- Ahmed Ally, Kocha Mkuu wa JKT Tanzania atuma ujumbe kwa wapinzani.
- Yanga SC vs JKT Tanzania NBC Premier League vita ya vinara na mabingwa watetezi.
- Dodoma Jiji FC vs Simba SC kupigwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.
- Msimamo wa ligi na ratiba kamili Februari tumekusogezea hapa
Yanga SC vs JKT Tanzania ni ratiba inayofuata NBC Premier League. Vinara wa ligi watakuwa ugenini dhidi ya mabingwa watetezi. Makao makuu, Dodoma kutakuwa na mchezo wa Dodoma Jiji FC vs Simba SC mwendelezo wa burudani.
SOMA HII: Yanga SC haijapoteza mechi 2025/26 NBC Premier League / Kariakoo Dabi inanukia, matokeo, rekodi
Je hujashinda? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa hivi
Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Yanga SC vs JKT Tanzania, Kocha Ahmed Ally atuma ujumbe
Kuelekea mchezo wa Yanga SC vs JKT Tanzania, kocha wa vinara wa ligi Ahmed Ally ametuma ujumbe mzito. Ally amebainisha kuwa wanatambua ugumu wa mchezo watapambana kupata pointi tatu.
“Tunatambua umuhimu wa mchezo na tutapambana kupata pointi tatu ugenini,”.
Maoni ya Kocha Mkuu wa Yanga SC, Pedro

Pedro Goncalves, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa wanajiamini na wataingia kwa tahadhari.
“Tunajiamini na tunaamini tutaleta ushindani kutoka kwa wapinzani wetu. Malengo nikuona tunapata alama tatu,”.
SOMA HII: Yanga SC 2-0 JKT Tanzania; Yanga yatinga Fainali Shirikisho CRDB yawasubiri Simba/Singida BS

Msimamo wa Yaga SC vs JKT Tanzania
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.JKT Tanzania | 16 | 7 | 7 | 2 | 28 |
| 2. Yanga SC | 9 | 8 | 1 | 0 | 25 |
Februari 25,2026, Yanga SC vs JKT Tanzania, watapambana Uwanja wa KMC Complex.
Matokeo yaliyopita kwa Yanga SC
Februari 22,2026 Namungo FC 0-1 Yanga SC
Matokeo yaliyopita kwa JKT Tanzania
Februari 13,2026 JKT Tanzania 1-1 Coastal Union
Msimamo Dodoma Jiji FC vs Simba SC

| MP | W | D | L | PTS | |
| 4. Simba SC | 9 | 7 | 1 | 1 | 22 |
| 6.Dodoma Jiji FC | 15 | 5 | 5 | 5 | 20 |
Matokeo yaliyopita kwa Simba SC
Februari 22,2026 Tanzania Prisons 0-2 Simba SC
Matokeo yaliyopita kwa Dodoma Jiji FC
Februari 12,2026 Dodoma Jiji FC 3-0 TRA United
Kituo kinachofuata ni Februari 25,2026 Dodoma Jiji FC vs Simba SC, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.
Azam FC vs Mtibwa Sugar msimamo

| MP | W | D | L | PTS | |
| 5.Mtibwa Sugar | 15 | 5 | 6 | 4 | 21 |
| 8.Azam FC | 9 | 5 | 4 | 0 | 19 |
Matokeo yaliyopita kwa Azam FC
Februari 22,2026 KMC FC 0-2 Azam FC
Matokeo yaliyopita kwa Mtibwa Sugar
Februari 22,2026 Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars
Ni Februari 25, 2026, Azam FC vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Azam Complex.
Fountain Gate vs TRA United
Februari 25,2026, Fountain Gate vs TRA United
Msimamo wa Fountain Gate vs TRA United
| MP | W | D | L | PTS | |
| 12. TRA | 12 | 3 | 4 | 5 | 13 |
| 15.Fountain Gate | 13 | 3 | 3 | 7 | 12 |
Matokeo yaliyopita kwa Fountain Gate
Februari 11,2026 Singida Black Stars 1-0 Fountain Gate
Matokeo yaliyopita kwa TRA United
Februari 12,2026 Dodoma Jiji FC 3-0 TRA United
Namungo FC vs Singida Black Stars

Februari 25,2026 ni Namungo FC vs Singida Black Stars, Uwanja wa Majaliwa.
Msimamo Namungo FC vs Singida Black Stars
| MP | W | D | L | PTS | ||||||
| 7.Namungo FC | 15 | 5 | 5 | 5 | 20 | |||||
| 10.S.B.S | 9 | 4 | 3 | 2 | 15 | |||||
SOMA HII: Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars, KMC FC yapigwa na Azam FC/ Namungo FC vs Yanga SC lineups

Matokeo yaliyopita kwa Namungo FC
Februari 22,2026 Namungo FC 0-1 Yanga SC
Matokeo yaliyopita kwa Singida Black Stars
Februari 22,2026 Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars
Msimamo wa NBC Premier League


