Yanga SC haijafungwa 2025/26Yahya Mudathir
  • Pamba Jiji FC imeikabili Yanga SC Jumatano, Aprili 8 2026 ikipoteza kwa kufungwa magoli 3-0.
  • Yanga SC na maajabu 2025/26 NBC Premier League inaifukuzia unbeaten ya mechi 49.
  • Allan Okello ametoa hat trick ya asisti Uwanja wa CCM Kirumba, Mudathir afunga magoli mawili.
  • Msimamo na wafungaji wa hivi punde NBC Premier tumekusogezea hapa

Yanga SC na maajabu 2025/26 kwenye upatakinaji matokeo mechi 18 mfululizo haijafungwa NBC Premier League. Matokeo ya Aprili 8, 2026 Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC yanaonyesha mfanano na matokeo mzunguko wa kwanza ilipokuwa Yanga SC 3-0 Pamba Jiji FC. Wananchi wametoka kushinda magoli 3-0 Tanzania Prisons, Uwanja wa KMC Complex.

SOMA HII: Djigui Diarra wa Yanga SC amefungiwa mechi 3 na TPLB | Mechi atakazokosekana, waamuzi wafungiwa

Paisha Kindege cha SportPesa uvune mamilioni sasa hivi

Muda ni sasa kushinda mamilioni ukicheza mchezo wa Aviator. Ni rahisi sana kwa kila rubani kuvuna mamilioni. Cheza sasa upate mgao wako bila chenga ni rahisi sana

Sportpesa Aviator Rain Free Bets- Mil

Yanga SC na maajabu 2025/26 mechi 18 mfululizo

Yanga SC haijafungwa 2025/26
Mudathir Yahya kiungo wa Yanga SC.

Ni Yanga SC na maajabu 2025/26 ikicheza mechi ngumu bila kupoteza katika mechi za ushindani. Hapa tunakuletea matokeo ya hivi punde na wafunganji katika timu hiyo. Ikumbukwe kwamba hawa ni mabingwa mara 31 NBC Premier League.

Wanaifukuzia rekodi ya unbeaten 49 waliyoiandika kwa misimu mitatu. Hiyo ilianza 2020-21, 21-22 na ilivunjwa 2022/23 kwa kufungwa 2-1 na Ihefu ilikuwa Novemba 29, 2022. Je msimu huu itavunjwa na nani?

Wafungaji Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC

Wakati ubao wa CCM Kirumba, Aprili 8, 2026 ukisoma Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC, Yona Amos alianza langoni. Mudathir Yahya alifunga magoli mawili dakika ya 8 na 34. Maxi Nzengeli alifunga goli moja dakika ya 66. Pasi za magoli zilitengenezwa na Allen Okello.

Matokeo ya Yanga SC 2025/26

Haya hapa matokeo ya mechi zote za Yanga SC NBC Premier League. Pedro Goncalves ni Kocha Mkuu. Kipa namba moja ni Djigui Diarra.

TareheTimu (H)MatokeoTimu (A)
Aprili 8, 2026Pamba Jiji FC Yanga SC
April 4, 2026Yanga SC3-0  Tanzania Prisons
March 21, 2026Mtibwa Sugar1-1  Yanga SC
March 18, 2026TRA United0-0  Yanga SC
March 15, 2026Azam FC0-0  Yanga SC
March 12, 2026Tanzania Prisons0-1  Yanga SC
March 5, 2026Singida Black Stars0-3  Yanga SC
March 1, 2026Yanga SC0-0  Simba SC
Feb 25, 2026Yanga SC5-0  JKT Tanzania
Feb 22, 2026Namungo FC0-1  Yanga SC
Jan 27, 2026Yanga SC3-1Dodoma Jiji  
Jan 19, 2026Yanga SC6-0  Mashujaa
Dec 7, 2026Coastal Union0-1  Yanga SC
Dec 4, 2026Yanga SC2-0  Fountain Gate
Nov 9, 2026Yanga SC4-1KMC  
Oktoba 28, 2026Yanga SC2-0Mtibwa Sugar  
Sep 30, 2026Mbeya City0-0  Yanga SC
Sep 24, 2026Yanga SC3-0  Pamba Jiji FC

SOMA HII: Wachezaji wanne wa Yanga SC warejea kazini | Taarifa mpya kuhusu Depu, ratiba 2025/26

cropped-Sportpesa-Aviator-Rain-Free-Bets-Mil-jpg- jpeg

Msimamo wa NBC Premier League 2025/26

Yanga SC haijafungwa 2025/26
Allan Okello kiungo wa Yanga SC 2025/26.

 Msimamo wa NBC Premier League uliobereshwa hivi punde. Yanga SC wanaongoza ligi na pointi 44. Pamba Jiji FC nafasi ya 6 kwenye msimamo.

POSMPWDLPTS
Yanga SC18135044
Simba SC16105135
3. Azam FC1789033
4. JKT Tanzania1878329
5.Singida Black Stars1884628
6.Pamba Jiji FC1868426
7.Dodoma Jiji FC1866624
8. TRA United1765623
9.Mtibwa Sugar1858523
10.Namungo FC1857622
11.Mashujaa FC1848620
12.Mbeya City1744916
13.Coastal Union1837816
14.Fountain Gate1744916
15.Tanzania Prisons18341113
16. KMC FC1822148

SOMA HII: Yanga SC Unbeaten NBC Premier League 2025/26: Haya hapa Matokeo yote na rekodi za Wananchi msimu huu, Azam hawavumi lakini wamo

Hitimisho

Yanga SC na maajabu 2025/26 na imefungwa magoli machache ambayo ni 3. Azam FC inafuatia ikiwa imecheza mechi 17 bila kupoteza msimu huu. Simba SC imepoteza mchezo mmoja ilikuwa dhidi ya Azam FC.

Share this: