- Yanga SC ina Unbeaten 27 CRDB Federation Cup
- Mara ya mwisho Yanga SC kufungwa ilikuwa katika fainali ya 2021 goli moja dhidi ya Simba SC
- Maxi Nzengeli goli lake la dakika ya 67 dhidi ya TMA Stars limeipelekea timu hiyo hatua ya robo fainali
Yanga SC ina Unbeaten 27 CRDB Federation Cup ikitwaa mataji miaka minne mfululizo. Timu hiyo haijapoteza mchezo wowote tangu 2021/22. Ushindi waliopata wa goli 1-0 TMA Stars Uwanja wa KMC Complex ulikamilisha rekodi hiyo.
TAARIFA YA USAJILI: Yanga SC imetambulisha wapya 10 dirisha la usajili Ecua afungua Agosti / Walioongeza mikataba/ Usajili
Je, bado hujashinda mamilioni ya aviator ‘Kindege’ cha SportPesa? Cheza ushinde mamilioni sasa
Changamka! sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Yanga SC imefikisha Unbeaten 27 tofauti na Unbeaten ya NBC Premier League

Yanga SC ina Unbeaten 27 michuano ya CRDB Federation Cup chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalaves. Hii ni tofauti na rekodi ya Unbeaten kwenye mechi 18 za NBC Premier League 2025/26. Hawa ni mabingwa watetezi wa mataji yote mawili wametinga robo fainali CRDB Federation Cup.
Mabingwa hao mara 31 NBC Premier League wanaifukuzia rekodi ya Unbeaten 49 kwenye ligi. Kwenye CAF Champions League 2022/23 walicheza hatua ya fainali. Msimu wa 2025/26 wanatetea mataji mawili makubwa NBC Premier League na CRDB Federation Cup.
Matokeo ya Yanga SC 2021/22
Yanga SC 4-0 Ihefu
Yanga SC 1-0 Mbao
Yanga SC 2-1 Biashara United
Yanga SC 1-1 Geita Gold (7-6 Penalti)
Yanga SC 1-0 Simba SC
Mchezo wa fainali:- Yanga SC 3-3 Coastal Union (4-1 Penalti)
SOMA HII: Yanga SC: Historia, Usajili wote, kikosi, Ratiba, Matokeo na Takwimu

Matokeo ya Yanga SC 2022/23
Yanga SC 8-0 Kurugenzi
Yanga SC 7-0 Rhino Rangers
Yanga SC 4-1 Tanzania Prisons
Yanga SC 1-0 Geita Gold
Singida Big Stars 0-1 Yanga SC
Azam FC 0-1 Yanga SC (Final)
Matokeo ya Yanga SC 2023/24
Yanga SC 5-1 Hausang FC
Yanga SC 5-0 Polisi Tanzania
Dodoma Jiji 0-2 Yanga SC
Yanga SC 3-0 Tabora United
Singida Big Stars 0-1 Yanga SC
Matokeo ya fainali: Azam FC 0-0 Yanga SC (5-6 Penalti)
Matokeo ya Yanga SC 2024/25
Yanga SC 5-0 Copco FC
Yanga SC 3-1 Coastal Union
Yanga SC 2-0 Songea United
Yanga SC 8-1 Stand United
Yanga SC 2-0 JKT Tanzania
Yanga SC 2-0 Singida Black Stars (Final)
Matokeo ya Yanga SC 2025/26

Yanga SC 2-0 Cosmopolitan FC
Yanga SC 7-1 Polisi Tanzania
Yanga SC 1-0 TMA Stars
Hitimisho
Yanga SC ina Unbeaten 27 CRDB Federation Cup ikiwa ni rekodi nyingine mpya. Mabingwa hao watetezi wanatetea taji hilo kwa msimu wa 2025/26. Je nani atavunja rekodi hiyo?

