Azam FC 1-0 Endumenti FCLaudry
  • Simba SC vs Yanga SC zote zimepenya hatua ya 32 bora kwa ushindi mnono.
  • Azam FC 1-0 Endumenti FC Landry Zouzou mfungaji pekee wa goli la ushindi.
  • KMC FC vs Azam FC ni kituo kinachofuata NBC Premier League
  • Matokeo ya mechi zote tumekusogezea hapa

Azam FC 1-0 Endumenti FC ni matokeo mchezo wa hatua ya 64 bora CRDB Federation Cup. Goli pekee lilifungwa na Landry Zouzou dakika ya 48 kwa mkwaju wa penati. Hiyo ni baada ya dakika 45 za mwanzo ngoma kuwa 0-0.

SOMA HII: Azam FC yaivuruga Simba SC yaifunga mara mbili mfululizo/ Kariakoo Dabi hakuna tena

Vuna mamilioni sasa hivi kwa kupaisha Kindege

Kuna jambo umekwama kwa sasa kuhusu mkwanja? Usiogope, rubani ni jasiri na kazi yake ni kupaisha kindege cha SportPesa. Cheza sasa hivi Aviator uvune mamilioni bofya hapa chini, muda ni wako na nafasi ya ushindi inakusubiri.

Sportpesa Aviator- 800Mil

Azam FC 1-0 Endumenti FC, vigogo wapenya 32 bora

Azam FC 1-0 Endumenti FC
Himid nahodha wa Azam FC. Source: Azam FC.

Ushindi wa Azam FC 1-0 Endumenti FC unaongeza idadi ya vigogo waliopenya 32 CRDB Federation Cup. Simba SC ilianza kufungua njia kisha Yanga SC wakafuata. Azam FC kete yao usiku saa tatu Februari 19 iliwapa tikete kusonga hatua inayofuata.

Ikumbukwe kwamba bingwa mtetezi ni Yanga SC. Kila hatua ni fainali kwa kuwa ukipoteza safari yako inaishia hapo. Baada ya ushindi Azam FC inajiandaa na mchezo wa ligi dhidi ya KMC FC.

KMC vs Azam FC unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. Februari 22,2026 saa 10:15 jioni. Wakusanya ushuru waliishia hatua ya 64 bora kwa kufungashiwa virago na Bandari FC wakiwa nyumbani.

Matokeo ya 64 bora Februari 18,2026

Yanga SC 2-0 Cosmopolitan FC
Buba Jemmah mfugaji wa magoli ya Yanga SC 64 bora. Source: Yanga SC.
Yanga SC20Cosmopolitan FC
JKT Tanzania70Pan African
Kagera Sugar30 Mighty Elephan
Geita Gold10Kajuna FC
 B19 FC 70 Dhujao FC
Barberian FC11Kijiwe Nongwa FC (Pen: 2-4)
Songea United21 Vijana SC
Bigman FC 01Nyika FC
Hausang FC 21West Sengers
Stand United40 Mabao FC
African Sports41Kilimo FC
Mtibwa Sugar50 IAA SC
Pamba Jiji01Alliance FC (Pen: 4-2)
 Mashujaa FC10Nkim FC
Mbuni FC51 1 Green FC

Polisi Tanzania vs THB FC (Polisi wamepewa ushindi baada ya THB kutofika uwanjani)

SOMA HII: Aishi Manula amesaini mkataba kuitumikia Azam FC akitokea Simba SC | Rekodi zake na tuzo

cropped-Sportpesa-Aviator-Rain-Free-Bets-Mil-jpg- jpeg

Matokeo ya mechi hatua ya 64 bora Februari 17, 2026

Mpanzu vs Greenland
Mpanzu vs Greenland FC, 64 bora CRDB Federation Cup. Source: Simba SC.
Simba SC300 Greenland FC
KMC FC33 (P 2-3)Bandari FC
Coastal Union31Nyumbu FC
Fountain Gate10Mapinduzi FC
Dodoma Jiji FC31Kilimanjaro Wonders
Transit Camp40Chama la Wana

Mbeya City vs Biashara United Mara

Biashara United hawakufika uwanjani. Mbeya City walifika na kufuata taratibu zote. Baada ya dakika 30 mwamuzi akamaliza mchezo kwa kuwapa Mbeya City ushindi wa kanuni.

Hitimisho

Azam FC 1-0 Endumenti FC yamefungua ukurasa unaofuata kwa matajiri hao wa Dar. Kituo kinachofuata ni NBC Premier League ugenini Februari 22,2026 Uwanja wa KMC Complex. Wakusanya mapato ya Kinondoni 2025/26 bado hawajawa imara kutokana na matokeo mabaya wanayopata. Je watafanya maajabu mbele ya Azam FC? Dakika 90 zitaamua.

Share this: