Namungo FC 0-1 Yanga SCDepu vs Namungo FC
  • Dupe amaliza mchezo ugenini dakika ya 25 kwa pigo la penati.
  • Namungo FC 0-1 Yanga SC NBC Premier League Februari 22,2026
  • Kituo kinachofuata ni Yanga SC vs JKT Tanzania Februari 25,2026.

Namungo FC 0-1 Yanga SC ni matokeo ya mchezo wa NBC Premier League, Uwanja wa Majaliwa. GolI limefungwa na Depu dakika ya 25. Wananchi wanaondoka na pointi tatu ugenini wakifikisha pointi 25 baada ya mechi 9 nafasi ya pili.

SOMA HII: Ratiba ya Yanga SC 2025/26 NBC Premier League, CAF Champions League/ Live scores

Cheza na ushinde sasa na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa hivi

Hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kubashiri SportPesa bonyeza picha hii chini.

Sportpesa Aviator- 800Mil

Namungo FC 0-1 Yanga SC, Depu amemaliza mchezo

Namungo FC 0-1 Yanga SC
Depu mshambuliaji wa Yanga SC. Source: Yanga SC.

Wakati ubao ukisoma Namungo FC 0-1 Yanga SC, Depu amemaliza mchezo mapema kipindi cha kwanza. Goli la penati iliyosababishwa na Maxi Nzengeli limedumu mpaka mwisho wa mchezo. Wananchi wanazidi kujikusanyia pointi kwenye mechi za viporo.

Kituo kinachofuata ni Yanga SC vs JKT Tanzania, Februari 25,2026. Wananchi wapo nafasi ya pili watakabiliana na JKT Tanzania iliyo nafasi ya kwanza na pointi 28.

SOMA HII: Yanga SC yaichapa Namungo FC nje ndani, sakata la Kariakoo Dabi bosi afunguka Juni 15 2025

Sportpesa Aviator Rain Free Bets- Mil

 Msimamo wa Namungo FC vs Yanga SC

 MPWDLPTS
2. Yanga SC981025
6.Namungo FC1555520

Kikosi cha Namungo FC

Maxi vs Namungo FC
Maxi vs Namungo FC NBC Premier League. Source: Yanga SC.

Langoni

Mussa Malika

Bakari Hussen

Machella Julius

Hamis Halifa

Abdallah Mfuko

Rodgers Gabriel

Geofrey Julius

Cyprian Kipenye

Fabrince Ngoy

Abdulkarim Kiswanya

Jacob Masawe

Wachezaji wa akiba

Pius Buswita

Herbet Lukindo

Hamimu Mussa

Ally Hassan

Hashimu Manyanya

Heritier Makambo

Lucas Kikoti

Kagusa Rajabu

Ahmed Feruzi

Julius Masuka

Kikosi cha Yanga SC kilichoanza vs Namungo FC

Mlinda mlango

Kuelekea Kariakoo Dabi Yanga SC vs Simba SC
Djigui Diarra mlinda mlango wa Yanga SC. Source: Yanga SC.

Djigui Diarra

Mabeki

Israel Mwenda

Zimbwe Jr

 Dickson Job

 Ibrahim Bacca

 Viungo

Damaro

 Maxi Nzengeli

Duke Abuya

Allen Okello

 Buba Jammeh

Mshambuliaji

Laurindo Derson Depu.

Wachezaji wa akiba

 Masalanga

 Nondo

 Boka

 Yao

 Abubhakar

 Sheikhan

 SureBoy

 Abdulnassir

Mudathir

 Emma.

Matokeo mengine mechi za leo

Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars

KMC FC 0-2 Azam FC

SOMA HII: Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars, KMC FC yapigwa na Azam FC/ Namungo FC vs Yanga SC lineups

Hitimisho

Namungo FC 0-1 Yanga SC mshindi amejulikana baada ya dakika 90. Depu amekuwa kwenye ubora katika mapigo huru ndani ya kikosi cha Yanga SC. Pedro Goncalves ana kibarua kupanga mbinu za ushindi mchezo ujao vs JKT Tanzania ambao ni vinara wa ligi.

Share this: