TRA United 0-0 Yanga SCDuke vs TRA United
  • Pacome Zouzoua kwenye orodha ya wachezaji kikosi cha kwanza ugenini
  • TRA United 0-0 Yanga SC NBC Premier League dakika 45 za mwanzo
  • Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, kikosi cha Yanga SC kuna mabadiliko makubwa

TRA United 0-0 Yanga SC ni matokeo ya dakika 45 za mwanzo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Kiungo Pacome Zouzoua ameanza kikosi cha kwanza chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves. Mzamiru Yassin kwa weyeji anaongoza eneo la ukabaji.

SOMA HII: Je Pacome Zouzoua chanzo Yanga SC 0-0 Simba SC? Ali Kamwe atoa ufafanuzi

Bado hujashinda mamilioni ya SportPesa?

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Bashiri na SportPesa uvune mkwanja sasa hivi kwa kubonyeza picha hapo chini.

cropped-Sportpesa-Aviator-Rain-Free-Bets-Mil-jpg- jpeg

HT: TRA United 0-0 Yanga SC, NBC Premier League

TRA United 0-0 Yanga SC dakika 45 za kazi kwa wababe wawili uwanjani. Wageni wanaongoza kwenye eneo la umiliki wa mpira. Kwa upande wa mashuti ambayo yamelenga lango bado hakuna timu iliyofanikiwa ndani ya kipindi cha kwanza.

TRA United 0-0 Yanga SC
Israel Mwenda kwenye mchezo vs TRA United. Source: Yanga SC.

Rekodi za TRA United vs Yanga SC

TRA United Yanga SC
2Mashuti3
0Lenga lango0
34%Umiliki66%
2Mashuti yasiyolenga lango3
0Kadi nyekundu0
0Kadi ya njano0
0Kona1
0Magoli0

Kikosi cha TRA United dhidi ya Yanga SC

TRA United 0-0 Yanga SC
Mzamiru Yassin kiungo mkabaji wa TRA United.

Langoni ni Noel

Wachezaji wengine ni Chobwedo, Kombo, Chamou, Joseph, Mapaka, Mzamiru Yassin.

Jamal, Nouma, Lazarus, Chewe hawa wameanza kikosi cha kwanza.

Wachezaji wa akiba

Fikirini, Makoye, Msati, Enock, Isack, Kaizer, Omari, Ally, Tebandeke, Mugoya.

Kikosi cha Yanga SC VS TRA United

Langoni

Djigui Diarra.

Mabeki

Israel Mwenda

Mohamed Hussen

Bakari Nondo

Assink

Viungo

 Damaro

Maxi Nzengeli

Duke Abuya

Pacome

Shekhan.

Mshambuliaji

Prince Dube

Wachezaji wa akiba

Masalanga

Yao

Andabwile

Abubakar

Abdulnasir

Mudathir

Mwanengo

Kouma

Buba

Okello

SOMA HII: Azam FC vs Yanga SC: Jeshi la Yanga SC latua Dar leo Ijumaa, h2h, Ratiba, matokeo Ligi Kuu ya NBC

cropped-Sportpesa-Aviator-Rain-Free-Bets-Mil-jpg- jpeg

Hitimisho

TRA United 0-0 Yanga SC ni matokeo ya ngwe ya kwanza katika zile 90. Kipindi cha pili kitakuwa na matokeo kamili. Mpaka muda wa mapumziko hakuna aliyeona lango la mpinzani.

Share this: