu, 12 Oktoba
20:30
Azam FC
Namungo FC
Azam Complex
Dar es Salaam
M59
Jumanne, 13 Oktoba
16:00
TRA United SC
Young Africans SC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M60
Jumanne, 13 Oktoba
19:00
Simba SC
Mashujaa FC
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M61
Ijumaa, 16 Oktoba
16:00
Fountain Gate
Pamba Jiji FC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M62
Ijumaa, 16 Oktoba
19:00
Geita Gold
Dodoma Jiji
Bukombe Stadium
Geita
M63
Jumamosi, 17 Oktoba
19:00
Kagera Sugar
Polisi Tanzania
Kaitaba Stadium
Kagera
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M64
Jumapili, 18 Oktoba
19:00
JKT Tanzania
Mbeya City
Maj. Gen. Isamuhyo Stadium
Dar es Salaam
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M65
TBA
TBA
Singida Black Stars
TRA United SC
Airtel Stadium
Singida
M66
TBA
TBA
Dodoma Jiji
Young Africans SC
Uwanja wa Jamhuri
Dodoma
M67
TBA
TBA
Simba SC
Mbeya City
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M68
TBA
TBA
Azam FC
Mashujaa FC
Azam Complex
Dar es Salaam
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M69
Ijumaa, 23 Oktoba
16:00
Polisi Tanzania
Pamba Jiji FC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M70
Jumamosi, 24 Oktoba
18:00
JKT Tanzania
Kagera Sugar
Maj. Gen. Isamuhyo Stadium
Dar es Salaam
M71
Jumamosi, 24 Oktoba
20:30
Namungo FC
Coastal Union
Majaliwa Stadium
Lindi
M72
Jumapili, 25 Oktoba
19:00
Geita Gold
Fountain Gate
Bukombe Stadium
Geita
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M73
Jumanne, 27 Oktoba
16:00
Pamba Jiji FC
Singida Black Stars
CCM Kirumba
Mwanza
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M74
Jumanne, 27 Oktoba
18:30
Young Africans SC
Mashujaa FC
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M75
Jumanne, 27 Oktoba
21:00
Dodoma Jiji
JKT Tanzania
Uwanja wa Jamhuri
Dodoma
M76
Jumatano, 28 Oktoba
16:00
Fountain Gate
Simba SC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M77
Jumatano, 28 Oktoba
18:30
Azam FC
Mbeya City
Azam Complex
Dar es Salaam
M78
Jumatano, 28 Oktoba
21:00
Coastal Union
Kagera Sugar
CCM Mkwakwani
Tanga
M79
Alhamisi, 29 Oktoba
16:00
TRA United SC
Geita Gold
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M80
Alhamisi, 29 Oktoba
19:00
Namungo FC
Polisi Tanzania
Majaliwa Stadium
Lindi
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M81
Jumamosi, 31 Oktoba
16:00
Mbeya City
Singida Black Stars
Uwanja wa Sokoine
Mbeya
M82
Jumamosi, 31 Oktoba
18:30
JKT Tanzania
Azam FC
Maj. Gen. Isamuhyo Stadium
Dar es Salaam
M83
Jumamosi, 31 Oktoba
21:00
Coastal Union
Dodoma Jiji
CCM Mkwakwani
Tanga
M84
Jumapili, 1 Novemba
16:00
Polisi Tanzania
Geita Gold
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M85
Jumapili, 1 Novemba
19:00
Young Africans SC
Kagera Sugar
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M86
Jumatatu, 2 Novemba
14:00
TRA United SC
Fountain Gate
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M87
Jumatatu, 2 Novemba
16:15
Mashujaa FC
Pamba Jiji FC
Lake Tanganyika Stadium
Kigoma
M88
Jumatatu, 2 Novemba
19:00
Simba SC
Namungo FC
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
Kipindi cha Kalenda ya FIFA
9 Novemba – 17 Novemba (Siku 9)
Katika kipindi hiki hakutakuwa na mechi za Ligi Kuu kutokana na:
Dirisha la Kimataifa la FIFA
Mechi za Kufuzu AFCON 2027
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M89
Ijumaa, 20 Novemba
16:00
Polisi Tanzania
Young Africans SC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M90
Ijumaa, 20 Novemba
18:30
Namungo FC
Mbeya City
Majaliwa Stadium
Lindi
M91
Ijumaa, 20 Novemba
21:00
Azam FC
Singida Black Stars
Azam Complex
Dar es Salaam
M92
Jumamosi, 21 Novemba
16:00
Pamba Jiji FC
Coastal Union
CCM Kirumba
Mwanza
M93
Jumamosi, 21 Novemba
18:30
JKT Tanzania
Simba SC
Maj. Gen. Isamuhyo Stadium
Dar es Salaam
M94
Jumamosi, 21 Novemba
21:00
Dodoma Jiji
Fountain Gate
Uwanja wa Jamhuri
Dodoma
M95
Jumapili, 22 Novemba
18:00
Kagera Sugar
TRA United SC
Kaitaba Stadium
Kagera
M96
Jumapili, 22 Novemba
20:30
Geita Gold
Mashujaa FC
Bukombe Stadium
Geita
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M97
TBA
TBA
Fountain Gate
Azam FC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M98
TBA
TBA
Simba SC
Polisi Tanzania
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M99
TBA
TBA
Mbeya City
Young Africans SC
Uwanja wa Sokoine
Mbeya
M100
TBA
TBA
Singida Black Stars
JKT Tanzania
Airtel Stadium
Singida
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M101
Ijumaa, 27 Novemba
16:00
Pamba Jiji FC
Namungo FC
CCM Kirumba
Mwanza
M102
Ijumaa, 27 Novemba
19:00
Kagera Sugar
Dodoma Jiji
Kaitaba Stadium
Kagera
M103
Jumamosi, 28 Novemba
16:00
Mashujaa FC
TRA United SC
Lake Tanganyika Stadium
Kigoma
M104
Jumapili, 29 Novemba
19:00
Geita Gold
Coastal Union
Bukombe Stadium
Geita
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M105
Ijumaa, 4 Desemba
14:00
TRA United SC
Polisi Tanzania
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M106
Ijumaa, 4 Desemba
16:15
Mbeya City
Pamba Jiji FC
Uwanja wa Sokoine
Mbeya
M107
Jumamosi, 5 Desemba
19:00
Coastal Union
Fountain Gate
CCM Mkwakwani
Tanga
M108
Jumapili, 6 Desemba
16:00
Mashujaa FC
JKT Tanzania
Lake Tanganyika Stadium
Kigoma
M109
Jumapili, 6 Desemba
19:00
Kagera Sugar
Namungo FC
Kaitaba Stadium
Kagera
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M110
TBA
TBA
Singida Black Stars
Geita Gold
Airtel Stadium
Singida
M111
TBA
TBA
Simba SC
Dodoma Jiji
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
M112
TBA
TBA
Young Africans SC
Azam FC
Uhuru Stadium
Dar es Salaam
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M113
Ijumaa, 11 Desemba
14:00
Pamba Jiji FC
Kagera Sugar
CCM Kirumba
Mwanza
M114
Ijumaa, 11 Desemba
16:15
Mbeya City
Coastal Union
Uwanja wa Sokoine
Mbeya
M115
Ijumaa, 11 Desemba
16:15
TRA United SC
Simba SC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M116
Jumamosi, 12 Desemba
16:00
Fountain Gate
Polisi Tanzania
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M117
Jumamosi, 12 Desemba
18:30
Singida Black Stars
Young Africans SC
Airtel Stadium
Singida
M118
Jumamosi, 12 Desemba
21:00
Azam FC
Dodoma Jiji
Azam Complex
Dar es Salaam
M119
Jumapili, 13 Desemba
16:00
Mashujaa FC
Namungo FC
Lake Tanganyika Stadium
Kigoma
M120
Jumapili, 13 Desemba
19:00
Geita Gold
JKT Tanzania
Bukombe Stadium
Geita
Vipindi vya Mashindano Mengine
18–20 Desemba: Hatua ya Makundi ya CAF – Mzunguko wa 3.
25–27 Desemba: Kombe la Shirikisho la CRDB (Raundi ya 64).
Na.
Tarehe
Muda
Timu Mwenyeji
Timu Mgeni
Uwanja
Mji
M121
Jumanne, 29 Desemba
16:00
Namungo FC
Singida Black Stars
Majaliwa Stadium
Lindi
M122
Jumanne, 29 Desemba
18:30
Kagera Sugar
Pamba Jiji FC
Kaitaba Stadium
Kagera
M123
Jumanne, 29 Desemba
21:00
Dodoma Jiji
TRA United SC
Uwanja wa Jamhuri
Dodoma
M124
Jumatano, 30 Desemba
16:00
Fountain Gate
Geita Gold
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M125
Jumatano, 30 Desemba
19:00
Azam FC
Young Africans SC
Azam Complex
Dar es Salaam
M126
Alhamisi, 31 Desemba
16:00
Polisi Tanzania
Simba SC
Sheikh Amri Abeid Stadium
Arusha
M127
Alhamisi, 31 Desemba
18:30
JKT Tanzania
Mashujaa FC
Maj. Gen. Isamuhyo Stadium
Dar es Salaam
M128
Alhamisi, 31 Desemba
21:00
Coastal Union
Mbeya City
CCM Mkwakwani
Tanga
Hitimisho
Yanga SC vs Singida Black Stars
Ratiba ya Ligi Kuu Bara imethibitisha wazi kuwa Ligi Kuu Bara inatarajiwa kurejea mapema, hii ni baada ya kumalizika kwa mapumziko mafupi ya mwisho wa msimu. Ratiba hii pia imezingatia mapumziko mbalimbali, kupisha michuano mingine ambayo timu za Ligi Kuu zitashiriki. Kutoka mapema kwa ratiba hii ni fursa kwa timu zote kufanya maandailzi mapema. Endelea kufuatilia SportPesa Blog kupata taarifa zote za msimu mpya na ratiba ya Ligi Kuu ya NBC na endelea kubashiri kupitia SportPesa.
Joel Thomas is a Tanzanian sports writer with a BSc (Education) from Mwenge Catholic University. He spent 4 years at Global Publishers and is in his second year with SportPesa, covering football and betting education for local fans. Anapenda soka na anaandika kwa uwajibikaji.