- Ratiba ijayo, wafungaji, nafasi ya sasa hivi kwa Simba SC ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu tumekosogezea hapa
- Mzizima Dabi yaiachia maumivu Simba SC, Azam Complex, Aprili 5, 2026
- Barker akiri Simba SC hawana bahati mbele ya Azam FC, Ibenge akubali ubora wa mpinzani
- Mchezo ujao ni Simba SC vs TRA United, Aprili 9, 2026 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
Matokeo ya Mzizima Dabi yaiachia maumivu Simba SC 2025/26 (Azam FC 0-0 Simba SC), Uwanja wa Azam Complex. Ahmed Arajiga alikuwa mwamuzi kwenye mechi ya NBC Premier League, Aprili 5, 2026. Mzunguko wa kwanza Simba SC ilipoteza. Hivyo katika mechi mbili ni pointi moja wamevuna wakipoteza 4.
SOMA HII: Azam FC yaivuruga Simba SC yaifunga mara mbili mfululizo/ Kariakoo Dabi hakuna tena
Je, bado hujashinda mamilioni? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune pesa sasa
Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Mzizima Dabi yaiachia maumivu Simba SC, Ahmed Arajiga gumzo

Mzizima Dabi yaiachia maumivu Simba SC 2025/26. Katika mchezo wa mzunguko wa pili hakuna mbabe kwa wawili hawa baada ya ubao kusoma Azam FC 0-0 Simba SC. Azam FC amevuna pointi nyingi zaidi mbele ya Simba SC ambazo ni 4. Mzunguko wa kwanza matokeo ilikuwa Simba SC 0-2 Azam FC.
Mwamuzi wa kati Ahmed Arajiga mara baada ya mchezo huo. Simba SC walitoa ujumbe wakionesha moja ya tukio alilofanyiwa mchezaji Libese Gueye. Kiungo huyo alionekana akichezwa faulo ndani ya 18 mwamuzi hakuamuru iwe penati.
Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema kuwa Simba SC walikuwa imara. Kwa upande wa Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker amekiri hawana bahati mbele ya Azam FC.
H2H Azam FC vs Simba SC

| Tarehe | Mashindano | Timu (H) | Matokeo | Timu, (A) |
| Aprili 5, 2025 | NBC Premier | Azam FC | 0-0 | Simba SC |
| Desemba 7, 2025 | NBC Premier | Simba SC | 0-2 | Azam FC |
| Feb 24, 2025 | NBC Premier | Simba SC | 2-2 | Azam FC |
| Sep 26, 2024 | NBC Premier | Azam FC | 0-2 | Simba SC |
| Mei 9, 2024 | NBC Premier | Azam FC | 0-3 | Simba SC |
| Feb 9, 2024 | NBC Premier | Simba SC | 1-1 | Azam FC |

Msimamo wa NBC Premier League
Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyiwa maboresho sasa hivi. Yanga SC inaongoza ikiwa na pointi 41. KMC FC inashikilia nafasi ya mwisho ikiwa na pointi 8.
| POS | MP | W | D | L | PTS |
| Yanga SC | 17 | 12 | 5 | 0 | 41 |
| Simba SC | 16 | 10 | 5 | 1 | 35 |
| 3. Azam FC | 17 | 8 | 9 | 0 | 33 |
| 4. JKT Tanzania | 18 | 7 | 8 | 3 | 29 |
| 5.Pamba Jiji FC | 17 | 6 | 8 | 3 | 26 |
| 6.Singida Black Stars | 17 | 7 | 4 | 6 | 25 |
| 7.Dodoma Jiji FC | 18 | 6 | 6 | 6 | 24 |
| 8. TRA United | 17 | 6 | 5 | 6 | 23 |
| 9.Mtibwa Sugar | 18 | 5 | 8 | 5 | 23 |
| 10.Namungo FC | 18 | 5 | 7 | 6 | 22 |
| 11.Mashujaa FC | 18 | 4 | 8 | 6 | 20 |
| 12.Mbeya City | 17 | 4 | 4 | 9 | 16 |
| 13.Coastal Union | 18 | 3 | 7 | 8 | 16 |
| 14.Fountain Gate | 17 | 4 | 4 | 9 | 16 |
| 15.Tanzania Prisons | 18 | 3 | 4 | 11 | 13 |
| 16. KMC FC | 17 | 2 | 2 | 13 | 8 |
Libase Gueye mashine ya kazi Simba SC
Libase Gueye mwenye miaka 22 ni mashine ya kazi Simba SC 2025/26. Huu ni usajili wa kwanza Simba SC katika dirisha dogo 2025/26. Huyu ni kiungo mshambuliaji raia wa Senegal alikuwa anaitumikia Teungueth FC alitambulishwa Januari, 2026 atadumu mpaka 2028.
Mechi zijazo kwa Simba SC NBC Premier League

TRA United vs Simba SC, Aprili 9, 2026, saa 10:00 jioni
Simba SC vs Dodoma Jiji FC, Aprili 12, 2026, saa 12:30, CRDB Federation Cup
Fountain Gate vs Simba SC, Aprili 15, 2026, saa 10:00 jioni.
Namungo FC vs Simba SC, Aprili 18,2026 saa 1:00 usiku
Simba SC vs JKT Tanzania, Aprili 19,2026 saa 1:00 usiku
Simba SC vs Tanzania Prisons, Aprili 29, 2026 saa 1:00 usiku
Simba SC vs Yanga SC, Mei 3,2026 saa 11:00 jioni.
Mashujaa FC vs Simba SC, saa 12:15, jioni.
Coastal Union vs Simba SC, Mei 16,2026 saa 10:00 jioni
Simba SC vs Dodoma Jiji FC, Mei 20,2026, saa 1:00 usiku.
SOMA HII: Azam FC 1-0 Endumenti FC CRDB Federation Cup | Matokeo haya hapa, Simba SC vs Yanga SC
Hitimisho
Mzizima Dabi yaiacha maumivu Simba SC kutokana na kuacha alama nyingi kwa mpinzani. Mchezo wa kwanza kupoteza mnyama alikuwa nyumbani Uwanja wa Mkapa dhidi ya matajiri wa Dar. Aishi Manula anatwaa tuzo ya mchezaji bora mbele ya mnyama. Kipa huyo alijiunga na matajiri wa Dar akitokea Simba SC.

